una swali swala za usiku unapokuwa na tatizo au ni kawaida yako?Dawa za mapenzi zipo ila huko usukumani mjini wapo wanao ziagiza unaweza kumvuta ukafanikiwa ila shida dawa ikiisha shida inarudi tena na riba juu.
Kuhusu mvuto kazini mapenzi zipo ni kupata mtu sahihi au zikubali mfano mie dawa ya miti shamba hazinisaidiii hazifanyi kazi ila dua nikisali usiku nakuwa vizuri.
Unaweza kuona mganga tapeli hujafanikiwa lumber kwenu ni watu wa maombi sio miti.
shida usipo jiweka fiti, cheo utashushushwa kwa wengine kukuendea kwa wagangaAchana na hayo mambo
Fanya kazi kwa bidii cheo kitapanda.
Ukiwa mwaminifu kwa mwenza wako na yeye atakupenda na kukuamini.
Ukitaka kuwa Boss fungua kampuni yako na wewe uajiri wafanyakazi uitwe Boss.
Kikubwa ni Kufanya kazi kwa bidii na Maarifa, Uaminifu, Subira na kujishusha
Aise kumbe kuna kaukweli kwenye hili..Dawa za mapenzi zipo ila huko usukumani mjini wapo wanao ziagiza unaweza kumvuta ukafanikiwa ila shida dawa ikiisha shida inarudi tena na riba juu.
Kuhusu mvuto kazini mapenzi zipo ni kupata mtu sahihi au zikubali mfano mie dawa ya miti shamba hazinisaidiii hazifanyi kazi ila dua nikisali usiku nakuwa vizuri.
Unaweza kuona mganga tapeli hujafanikiwa lumber kwenu ni watu wa maombi sio miti.
Hao Waganga wenyewe wanakuchukulia kidogo tulicho nacho na wanakutengenezea chuki na watu na wanakuondolea kujiamini. Muamini Muumba wako tu.shida usipo jiweka fiti, cheo utashushushwa kwa wengine kukuendea kwa waganga
watu washa onesha sana bidii, sema nyota zao zimefifishwa na wahuni
aise kumbe sote tunapaswa kua wakakamavu na wenye bidii zaidi πshida usipo jiweka fiti, cheo utashushushwa kwa wengine kukuendea kwa waganga
watu washa onesha sana bidii, sema nyota zao zimefifishwa na wahuni
Na ndiyo kitu ambayo changamoto kubwa sana maeneo ya utafutaji riziki hasa makazini kuna watu hawana huruma kabisa.shida usipo jiweka fiti, cheo utashushushwa kwa wengine kukuendea kwa waganga
watu washa onesha sana bidii, sema nyota zao zimefifishwa na wahuni
Dawa za mvuto zipo jaribu kuwauliza wasanii,madalali,waigizaji,viongozi wa serikali n.kHakuna kitu kama hicho eti mvuto... kama huna kitu cha thamani na hauna mvuto wa muonekano au kipaji basi hupendeki na hakuna macho yatakayo vutiwa nawe.
ukweli.Na ndiyo kitu ambayo changamoto kubwa sana maeneo ya utafutaji riziki hasa makazini kuna watu hawana huruma kabisa.
Yani utakuwa mtiifu, unapambana sana, hujihusishi na makundi mabaya na mazuri mengi tu ila kuna wahuni wana kutafuta kwa kila angle.
Noma sana
Hapo ni hela ndo hufanya kazi, hao waganga wanakuwa kama wasindikizaji tu hamna uhalisia kwenye hilo. Bila pesa na kitu cha thamani hauna mvutoDawa za mvuto zipo jaribu kuwauliza wasanii,madalali,waigizaji,viongozi wa serikali n.k
hao n waganga waongoHao Waganga wenyewe wanakuchukulia kidogo tulicho nacho na wanakutengenezea chuki na watu na wanakuondolea kujiamini. Muamini Muumba wako tu.
Mkuu hao wote unao waona wanavuma kwenye tasnia nyingi wanatumia waganga na hizo dawa za mvuto,hata wanawake wa mjini wanaohongwa magari,nyumba,biashara kubwa wanatumia madawa kuwavutia watu.Hapo ni hela ndo hufanya kazi, hao waganga wanakuwa kama wasindikizaji tu hamna uhalisia kwenye hilo. Bila pesa na kitu cha thamani hauna mvuto