Hivi ni kweli kwamba imeshidikana kabisa kumshusha Diamond Platnumz licha ya juhudi zote kutoka kwa haters?

Ukitaka kujua Hilo kapitie uzi za Playboy ambaye ni fan wa kiba ambazo amemsifia kiba alafu angalia comments za members walivyomjibu.Huyu jamaa hakuna hata comment mmoja inayomuunga mkono zaidi ya watu kubeza kiba.
ohoo
Wamechill tu...

Kiongozi wao ni Matola . Alafu kuna mtu anaitwa Nifah ...
Hao jamaa ni majeshi.. 😂😂😂😂😂😂
 
Bila Zari uzi haunogi

Zari ni maji usipoyanywa utaogea
 
ohoo
Wamechill tu...

Kiongozi wao ni Matola . Alafu kuna mtu anaitwa Nifah ...
Hao jamaa ni majeshi.. 😂😂😂😂😂😂
We unaowataja wazamani angalia Sasa hiv walivyopoa na wengine wamemuama kiba wewe angalia thread zinazomsifia kiba hakuna akitokea mmoja ndo huyo Playboy anatangwa na members Mara ya mwisho umemuona nifah lini?
 

Kuna ubaya waki mu ignore hata kama anapiga hela na maisha ni yake?

si ndio unachomanisha na kutaka? hawa wengine acha wale wanachoweza hata kama ni kidogo

kwani unahisi diamond anakosa nini?😂😂....


Kusaga aliona mapema sana kuwa diamond ana roho ya kupambana, fighting na ni entertainer..akaamua kufungua WCB media....so mmiliki wa clouds ndio mmiliki wa wasafi.Unataka nini hapo tena?
 
Bro unaongea pumba Sana ndo tatizo la team kiba yaani wewe ukipata like kwa comment hii mshukuru mungu alafu unaonekana ujui kitu we baki jukwaa la siasa hapa upawezi.
 
Nimemtag data umejibu wewe.jibu hii ni ID yako nyingine?naona umejianzishia uzi na kujijibu.

Swali lako ajibu niliyemuuliza oppsss login kwa ID yako nyingine ujibu. Kiranga komo
Kwani zari ndio Nani? Hiv Kuna mtu anayezungumziwa kuliko diamond East Africa mbona hatusemi iwe zari
 
Nani wakumshusha,aliyekuwa anashindana nae yupo huko anacheza ndondo, ambaye boss wao ni shaffi, embu tuache utani ngoma ya kiba IPI utasikiliza ukaeleweka, domo kila leo anachia hit song
 
Hivi Diamond kumiliki 47% ya Wasafi media unaona ni ndogo?kwa kijana aliyeanzia chini bila chochote leo anamiliki media house unaona jambo dogo? Na pia dunia ya leo hakuna mtu anayefanya biashara peke yake,watu wanaunganisha nguvu mambo yanasonga,kwa anayemdharau Diamond kwa hili jambo atakua mpumbavu!
 
Easy mzee....
Naona unakazaa..
 
Jamaa kashafika mbali sana hata akirudi nyumba kwa miaka kumi bado atakua wa kwanza.Anajua kutumia fursa yoyote inayopita mbele yake.
 
Wewe ndio unaona jamaa bado yupo kwenye mainstream ila jamaa kashatoka nje ya reli,usa kuna kitu kinaitwa RIAA ambacho moja ya kazi zake ni kufanya research ya music industry eg mauzo etc huku kwetu hatuna kingekuwepo wangeweka statistics ungeona jamaa alivyoshuka kimuziki.

Dimondi kashuka kimuziki sasa anabebwa na team maandazi yake tu,hawezi kupata shabiki mpya kwa MABOKO yake anayotoa kwa sasa,sio DOMONDI hata KIBAKULI naye kashaisha....Mda wao umeshapita!!!
 
Mnhh...

Mkuu unajua wewe ni Expert wa muda mrefu sana hapa JF..
Umeandika mwenyewe au umeandikiwa!??

Nijibu hilo kwanza then unipe FACTS Diamond kashuka vipi kimuziki..

Msanii ambaye tangu mwaka uanze hakuna aliyemtoa ktk trend huko U tube.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…