Tutor B
JF-Expert Member
- Jun 11, 2011
- 9,025
- 6,598
Ungekuwa hauna labda ungekuwa unakula majalalani ...Mimi ninayo hiyo M ila mambo ni kinyume cha hayo ulioandika hapo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ungekuwa hauna labda ungekuwa unakula majalalani ...Mimi ninayo hiyo M ila mambo ni kinyume cha hayo ulioandika hapo.
Mkuu umenipa raha, mtu unatembea umekunja ngumiHivyo viganja kuna kipindi vilikua bonge la deal hapa kijijni kwetu. Ukiwa na M mkononi muda woooote ni kukunja ngumi unless otherwise wanaume wanaondoka na kiganja kama sio mkono mzima
vipi na Mimi nipo wakuuu?![]()
hahaahhahaha mkuu you made my dayMimi ninayo hiyo M ila mambo ni kinyume cha hayo ulioandika hapo.
Mawazo ya kimaskini haya.
Waswahili wana msemo, lisemwalo lipo.
Ni mara nyingi Sana nimekuwa nikisikia tetesi kuwa, watu wenye viganja vyenye alama ya "M " wana bahati Sana, Kwa upande wangu mimi ni muumini mzuri sana Wa Mungu, ila mkono wangu wa kulia una alama ya "M " wa kushoto hauna, binafsi nimekuwa na bahati Sana ktk maisha yangu, na hili nimeanza kuamini kuwa ni kweli kiganja chenye "M"ni bahati kubwa ukiwa nacho.
Nakumbuka ilikuwa 5/january/2012 nilipoamka asubuhi nyumbani nikiwa Sina hata cent, chakula ndani kilikuwa kimeisha, na sukari ilikuwa hamna, nilikuwa nimechanganyikiwa kabisa maana biashara yangu ilianguka
ilipotimia saa 2:30 asubuhi ile, simu yangu iliita, namba Ilikuwa ngeni, nilipokea na sauti ya kike ikasikika, ilikuwa ni girlfriend wangu Wa zamani anayeishi Kwa sasa Canada, alikuwa amekuja Tanzania bila kunitaarifu, yeye tayari ana uraia wa Canada na kaolewa na mzungu, alikuwa Amekuja kusalimia ndugu zake Arusha, nikaongea naye mambo mengi kisha nikamtania Kama kumjaribu anikumbuke basi hata hela ya soda, akaniambia nisubiri kidogo, nami nikaondoka kwenda kuhangaika angalau nipate hata pesa ya kununulia hata unga, ilipotimia saa 5 nikawa nimerudi nyumbani na sh 5000 tu niliyokuwa nimepewa na rafiki yangu.
Nikamkuta Mke wangu amechuma kisamvu anakichemsha bila kujua kitaliwa na nini.
Nikampatia ile elfu 5,nikakaa ndani nikiwa na mawazo ile mbaya, nikisubiria msosi nile, ilipotimia saa 6:30 mchana, sms ikaingia kwenye simu yangu, nilipotazama ilikuwa ni m pesa, yule girlfriend wangu alikuwa kanitumia sh 950,000 ,moyo wangu Ulienda kasi Kwa mapigo yaani sikuweza kuamini, nikahisi labda alikosea tu, nikatoka mbio ndani kwenda kutoa ile pesa, akawa ananipigia sipokei, baadae akatuma sms nadhani umepata pesa niliyokutumia, sikujibu, wakati nakaribia kwenye kibanda cha m pesa ili nitoe pesa, nikaokota pochi iliyokuwa imetuna na kuiweka mfukoni.
Nilizitoa pesa Haraka Sana, kisha nikamtaarifu kuwa nimepata na kumshukuru Sana, wakati narudi nyumbani nikaitazama ile pochi kuona ni kitu gani kilikuwemo, Duh! sikuamini tena, pochi haikuwa na anuani wala ID yoyote, ilikuwa na sh laki mbili, Kwa kweli sitaisahau hiyo Siku.
Siandiki kuwa furahisha watu, bali ni kweli tupu.
Tangia kipindi hicho hadi leo, kila nalofanya linakuwa.
Kiganja changu
sasa apa tunatamanisha tu maana mii nashika mpunga mwing afu sio wangu afu kiganja changu kina M inakalibiana na N aya bwana kila mtu na riziki yakeWaswahili wana msemo, lisemwalo lipo.
Ni mara nyingi Sana nimekuwa nikisikia tetesi kuwa, watu wenye viganja vyenye alama ya "M " wana bahati Sana, Kwa upande wangu mimi ni muumini mzuri sana Wa Mungu, ila mkono wangu wa kulia una alama ya "M " wa kushoto hauna, binafsi nimekuwa na bahati Sana ktk maisha yangu, na hili nimeanza kuamini kuwa ni kweli kiganja chenye "M"ni bahati kubwa ukiwa nacho.
Nakumbuka ilikuwa 5/january/2012 nilipoamka asubuhi nyumbani nikiwa Sina hata cent, chakula ndani kilikuwa kimeisha, na sukari ilikuwa hamna, nilikuwa nimechanganyikiwa kabisa maana biashara yangu ilianguka
ilipotimia saa 2:30 asubuhi ile, simu yangu iliita, namba Ilikuwa ngeni, nilipokea na sauti ya kike ikasikika, ilikuwa ni girlfriend wangu Wa zamani anayeishi Kwa sasa Canada, alikuwa amekuja Tanzania bila kunitaarifu, yeye tayari ana uraia wa Canada na kaolewa na mzungu, alikuwa Amekuja kusalimia ndugu zake Arusha, nikaongea naye mambo mengi kisha nikamtania Kama kumjaribu anikumbuke basi hata hela ya soda, akaniambia nisubiri kidogo, nami nikaondoka kwenda kuhangaika angalau nipate hata pesa ya kununulia hata unga, ilipotimia saa 5 nikawa nimerudi nyumbani na sh 5000 tu niliyokuwa nimepewa na rafiki yangu.
Nikamkuta Mke wangu amechuma kisamvu anakichemsha bila kujua kitaliwa na nini.
Nikampatia ile elfu 5,nikakaa ndani nikiwa na mawazo ile mbaya, nikisubiria msosi nile, ilipotimia saa 6:30 mchana, sms ikaingia kwenye simu yangu, nilipotazama ilikuwa ni m pesa, yule girlfriend wangu alikuwa kanitumia sh 950,000 ,moyo wangu Ulienda kasi Kwa mapigo yaani sikuweza kuamini, nikahisi labda alikosea tu, nikatoka mbio ndani kwenda kutoa ile pesa, akawa ananipigia sipokei, baadae akatuma sms nadhani umepata pesa niliyokutumia, sikujibu, wakati nakaribia kwenye kibanda cha m pesa ili nitoe pesa, nikaokota pochi iliyokuwa imetuna na kuiweka mfukoni.
Nilizitoa pesa Haraka Sana, kisha nikamtaarifu kuwa nimepata na kumshukuru Sana, wakati narudi nyumbani nikaitazama ile pochi kuona ni kitu gani kilikuwemo, Duh! sikuamini tena, pochi haikuwa na anuani wala ID yoyote, ilikuwa na sh laki mbili, Kwa kweli sitaisahau hiyo Siku.
Siandiki kuwa furahisha watu, bali ni kweli tupu.
Tangia kipindi hicho hadi leo, kila nalofanya linakuwa.
Kiganja changu
LOL..imagine uyu aliyeleta sredi ni kijana na ana kadegree juu cha upper second..Bado elimu inahitajika sana kwa watanzania