Hivi ni kweli kuwa wenye herufi "M" kwenye kiganja wana bahati sana?

Hivi ni kweli kuwa wenye herufi "M" kwenye kiganja wana bahati sana?

Ushirikina mtupu. Hao wanaoshabikia haya mambo ndo wahusika na mauaji ya albino. Mafanikio ya mtu ni akili na nguvu zake.
 
Ndgu usibweteke kama hujibidishi eti herufi itakusaidia...wewe hata kama una 0 kwenye kiganjwa chapa kazi utaona matunda yake. Au kuwa na M halafu kaa utaona kama utapata ugali...hapa kazi ndo mpango mzima
 
Kuna ukweli, tafuta picha za Magufuli au Tbjoshua wakiwa wanapunga mkono, wanabonge la M
 
Nini maana ya alama M kwenye viganja vyote vya mtoto mdogo?
 
najiuliza hivi wale waliozaliwa bila viganja vya mikono! ina maana hawanaga bahati eh?
 
Hivi naomba niulize swali, hizi alama M kwenye viganja imekaaje haswa, hii watu wanaweza kukuambia bahati zako na baraka zako pitia kuangalia alama M
 
Maana kuna jamaa nimekutana naye leo, kanishangaaa sana kuona kiganja changu kina M akaanza kufunguka anacho ona pitia kwenye kiganja na anasema eti hizo bahati watu udiriki hata kuiba eti mweeeeh, hebu mwenye uelewa wa haya mambo afafanue
 
wapo wasio na mikono KABISA na mambo yao ni mazuri kuliko wenye viganja nyenye M
 
Duuuh, hasa inafaidaje au wawezaje kufaidika nayo
 
Duuuh, hasa inafaidaje au wawezaje kufaidika nayo
371bbc2041cd6e242d3277e3d4bbfd68.jpg
Mbona mstari wako wa Maisha mfupi sana[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom