Hivi ni kweli kuna maisha baada ya kifo?

Hivi ni kweli kuna maisha baada ya kifo?

Umesema wewe ni mwili, mwili ni chakula unachokula protein, vitamin, carbohydrate wewe
ni hivyo vyakula?
Ni kipi kinakufanya uwe na uhakika ni yule yule huku umezaliwa na kilo moja sasa unakilo 60?
Nikipi kinakufanya uamiani mwili wako ndio wewe licha ya mabadiliko ya kila siku ndani ya mwili wako?
hivi unapootesha mche au mbegu ya mchicha huo mchicha hukua hatua kwa hatua hadi kufikia kuliwa so unataka kusema kuwa huo mchicha unapokuwa mkubwa tayar kwa kuliwa hubadilika kutoka kwenye asili yake
 
Ukifa hujui Kama unekufa una-transform na kuingia katika ulimwengu mwingine.

Uhakika ni kuwa Maisha baada ya kifo yapo Ila yapoje hakuna ajuaye.

Ni ishu ya ku-transformation
Na hii code ndo binadamu tumefichwa .Mtu akifa utaskia tutaonana tena. Mnajuaje kuwa tutaonana na waliokufa? Swali lingine utaskia wasalimie utalao wakuta, au msalimie flani uko uendako. Mtu anajuaje kuna mahali watu wako na walipo wanatambuana kama ilivyokua duniani? Kwamba leo unaweza mkuta nyerere , mkapa na magu wanapiga story tu? Nani ana uhakika na hili au mistari ya kidhibitisha hili.
 
Infact ni kwamba wanasayansi kuamini miujiza haini sababishii na mimi niamini hivyo hivyo.

Kupitia historia tunajua kuna idadi kubwa ya wanasayansi walioamini vitu vingi vya uwongo.

Wapo wanasayansi waliowahi kuamini kwamba yale matuta ya kichwani huashiria tabia ya mtu na kwamba wapo walio amini kua harufu mbaya inasababisha ugonjwa wa kipindupindu.

Hizo ni statistics ambazo zimeonesha wanasayansi waliokua wanaamini vitu ambavyo kwa wakati huo walijua ni ukweli.

Kwa hiyo utagundua mtu kuwa mwana sayansi haimfanyi awe karibu na ukweli katika kila kitu.

Kila kitu kinafanywika kwa mipaka, hiyo ikimaanisha kwamba kwa namna einsten alivyokua mtaalamu kwenye physics haina maana mawazo yake kuhusiana na dini au siasa yakubalike eti kwakua yeye ni bingwa wa relative kwenye physics.

Gwajima anaweza kuwa bora kwenye mahubiri ya kanisani na mimi nikapenda, lakini haina maana nikubaliane naye kwenye mtazamo wake wa kuhusiana na corona
kwa maana nyingine mwanasayansi naye hukosea
 
Bro utapoteza muda wako, Dunia nzima hakuna mwanadamu ata mmoja anayejua, sio mpagani, sio shekh, sio padre wala mchungaji, wao pia hakuna wanalojua bro, ajuaye ni yule aliyetuleta tu sawa sijui ni Mungu au ni nani katuumba mim pia sijui.

Wengi wanayajua yale yaliyoandikwa kwenye vitabu vitakatifu na pia hawajui ni nani aliviandika ivyo vitabu.. ni imani tu
So masseto wewe unaamin nini katika hili binafsi yako maana kila mtu ana utashi
 
Kwangu mimi naona njia bora ya kujua ukweli ni kupatiwa uthibitisho wa ku-support hayo madai na kujua ni kivipi uthibitisho wa hicho kitu umepatikana.

Hata kwenye sayansi Idea haikubaliwi eti kwasababu imetoka kwa smart people, wanasayansi hawakumuamini darwin kwasababu alikua smart guy na ndio maana hawasemi evolution ni kweli kwasababu darwin kasema ni kweli.

Wanakubali kua evolution ni ya kweli kwasababu uthibitisho uliowekwa mezani una support hoja zake
Mkuu mbna unachekesha hahaha!!!
Dwarn ni lini alithibitisha evolution ni kweli na ikakubaliwa?
Hata kwenye kitabu chake cha orgin of species hamna sehem ameelezea orgin ya species
bali how wana mantain consistent kitabu pekee cha evolution cha kwake.
Hata noble prize alipata kwenye upande wa botany sio evolution.
Turudi kwenye mada..
Kuna knowledge huwezi thibitshiwa imekuwaje bali through exprience unajua hilo?
 
Ishi na hii kauli,
"Ni heri kuamini Mungu yupo ili ata kama ukifa na usipate nafasi ya kukutana nae fresh tu inakua imeisha iyo.
Kuliko usiamini Mungu yupo then ukafa ukaenda kumkuta yupo."

"Binafsi naamini kuna maisha ya uzima wa milele, baada ya huu mwili nilionao hapa duniani kufa."
Mi pia na amini hivyo kuwa kuna Mungu maana ukijiuliza tulitoka wapi? Kwanini tuko hapa? Tunaelelea wapi baada ya apa ? Utajua tu kuna sababu ya kuwepo kwa hizi zote
 
Na hii code ndo binadamu tumefichwa .Mtu akifa utaskia tutaonana tena. Mnajuaje kuwa tutaonana na waliokufa? Swali lingine utaskia wasalimie utalao wakuta, au msalimie flani uko uendako. Mtu anajuaje kuna mahali watu wako na walipo wanatambuana kama ilivyokua duniani? Kwamba leo unaweza mkuta nyerere , mkapa na magu wanapiga story tu? Nani ana uhakika na hili au mistari ya kidhibitisha hili.
kitu kingine hapa cha kujiuliza kwa maana hyo mm nikifa nitaweza kuonana na mababu zangu wa mababu wale wa mwanzoni kabisa wa kwanza kwenye ukoo au nao huko walipo wameshakufaga kwenye hayo maisha kama yapo??
 
kwa maana nyingine mwanasayansi naye hukosea
Kwanini asikosee?

Wakati alichokidai hakipo katika misingi ya sayansi ni personal view tu

Pia kumbuka hoja ya msingi ni sayansi na sio mwanasayansi, kuna wanasayansi wana amini Mungu hali ya kuwa haikubaliki kwenye sayansi
 
hivi unapootesha mche au mbegu ya mchicha huo mchicha hukua hatua kwa hatua hadi kufikia kuliwa so unataka kusema kuwa huo mchicha unapokuwa mkubwa tayar kwa kuliwa hubadilika kutoka kwenye asili yake
Unajua biology hasa genetics?
Fafanua asili yake ipi?
Mimi kurithi vinasaba vya wazazi wangu mimi na wazazi wangu tunakuwa kitu kimoja?
Kuna single celled organism kama protozoa akidivide na kutengeneza kiumbe kingine
kwa kuwa kimerithi dna(genetic material ambayo inaamua kiumbe kiendelee kuwa protozoa)
utasema huyo ni kiumbe mmoja au wawili tofauti?
 
Mkuu mbna unachekesha hahaha!!!
Dwarn ni lini alithibitisha evolution ni kweli na ikakubaliwa?
Hata kwenye kitabu chake cha orgin of species hamna sehem ameelezea orgin ya species
bali how wana mantain consistent kitabu pekee cha evolution cha kwake.
Hata noble prize alipata kwenye upande wa botany sio evolution.
Turudi kwenye mada..
Kuna knowledge huwezi thibitshiwa imekuwaje bali through exprience unajua hilo?
Unafahamu nini kuhusu natural selection kwenye evolution?
 
Kwanini asikosee?

Wakati alichokidai hakipo katika misingi ya sayansi ni personal view tu

Pia kumbuka hoja ya msingi ni sayansi na sio mwanasayansi, kuna wanasayansi wana amini Mungu hali ya kuwa haikubaliki kwenye sayansi
hapa napo umeweka sawa tujue kutofautisha SAYANSI NA MWANASAYANSI
 
Unajua biology hasa genetics?
Fafanua asili yake ipi?
Mimi kurithi vinasaba vya wazazi wangu mimi na wazazi wangu tunakuwa kitu kimoja?
Kuna single celled organism kama protozoa akidivide na kutengeneza kiumbe kingine
kwa kuwa kimerithi dna(genetic material ambayo inaamua kiumbe kiendelee kuwa protozoa)
utasema huyo ni kiumbe mmoja au wawili tofauti?
ushasema single celled kwa mfano mkate ukiugawanya kati unaendelea kuwa mkate ule ule au unabadilika??
 
Unafahamu nini kuhusu natural selection kwenye evolution?
Alichokuwa anasema Dwarn kwenye natural selection,
ndio consistence yenyewe kumaintain species mfano ni
watu wenye haemophilia before reproductive age kufa ili species iendelee kusurvive
na wenye defects kutoweka nothing more nothing less.
 
Alichokuwa anasema Dwarn kwenye natural selection,
ndio consistence yenyewe kumaintain species mfano ni
watu wenye haemophilia kufa ili species iendelee kusurvive
na wenye defects kutoweka nothing more nothing less.

Kuna aina ngapi za evolution theory unazozijua?

Halafu uniambie kwanini natural selection sio evolution
 
Kuna nadhalia ; wanasayansi wamegundua kuweza kuirudishia uhai miili/watu waliokufa baada ya miaka kadhaa baadae kwa hivyo watu wanalipia kuifadhi miili ya wapendwa wao isiharibike kwa pesa nzuri tu... mkuu karibu duniani
 
Kuna aina ngapi za evolution theory unazozijua?

Halafu uniambie kwanini natural selection sio evolution
Mkuu sihitaji ni kwambie aina zilizopo hope unajua.
Pili evolution ya Dwarn haina mantiki kwa sababu hakuna sehemu ameelezea orgin of species.
 
Kuna nadhalia ; wanasayansi wamegundua kuweza kuirudishia uhai miili/watu waliokufa baada ya miaka kadhaa baadae kwa hivyo watu wanalipia kuifadhi miili ya wapendwa wao isiharibike kwa pesa nzuri tu... mkuu karibu duniani
Hakuna hicho kitu kwa sasa.
Ispokuwa wanaamini kwa mabadiliko makubwa ya technology miaka ya mbele uwezo huo utakuwepo.
 
Back
Top Bottom