Jana kulikuwa na mechi kubwa hapa kwetu Simba na Azam! Matokeo tuliyaona na mpira ulikuwa mzuri. Cha kushangaza na sio Afya kwa mpira wetu ni uwepo waa Lundo la wageni. Zaidi ya asilimia 50 waliocheza jana ni wageni! ni kweli Ligi yetu sio ya ridhaa na mpira ni biashara ...Ila hii biashara Ina Afya kwa ustawi wa soka letu!?
Hakuna dhambi yoyote kuletaBwachezaji wa nje! Ila Ni wachezaji wa aina gani tunawahitaji! Hivi ni kweli humu jdai Hakuna wachezaji wanaomziddi Chikwende, Chirwa, Fiston, Lokasa! Hivi AJIBU ni wa kukaa benchi huku tukiwafanyia majaribio kina Chikwendwe!
Angalia beki Tatu na Mbili wa Yanga si wametoka huku Uswazi kwetu, vipi kuhusu Ame na Mwamyeto! Kuna tatizo mahali!
Kama tunafikia mahali tunatamba na kufurahia wachezaji na makocha kutoka Burundi na tunajiona wajanja. Kuna kitu somewhere hakipo sawa!
Kama hatutaamka tutaendelea kupokea kina Sarpong na Yikpe wa kutosha!
Hakuna dhambi yoyote kuletaBwachezaji wa nje! Ila Ni wachezaji wa aina gani tunawahitaji! Hivi ni kweli humu jdai Hakuna wachezaji wanaomziddi Chikwende, Chirwa, Fiston, Lokasa! Hivi AJIBU ni wa kukaa benchi huku tukiwafanyia majaribio kina Chikwendwe!
Angalia beki Tatu na Mbili wa Yanga si wametoka huku Uswazi kwetu, vipi kuhusu Ame na Mwamyeto! Kuna tatizo mahali!
Kama tunafikia mahali tunatamba na kufurahia wachezaji na makocha kutoka Burundi na tunajiona wajanja. Kuna kitu somewhere hakipo sawa!
Kama hatutaamka tutaendelea kupokea kina Sarpong na Yikpe wa kutosha!