Soma vitabu kwa ajili ya kupata technical skills tu(ujuzi wa kiufundi) mfano jinsi ya kupiga vinanda nk
Ushauri wa kimaisha(mahusiano, ndoa, uchumi) tafuta wenye uzoefu au ambao wameshaweza
Vitabu vya ushauri wa kimaisha vina ushauri wa jumla tu havikuongezei chochote. Mfano utaambiwa ili utajirike, weka akiba, sasa nani hajui?
Mwishoni unaingia kwenye mtego wa kusoma kitabu baada ya kitabu, ukitafuta kile kitu flani kitakachosisimua akili yako na kufanya upige hatua....
Na utakua unachukulia kama kusoma mavitabu ni sehemu ya kufanikiwa, yaani unasoma huku unavuta picha unafanya unayosoma(mental masturbation)