Hivi ni kweli kuwa kila Mwana JamiiForums ana degree?

Hivi ni kweli kuwa kila Mwana JamiiForums ana degree?

Hahaha pole mwaya. Utajitambua soon, look forward to the lights at the end of the tunnel.

nimeanza mdogo mdogo, really taking my time. Ila ntachange mind soon, nataka nimfuate Jerrymsigwa huko mbinguni alipo

Utaweza kuja Sumbawanga King'ast au unajipa moyo tu? Karibu sana niko kijiji cha Msumkumilo, tarafa ya Isunta, mji Namanyele, wilaya Nkasi, mkoa Rukwa!

Hakuna mwana Jf karibu hapa?
Cc: Katavi
 
Last edited by a moderator:
Watu wanajua kila kitu, ajabu Ni kwamba katika maisha ya kawaida hatukutani nao, mkwara ndio usiseme, my perception katika Hili Ni kwamba wenye access ya internet muda wote majority of them Ni wafanyakazi WA maofisini, hivyo kuleta mantiki kwamba wengi wao wanalevel flani ya elimu ili kuweza kupata hizo ajira, bila kusahau wanafunzi wengi wenye laptops kwaajili ya matumizi ya shule kwa homeworks,
 
hivi kama kweli mtu ana degree yake na ameamua kujitaja we unakereka nini? mbona hampendi maendeleo ya wenzenu? mxiiiiiiiuuuuuu!
 
hivi kama kweli mtu ana degree yake na ameamua kujitaja we unakereka nini? mbona hampendi maendeleo ya wenzenu? mxiiiiiiiuuuuuu!

Mbona una kisirani hivyo we leo? Nini tatizo?

Sijui utanifyonza....sijui utanitukana....hmmmm ngoja nisubiri
 
Ndugu yangu yaani ya humu ndani ukiyafuatilia, utachoka. Yaani;
-Hakuna mwenye vitz, wote wana v8
-Humu JF wote wanapiga bao 5 na kuendelea, sasa haya mabango ya kuongeza nguvu za kiume ni ya akina nani? Labda wana JF hawahusiki!
-Humu wote wapo dsm, wa Mkiu hayumo humu.
-Humu Jf kila mtu amewahi kupanda ndege au amepanda ndege muda huu.
-Mwenye KIBAMIA humu hayumo, humu kila mtu ana Tangopori tu. Chezea JF weyee!
-Humu watu tunajua kila kitu, mpaka dawa ya ebola imo humu.

-halafu kinginee, hakuna mla mihogo hata mmoja humu wakati kila siku tunapanga foleni kwa mama Cha Upepo.
JF iache kama ilivyo.

Tehehehh, yani we ndio umesiriba kabisa.
 
Last edited by a moderator:
Shalom wakuu!
Swali hili limekuwa likinitatiza sana tangu miaka 2 iliyopita tangu nilipojiunga na JF,

imekuwa ni kama fashion kwa wanaJF wengi kudeclare elimu zao katika post zao nyingi, ajabu kila mtu anasema sijui alipokuwa chuo mwaka wa pili, mwingine ooh nimejiajiri lakini nina degree yangu, hivi ni kweli wote tumesoma mpaka level hizo? Hakuna hata mwenye diploma au Form4 kabisa? Mbaya zaidi hadi vijana wa BRN wa humu JF naona wameanza taratibu kurithi haka karoho ka kipepo kanakotokana na kutojikubali.

Tubadilike jamani.

Viazi wengi sana humu hata post zao tu unajua hapa shule hamna!!
Wengi vyuo vya kata ila waangalie tu hizo post zao teh teh teh!!


Sent from my iPad Air using JamiiForums
 
Itusaidie nini hiyo mastaz yako sisi?

Acha wivu mkuu kasema Elimu yake,,,we kama umeishia certificate si wewe!
Mbona wenye diploma hukusema itusaidie nn ila umeona masters mboyoyo


Sent from my iPad Air using JamiiForums
 
Shalom wakuu!
Swali hili limekuwa likinitatiza sana tangu miaka 2 iliyopita tangu nilipojiunga na JF,

imekuwa ni kama fashion kwa wanaJF wengi kudeclare elimu zao katika post zao nyingi, ajabu kila mtu anasema sijui alipokuwa chuo mwaka wa pili, mwingine ooh nimejiajiri lakini nina degree yangu, hivi ni kweli wote tumesoma mpaka level hizo? Hakuna hata mwenye diploma au Form4 kabisa? Mbaya zaidi hadi vijana wa BRN wa humu JF naona wameanza taratibu kurithi haka karoho ka kipepo kanakotokana na kutojikubali.

Tubadilike jamani.

Ok, minina diploma na nipo jf kama kawa.
 
Back
Top Bottom