[emoji23] [emoji23] [emoji23] viganja M vimekuwa luluHii ni ramli chonganishi sasa, mnataka watu wakatwe viganja?
angalia jinsi wale watafiti walivyouawa kule dodoma ndio utajua watanzania Walio wengi ufahamu wao IPO chiniBado elimu inahitajika sana kwa watanzania
Mbona mstari wako wa Maisha mfupi sana[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Duuuh, hasa inafaidaje au wawezaje kufaidika nayo
Mkuu umetisha sanaHivyo viganja kuna kipindi vilikua bonge la deal hapa kijijni kwetu. Ukiwa na M mkononi muda woooote ni kukunja ngumi unless otherwise wanaume wanaondoka na kiganja kama sio mkono mzima
Duuh nta danja mapema ama??[emoji23] [emoji23]Mbona mstari wako wa Maisha mfupi sana[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]