Hivi ni kweli kwamba mtu akiziona nyeti za mzazi wake analaaniwa?

Hivi ni kweli kwamba mtu akiziona nyeti za mzazi wake analaaniwa?

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
23,683
Reaction score
55,898
Kuna nadharia imezagaa ktk jamii nyingi kwamba mtu akiziona tupu za mzazi wake analaaniwa, yaani anapata ukichaa/gundu na mikosi kisha mambo yote yanakwenda kombo.

Na inadaiwa mzazi akitaka kumlaani mwanaye huwa anavua nguo zake kisha kumuonesha mwanaye nyeti. Halafu anapata laana.

Hii ni kweli??
 
Hakuna ukweli wowote. Huo ni uongo.

Kuna mazingira yanaweza kusababisha ukaona nyeti za mzazi wako kama vile ugonjwa au dharura nyingine.

Hiyo ya mzazi kuvua nguo na kumlaani mtoto nayo ni uongo tu. Hata akifanya hivyo hauwezi laanika. Laana inampata yeye mwenyewe kwa kuonesha ukichaa wake wa kukuvulia nguo
 
Kuna nadharia imezagaa ktk jamii nyingi kwamba mtu akiziona tupu za mzazi wake analaaniwa, yaani anapata ukichaa na mambo yote yanakwenda kombo.

Na inadaiwa mzazi akitaka kumlaani mwanaye huwa anavua nguo zake kisha kumuonesha mwanaye nyeti. Biashara inakuwa imekwisha.

Hii ni kweli??
Hulaaniwi wewe kaziangalie tuu, kwani una shida gani na nyeti mzazi wako?
 
Mi mzee wangu aliwahi kuniambia nimpelekee sijui ilikua ni taulo Sijui ni maji bafuni kwaiyo ningeenda nimefunga macho ?
 
Kuna nadharia imezagaa ktk jamii nyingi kwamba mtu akiziona tupu za mzazi wake analaaniwa, yaani anapata ukichaa/gundu na mikosi kisha mambo yote yanakwenda kombo.

Na inadaiwa mzazi akitaka kumlaani mwanaye huwa anavua nguo zake kisha kumuonesha mwanaye nyeti. Halafu anapata laana.

Hii ni kweli??
Watoto siku hizi wanawakaza mama zao au wanakazwa na baba zao na hawapati laana


Wewe unasema kuona tu.


All in all nadhani ni mila na zimesaidia kwa kiwango kikubwa kuleta heshima kwa wazazi.


Japo sasa zinapotea
 
Kuna nadharia imezagaa ktk jamii nyingi kwamba mtu akiziona tupu za mzazi wake analaaniwa, yaani anapata ukichaa/gundu na mikosi kisha mambo yote yanakwenda kombo.

Na inadaiwa mzazi akitaka kumlaani mwanaye huwa anavua nguo zake kisha kumuonesha mwanaye nyeti. Halafu anapata laana.

Hii ni kweli??
Wanawake walio wengi wamelaniwa sababu wanavaa nguo fupi wanainama kufanya usafi mbele ya watoto wao wakiume miaka hii mtoto wa kiume kuona uchi wa mamake kawaida tu hasa hawa wanajiita wasomi
 
Sasa wewe ukaangalie tupu za mzazi wako zanini ukiona kunadalili kwanini usikimbie, muulize Hamu mwana wa Nuhu;
Baadhi ya wanawake wanavaa nguo fupi wanaina au kuketi nao kuangalia tv watoto wanaona k za mama zao
 
Watoto siku hizi wanawakaza mama zao au wanakazwa na baba zao na hawapati laana


Wewe unasema kuona tu.


All in all nadhani ni mila na zimesaidia kwa kiwango kikubwa kuleta heshima kwa wazazi.


Japo sasa zinapotea
Kitendo cha mtoto baba kulala na mwanae hiyo ndio laana unadhani kulaaniwa lazima uvuo nguo barabalani?
 
Umeshacheki nyeti za mzazi nini [emoji23][emoji23][emoji23]

Kisayansi, hiyo nadharia haikubaliki. Labda Kidini na Kimila
Imani tu, hata kidini haipo. Kumbuka hata dini ni mkusanyiko wa mila na desturi za jamii mbalimbali. Sawa tu na sheria za nchi.

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
 
Kuna msemo unasema MHESHIMU MKUBWA WAKO KAMA MZAZI WAKO.

Leo hii naangalia Porn za wakubwa zangu hatariii. Sasa naangalia porn za wakubwa sijui laana nitanifika😂😂
Malezi ya vijana wa ccm
 
Imani tu, hata kidini haipo. Kumbuka hata dini ni mkusanyiko wa mila na desturi za jamii mbalimbali. Sawa tu na sheria za nchi.

Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
Kitendo cha mama kuvaa kisiketi au kanga 1 hali yakuwa anajua kuwa anaishi na watoto wake wa kiume waliokomaa wakati huo anaketi nao sebuleni kutazama tv au anainama kukosa viombo au kudeki ni kuwalaza watoto hao kuona uchi wake na hiyo imekuwa kawaida hasa kwa hawa wanawake wanajifanya kwenda na wakati
 
Back
Top Bottom