Jerrymsigwa
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 14,084
- 8,384
Hahaha pole mwaya. Utajitambua soon, look forward to the lights at the end of the tunnel.
nimeanza mdogo mdogo, really taking my time. Ila ntachange mind soon, nataka nimfuate Jerrymsigwa huko mbinguni alipo
hivi kama kweli mtu ana degree yake na ameamua kujitaja we unakereka nini? mbona hampendi maendeleo ya wenzenu? mxiiiiiiiuuuuuu!
Mbona una kisirani hivyo we leo? Nini tatizo?
Sijui utanifyonza....sijui utanitukana....hmmmm ngoja nisubiri
Lile kubwa jinga la yule mzee anayegongewa mkewe yule mpare lina degree tatu. Moja ya kivulia kambale.
Wapi profesa Ibrahim Likowa aka mpiga msuli seneta01 alikunyosha!
hahahahahaha! sijui nikuchum.
Ndugu yangu yaani ya humu ndani ukiyafuatilia, utachoka. Yaani;
-Hakuna mwenye vitz, wote wana v8
-Humu JF wote wanapiga bao 5 na kuendelea, sasa haya mabango ya kuongeza nguvu za kiume ni ya akina nani? Labda wana JF hawahusiki!
-Humu wote wapo dsm, wa Mkiu hayumo humu.
-Humu Jf kila mtu amewahi kupanda ndege au amepanda ndege muda huu.
-Mwenye KIBAMIA humu hayumo, humu kila mtu ana Tangopori tu. Chezea JF weyee!
-Humu watu tunajua kila kitu, mpaka dawa ya ebola imo humu.
-halafu kinginee, hakuna mla mihogo hata mmoja humu wakati kila siku tunapanga foleni kwa mama Cha Upepo.
JF iache kama ilivyo.
Yeah nchumu kama siku ile ulivyonichumu....unakumbuka?
huogopi kuganda wewe!!! ?
Kwani mi Mganda?
shoka la kiuno litakuhusu... ooohooo.
Shalom wakuu!
Swali hili limekuwa likinitatiza sana tangu miaka 2 iliyopita tangu nilipojiunga na JF,
imekuwa ni kama fashion kwa wanaJF wengi kudeclare elimu zao katika post zao nyingi, ajabu kila mtu anasema sijui alipokuwa chuo mwaka wa pili, mwingine ooh nimejiajiri lakini nina degree yangu, hivi ni kweli wote tumesoma mpaka level hizo? Hakuna hata mwenye diploma au Form4 kabisa? Mbaya zaidi hadi vijana wa BRN wa humu JF naona wameanza taratibu kurithi haka karoho ka kipepo kanakotokana na kutojikubali.
Tubadilike jamani.
Itusaidie nini hiyo mastaz yako sisi?
Kwani inahitaji degree ili uweze kuwa mwana jf???
Shalom wakuu!
Swali hili limekuwa likinitatiza sana tangu miaka 2 iliyopita tangu nilipojiunga na JF,
imekuwa ni kama fashion kwa wanaJF wengi kudeclare elimu zao katika post zao nyingi, ajabu kila mtu anasema sijui alipokuwa chuo mwaka wa pili, mwingine ooh nimejiajiri lakini nina degree yangu, hivi ni kweli wote tumesoma mpaka level hizo? Hakuna hata mwenye diploma au Form4 kabisa? Mbaya zaidi hadi vijana wa BRN wa humu JF naona wameanza taratibu kurithi haka karoho ka kipepo kanakotokana na kutojikubali.
Tubadilike jamani.