Hivi ni kweli kuna dawa ya mapenzi?

Hivi ni kweli kuna dawa ya mapenzi?

Sio kweli mfano unyamwezini wanajua dawa sana hazina masharti mfano kuna dawa inaitwa Nshoma hii inatoa mauchawi mikosi mapepo mabaya hata wale wenye mambo ya magendo unaikoga na kuimwaga chini unachora + pande zote hakukamati asikari yoyote haina masharti Kuna dawa yaitwa Mwelekela maana yake kuelekea inatumika Kwa mapenzi na biashara unalonuia linaelekea haina masharti isipokuwa inakufa nguvu baada ya muda kuna mkirungu ulopigwa na radi hii dawa ya mapenzi hutumia sana wanawake kuchanjiwa wanaume wakimuona moto unafanya paaaa kama umepigwa radi hii mwanamke pia anatia kwenye lotion mafuta ajipaka Kuna kalilila pia yaani dawa ziko nyingi sanaa na hazina masharti yoyote Tabora Shinyanga wengi wajua miti dawa na sio waganga.
aiseee 😳

si mchezo, mambo ni mazito hivi kumbe?🐒
 
Ni abrakadabra tu kwa wanaotamani mambo hayo. Waganga wanaangalia watu wanatamani nini na huanzisha matangazo kuwa wanatoa suluhisho hilo. Hata wezi hurubuniwa wakipewa dawa hawatakamatwa wakiiba
 
Ni abrakadabra tu kwa wanaotamani mambo hayo. Waganga wanaangalia watu wanatamani nini na huanzisha matangazo kuwa wanatoa suluhisho hilo. Hata wezi hurubuniwa wakipewa dawa hawatakamatwa wakiiba
huku kwenye maombi na maombezi vip, wanaeweza kua wamepenya wao pia nini.

maana kuwaombea watu mali na vitu wanavyotamani kua navyo naona ikitumika sana siku izi katika eneo hili. Je, huo utaalamu unaweza kua unatumia pia katika eneo hili au ni tofauti?🐒
 
nimekutana na bango kubwa sana, la kisasa mno, linawaka taa kabisa, likielekeza kuna huduma ya kumrejesha mpenz aliepotea ndani ya siku3, na pembeni kuna ofisi ya maana sana.

vijana warembo na watanashati wamepanga foleni kusubiri zamu zao waingie kupata huduma ya mtaalamu nikastuka na mojakwamoja nikaandika uzi, halafu sasa ilikua usiku mkali 🐒
😀 Aanh sawa
 
Kama alikuacha muache tu aende zake, utajisikiaje na wewe mwanamke alokupenda kisha ukamuacha halafu usikie ameenda kwa mganga ili wewe umpende tena muwe wapenzi?

Acha hayo mawazo mkuu, kila jambo mshukuru Mungu, hujui ni yupi sahihi amekupangia ktk safari yako ya mahusiano.
umeeleza ukweli vizur sana, kwa uchungu sana, ndugu mwana familia..

bilashaka umeeleweka vizuri sana na Mungu akubariki sana, kwa sadaka yako ya huruma kwa familia hii ya JF.

hata hivyo, binafsi sihusiki kwa namna yoyote ile. Ni kwa Neema na Baraka za Mungu nimeleta hoja na ujumbe huu kwenu wadau, walau kukumbushana, kupeana uelewa na ufahamu wa mambo haya ili hatimae kila moja achague pa kufuata kati ya Nuru na Giza 🐒
 
Hizo dawa zipo mkuu, kuna watu tulikuwa nao Mwanza ni watu wa kuamini madawa na uganga wa kienyeji sana katika maisha wanafuata sana maelekezo ya mganga wao,hao watu walitoka kigoma vijijini wakaja mwanza tufanya kazi pamoja,bosi alikuwa ndugu yao lakini alikuwa ananiamini mimi kuliko wao kwa kila kitu kazi zote zilikuwa zikifanyika kwa kunisikiliza mimi na sikuwahi kutumia dawa au kwenda kwa mganga niaminiwe,jamaa walifanya ushirikina nikafikwa na mitihani na kesi za ajabu julisha kuchukiwa na bosi hadi nikaondoka sasa hivi wamebaki wao wanatawala,ila hiyo ilikuja kutokea baada ya mimi kuacha kujibidisha katika dua na kusoma qur an kila siku ndipo mabalaa yao yakanipata.
Quran ingekusaidia nini sasa bora tu ulivyokuwa unaiepuka kuisoma
 
Kama ilivyo Good and Evil, Mwanga na giza, panapo nguvu za Mungu basi na za giza zipo......kikubwa ni kutoa sacrifice, kama kwa Mungu utatoa sadaka, kufunga, maombi n.k basi vice versa is true hata na upande wa pili utafanikiwa pale utapotimiza masharti, shida ni pale utapoacha kutekeleza masharti na kurecharge hizo nguvu za giza na maagano, kiufupi nguvu za giza huwa hazidumu. Mganga wa kweli ni Mungu na uchawi wetu ni sala/maombi.
unaweza kujikuta umekaribia kufika ofisini ndio unakumbuka umesahau hirizi muhimu maalumu nyumbani, ambayo mganga alikupa sharti la kutoisahau hata siku moja unapokwenda ofisini ili upandishwe cheo 🤣

Lakini Mungu, huwezi msahau, Daima yupo na wewe na wewe uko nae. Mtafute na kumuita maadamu anapatikana, na muite wakati yupo tayari...

na Mungu akubariki sana 🐒
 
huku kwenye maombi na maombezi vip, wanaeweza kua wamepenya wao pia nini.

maana kuwaombea watu mali na vitu wanavyotamani kua navyo naona ikitumika sana siku izi katika eneo hili. Je, huo utaalamu unaweza kua unatumia pia katika eneo hili au ni tofauti?
 
huku kwenye maombi na maombezi vip, wanaeweza kua wamepenya wao pia nini.

maana kuwaombea watu mali na vitu wanavyotamani kua navyo naona ikitumika sana siku izi katika eneo hili. Je, huo utaalamu unaweza kua unatumia pia katika eneo hili au ni tofauti?🐒
🤣🤣🤣! Wanajua binadamu wote wanapenda vitu vizuri! Be careful na hawa watumishi/nabii.
Ulimwengu wa roho ni zaidi ya tuujuavyo.
 
Miaka mitatu nyuma nimewahi kuwa kwenye mahusiano na binti wa kindali kutokea Mbozi ndanindani uko ila alikua anafanya biashara zake za salon na M-pesa maeneo ya mjini jirani na nilipokua naishi.
kuna siku kaja kulala kwangu nikamuagiza chips mtaani kwa kisingizio kuwa naumwa nikaamua kukagua mkoba wake [ni kawaida yangu kukagua mikoba au simu za madem zangu] nikakutana na tudawa twingi tumefungwa kwenye nyloni ndogondgo zaidi ya sita alivorudi nikamkazia ni dawa zanini akanambia kuwa huwa anapewa na mganga wake ili apate mvuto wa mapenzi ahongwe vitu vya thamani na biashara yake ya salon ishamiri.

nikaamua kuwauliza marafiki zake wawili ninao waamini ili nihakiki nikaambiwa kuwa ni kawaida yake kwenda kwa mganga kila anapoachika ili apate Bwana mwenye hela zaidi kuliko yule alomuacha.

to cut the long story short mahusiano yetu yaliisha, mwaka jana nmewasiliana nae akanambia biashara yake ya salon ilishakufa pia sababu mganga wake alifariki currently anakutana na matapeli tu. saiv kaolewa ni mama wa nyumbani.

Duniani kuna mambo 🤣
 
🤣🤣🤣! Wanajua binadamu wote wanapenda vitu vizuri! Be careful na hawa watumishi/nabii.
Ulimwengu wa roho ni zaidi ya tuujuavyo.
kila upande joto la mafanikio ni kali sana, na mchanganyo wa mambo ya Mungu na Giza umefikia kiwango cha juu sana cha hatari ya kuamsha hasira za Mungu 🐒
 
Miaka mitatu nyuma nimewahi kuwa kwenye mahusiano na binti wa kindali kutokea Mbozi ndanindani uko ila alikua anafanya biashara zake za salon na M-pesa maeneo ya mjini jirani na nilipokua naishi.
kuna siku kaja kulala kwangu nikamuagiza chips mtaani kwa kisingizio kuwa naumwa nikaamua kukagua mkoba wake [ni kawaida yangu kukagua mikoba au simu za madem zangu] nikakutana na tudawa twingi tumefungwa kwenye nyloni ndogondgo zaidi ya sita alivorudi nikamkazia ni dawa zanini akanambia kuwa huwa anapewa na mganga wake ili apate mvuto wa mapenzi ahongwe vitu vya thamani na biashara yake ya salon ishamiri.

nikaamua kuwauliza marafiki zake wawili ninao waamini ili nihakiki nikaambiwa kuwa ni kawaida yake kwenda kwa mganga kila anapoachika ili apate Bwana mwenye hela zaidi kuliko yule alomuacha.

to cut the long story short mahusiano yetu yaliisha, mwaka jana nmewasiliana nae akanambia biashara yake ya salon ilishakufa pia sababu mganga wake alifariki currently anakutana na matapeli tu. saiv kaolewa ni mama wa nyumbani.

Duniani kuna mambo 🤣
umeona sasa hapo umeibua hatari nyingine 🐒

Mganga wake alishakufa 🤣

hivi kumbe ndio chimbuko ka kale ka msemo kwamba wewe umerogwa na mganga wako ameshakufa? kwamba dhiki, mikosi na maisha magumu unayopitia ni kwasabb mganga wako amekufa, dah.....

Tumuamini Mungu Tu asiyebadilika wala Kufa ndugu zangu 🐒
 
Hizo dawa zipo ila ni hatari sana kumfanyia mtu . Atateseka maisha yake yote kwa kukutumikia wewe tu. Kuna rafiki yangu alifanyiwa madawa sana na mke wake ambaye ni msukuma. Alifika hatua anaumwa sana na asijue anaumwa nini. Akachukuliwa na mjomba wale ni Padri akapelekwa kwa ajili ya maombi. Alitapika vitu vya ajabu sana, mpaka leo mzima na mke wameachana
Kaka yangu alifariki mwaka jana kwa maujinga kama hayo. Mke wake alikufa baada ya kuugua kwa mwezi mmoja. Baada ya kufa , kaka akaanza kuweweseka, anasema kila siku mke wake anakuja usiku anataka waende wote. Akawa kama kachanganyikiwa. Akafanyiwa maombi na akatakiwa afanye jambo la kimila ila akapuuzia. Siku ya 40 ya mkewe akazidiwa, akapelekwa hospital wakamuambia labda ana mawazo. Baada ya siku mbili akaanza kutapika madude meusi meengi mpaka tukashangaa yabatoka wapi. Ndio akakata roho. Kumbe mke wake alishasema nakufa lakini kaka yenu naye atafuata. Na yule mke wake alikuwa na mambo ya ajabu sana lakini kaka alikuwa zezeta kwa mkewe hata aje amelewa chakari. Imagine mtu wa swala tano unaishi na mlevi kupindukia miaka yote hiyo bila hata kuchukua hatua.

Hata madawa sio kabisa jamani. Acha mtu akupende naturally , akiondoka sio wako huyo.
 
Hizo dawa zipo ila ni hatari sana kumfanyia mtu . Atateseka maisha yake yote kwa kukutumikia wewe tu. Kuna rafiki yangu alifanyiwa madawa sana na mke wake ambaye ni msukuma. Alifika hatua anaumwa sana na asijue anaumwa nini. Akachukuliwa na mjomba wale ni Padri akapelekwa kwa ajili ya maombi. Alitapika vitu vya ajabu sana, mpaka leo mzima na mke wameachana
Kaka yangu alifariki mwaka jana kwa maujinga kama hayo. Mke wake alikufa baada ya kuugua kwa mwezi mmoja. Baada ya kufa , kaka akaanza kuweweseka, anasema kila siku mke wake anakuja usiku anataka waende wote. Akawa kama kachanganyikiwa. Akafanyiwa maombi na akatakiwa afanye jambo la kimila ila akapuuzia. Siku ya 40 ya mkewe akazidiwa, akapelekwa hospital wakamuambia labda ana mawazo. Baada ya siku mbili akaanza kutapika madude meusi meengi mpaka tukashangaa yabatoka wapi. Ndio akakata roho. Kumbe mke wake alishasema nakufa lakini kaka yenu naye atafuata. Na yule mke wake alikuwa na mambo ya ajabu sana lakini kaka alikuwa zezeta kwa mkewe hata aje amelewa chakari. Imagine mtu wa swala tano unaishi na mlevi kupindukia miaka yote hiyo bila hata kuchukua hatua.

Hata madawa sio kabisa jamani. Acha mtu akupende naturally , akiondoka sio wako huyo.
dah,
aiseee ni hatari juu ya khatari 🐒
 
unaweza kujikuta umekaribia kufika ofisini ndio unakumbuka umesahau hirizi muhimu maalumu nyumbani, ambayo mganga alikupa sharti la kutoisahau hata siku moja unapokwenda ofisini ili upandishwe cheo 🤣

Lakini Mungu, huwezi msahau, Daima yupo na wewe na wewe uko nae. Mtafute na kumuita maadamu anapatikana, na muite wakati yupo tayari...

na Mungu akubariki sana 🐒
Amen brother amen.
 
Zikiisha sasa...tabu inabaki pale pale
kuna vitu viko wazi kabisa na mtu anaweza akawa na ufahamu na uelewa wa kutosha kwamba faida za jambo hili zinaambatana na utumwa wa masharti magumu na ya fedheha sana, yasiyo kupa amani, Lakini pia manufaa yake ni ya muda tu 🐒

si afadhali umtegemee Mungu na ufaidike na kufurahia atakachokujaali kwa amani maisha yako yote mpaka siki ya mwisho🐒
 
kwamba eti kuna mganga wa kienyeji mahali Fulani, anaweza kumrudisha mpenzi wako alie potea au kukutoroka au kukufanya upendwe sana na boss wako ofisini au akupe dawa ya kupandishwa cheo kazini?

Au akupe dawa ya mvuto wa kimapenzi?🐒

vipi ndugu, uliwahi kujaribu kupitia njia hii na vipi matokeo yalionekana? nini kilikuchochea 🐒
Mimi nina dawa ya kurudisha line zilizopotea.
 
Back
Top Bottom