Jerrymsigwa
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 14,084
- 8,384
Hahaha pole mwaya. Utajitambua soon, look forward to the lights at the end of the tunnel.
nimeanza mdogo mdogo, really taking my time. Ila ntachange mind soon, nataka nimfuate Jerrymsigwa huko mbinguni alipo
Utaweza kuja Sumbawanga King'ast au unajipa moyo tu? Karibu sana niko kijiji cha Msumkumilo, tarafa ya Isunta, mji Namanyele, wilaya Nkasi, mkoa Rukwa!
Hakuna mwana Jf karibu hapa?
Cc: Katavi
Last edited by a moderator: