Wanadamu wote wa Dini zote wanabebwa na Amri kumi za Mungu hivyo haijalishi watabadili Dini mara ngapi kitakacho safisha roho zao ni Amri kumi za Mungu peke yake yoyote hata asiye na Dini akifata hizo sheria za Amri kumi za Mungu anampendeza Mungu.Kuweka kumbukumbu sawa wewe ni mkristo bilashaka
Utajiskiaje ukiambiwa na muislamu kua ni heri ukaamini Allah ndio Mungu wa kweli na ukampuuza huyo unayemuamini sasa ili hata ukifa na usipate nafasi ya kukutana naye itakuwa fresh tu kuliko kujitia kibri na kumpuuza mtume muhammad na mwisho ukafa ukakutana na Allah?
Kwa hiyo utakubali kusilimu?
Suala la kufa na kuzaliwa vinatofautiana! Wengine wanakufa na umri mdogo na wengine wanakufa wakiwa wazee kabisa tena wanakuwa wameshamaliza nguvu zote! Hawa hawawezi kuwa sawa na wanaokufa na umri wa ujana au watoto!Ulivyokuja hapa Duniani ulianza au uliendelea na umri ulipotoka nao huko ulipotoka?
Suala la kufa na kuzaliwa vinatofautiana! Wengine wanakufa na umri mdogo na wengine wanakufa wakiwa wazee kabisa tena wanakuwa wameshamaliza nguvu zote! Hawa hawawezi kuwa sawa na wanaokufa na umri wa ujana au watoto!
Nadharia ni moja tu mkuu kwamba KUFA KUPO NA TUTAFUFULIWA ILI MFUFUAJI ATUONYESHE YOTE TULIYOYAFANYA NA ATUINGIZE PEPONI AU MOTONI kulingana na matendo yetu.
Hao wenye nadhalia ya kisayansi wanashindwa nini sasa kuzuia huko KUFA?
Haa haa haa haa labda huo unaotaka kuanzishwa bado upo kwenye mchakato [emoji23]RC wa mkoa gani mbona hatukufahamu
Tunapigana kamba tu mkuu!.. wenye akili wanacheza na bongo zetu wanatufanyia vurugu ili tusile raha hapa duniani!. Just imagine unaenda eti kutubu kwa padri ukiamini yeye ni mtakatifu wakati hujui matendo yake!, serious kama unaakili huwezi fanya hivi am telling you.
Hakuna Cha pepo hakuna cha moto isipokuwa ukienda kinyume na nature laws mazingira yatakuadhibu hapahapa hakuna kusubiri.
[emoji23]Kuna amos makala, makonda wanajulikana wewe ni wq mkoa gani?
Sijui anaesababisha ni nani,nature haina adhabu zote kusema kuwe na haki ya asilimia mia na inategemea maouvu hayo kuna maovu ya kutendeana sisi kwa sisi hayo tutaamua kwa utashi wetu.Hyo law of nature inasababishwa na nn au Nani? Kwan wanaotenda maovu wote wameadhibiwa hapahapa kabla ya kufa?
Itakuwa ChatoHaa haa haa haa labda huo unaotaka kuanzishwa bado upo kwenye mchakato [emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Pamoja na wewe au wewe haumo kwenye hao vilaza?Humu kuna vilaza wengi sana
Mimi nimeuliza swali kulingana na hoja yako ambayo katika history ilishawahi kutolea na mwana philosopher Pascal wagerNaheshimu sana mawazo yako Scars na elimu yako pia.
Ukristo ni Kuwa mfuasi wa Yesu,
Swala la imani hadi ikajengeke katika roho yako ni lazima ipite kwenye akili zako, akili ikubaliane na kile unacho kisikia ndipo itajenga imani ndani yako.
Imani na ufahamu hutakiwi kuvitengenisha hata kidogo.
Ushauri wangu kwa mtu mwenye imani yoyote ile.
Ebu soma soma sana vitabu vya dini yako, usiishie kusikiliza mawaidha anayokupa labda mchungaji au nabii wako, ebu katafuta hivo vitabu na usome mwenyewe na omba Mungu akuongoze katika kusoma kwako na kujiongezea elimu, ukipata ukakasi popote pale ni muhimu kupitia, kujifunza na kusoma pia katika upande wa dini nyingine.
Nikujibu swali lako;
Binafsi ukristo wangu level niliyofikia niya kuzungumza na Mungu wangu,
Ninae Roho yule aliyetabiliwa kushuka tangu kipindi za manabii waliokuako kipindi cha mfalme Suleiman na Daudi.
Ninae ni Roho mtakatifu, ananisaidia vitu vingi sana, hasa kupambana na roho chafu za hapa duniani.
Roho huyo unipa amani sana.
Ubaya ni kuwa watanzania tulio wengi tunapenda kubeba vitu kwa kusikia sikia tu kwa wakubwa zetu, tujitaidi kuwa wachunguzi wa mambo na tuishi kwa akili.
Hongera wewe Scars ni mtafiti mzuri, kuna wengine huu muda hawana kabisa.
Sio kweli kama ambavyo wewe unataka kuaminisha UMMA ionekane yeyote anayefata amri kumi za Mungu basi anampendeza Mungu na anaweza kuiona pepoWanadamu wote wa Dini zote wanabebwa na Amri kumi za Mungu hivyo haijalishi watabadili Dini mara ngapi kitakacho safisha roho zao ni Amri kumi za Mungu peke yake yoyote hata asiye na Dini akifata hizo sheria za Amri kumi za Mungu anampendeza Mungu.
Ukipekua pekua sana inasemekana nasema inasemekana kwa sababu sijawahi shuhudia kuna watu wana uwezo wa kutoka kwenye miili yao na kurudi tena kwa maana hiyo huu mwili ndiyo utaoza na kuwa udongo tena ila roho itaishi sasa inaishi vipi na wapi
Yap,ubongo ukikosa oxygen ndo neurons zinakufa na hakuna ufahamu tena. Mifumo ya fahamu yote inacease.Ongezea na ubongo