Hivi ni kweli mawazo huleta uhalisia?

Hivi ni kweli mawazo huleta uhalisia?

OK Good question

Kuna outward na inward

Dunia yako ya ndani huitwa inward, hii hujiushisha na kila kitu Ambacho huendelea katika maisha yako kwa ndani mfano, kufikiri ,hisia n.k

Then kuna outward hii ni dunia ya nje ambayo humtokea MTU ,mfano maisha yako na kila kitu kinachoendelea.


Point yangu hii hapa.

Unaweza kuwa umepata kitu outward Ila unabidi kuelewa vitu vyote huanzia inward ,kazi , mahusiano n.k.

So unapokuwa driven mambo ya nje Sana unakuwa unaua nguvu yako ya ndani na kuanza kukosa vitu chanya.


Nimeona umesema huajawa wishes na rafiki zako au schoolmates wako boys katika Birthday yako.

Badala ya kulalamika unashukuru na kuwashukuru maana siku usiyoijua ndo siku wanaweza kukufanyia jambo positive . Ila hawatofanya ikiwa utawalalamikia na kuwalaumu.


So your thought becomes things unabidi kuwa na positive thoughts 24/7 .
Asante mkuu. Nimekupata hapo, ila we are no longer boys sema stori nimeiweka ki childish sana naona watu wanadiss! Ni watu wazima now, above 26 na kuendelea...
 
OK Good question

Kuna outward na inward

Dunia yako ya ndani huitwa inward, hii hujiushisha na kila kitu Ambacho huendelea katika maisha yako kwa ndani mfano, kufikiri ,hisia n.k

Then kuna outward hii ni dunia ya nje ambayo humtokea MTU ,mfano maisha yako na kila kitu kinachoendelea.


Point yangu hii hapa.

Unaweza kuwa umepata kitu outward Ila unabidi kuelewa vitu vyote huanzia inward ,kazi , mahusiano n.k.

So unapokuwa driven mambo ya nje Sana unakuwa unaua nguvu yako ya ndani na kuanza kukosa vitu chanya.


Nimeona umesema huajawa wishes na rafiki zako au schoolmates wako boys katika Birthday yako.

Badala ya kulalamika unashukuru na kuwashukuru maana siku usiyoijua ndo siku wanaweza kukufanyia jambo positive . Ila hawatofanya ikiwa utawalalamikia na kuwalaumu.


So your thought becomes things unabidi kuwa na positive thoughts 24/7 .
Bro! kwa heshima kabsa, naomba source ya hizi nondo, much respect ✊
 
Kuna msichana mmoja tulisoma wote nursery na primary! Nilikua nime crush kwake ila sikuwahi mwambia niliogopa itakua noma. Skuli za mission na mapenzi ni vitu viwili tofauti. Bahati mbaya wakahamia mkoa mwingine.

So fast forward miaka imeenda ila mm nilikua kuna siku nashangaa namuwaza from no where nashangaa tu nimemuwaza! Hata bila sababu! Nikawa nakaushia tu ukizingatia walisha hama na sina namba na hata sidhani kama angenikumbuka. Ila inapita miezi au weeks kadhaa namuwaza tena bila sababu tu kama tunavyokumbukaga vitu vya zamani for no reason.

Mwaka juzi nikaungwa group la primary WhatsApp! Af ukizingatia ilikua imekaribia birthday yangu, so ilivyofika tu nikapostiwa. Watu walikua wamenimiss kinoma hasa mademu, duuh niliwishiwa vyakutosha ila madume mengi yalikaa kimya najua yalikua na jealous🤣 tu.

So baada ya bday kama siku 3 hiv nashangaa dm. Mtoto sijamtambua! Nikamwambia akasema tumesoma wote primary na namba yako nimetoa huko... long story short ni pisi ambayo skutegemea itanitafuta... hatukuwahi ongea, primary na hatukumaliza la saba wote. Ila nikikua nampenda kichizi. Na nilikua naota ndoto sometimes af naamka najilaani kuota ndoto za kijinga na kuuharibu usingizi wangu.

Ukweli nilichanganyikiwa na kuhisi labda ninanguvu zisizo za kawaida... baada ya hilo jambo kutokea.

Je kuna uhalisia wowote kuhusu mawazo ya binadamu kutengeneza uhalisia.? Kunavitu vingi vimeshawahi tokea kwa kuviwaza kwanza baada ya hilo tukio. Najua kuna watu wanaexperience zao pia karibuni.
Mawazo na thought zetu hukamilikaga vingi hutokea..
 
Umeanza kueleza vzuri sana mpaka nikavutiwa kusoma story yako. Ila ulipofika pale Mara Birthday yang ilikiwa inakaribia, Mara boys hawakuniwish sabab ya Wivu nikajuq tayar shida ipo hapa. Anyway hiyo ipo kwa kila mtu na nazani inatofautiana kwa mtu na Mtu. Hujawah kukaa unasikiliza redio na ukawa na hisia nq Wimbo flan na Mara vuu Dj akapiga wimbo huo, Au umekaa tuu na mtu mara ghafla mnafanya tukio moja kwa pamoja, Inaweza kuwa kuimba au kuinuka kwa lengo la kufanya jambo flan
 
Kuna msichana mmoja tulisoma wote nursery na primary! Nilikua nime crush kwake ila sikuwahi mwambia niliogopa itakua noma. Skuli za mission na mapenzi ni vitu viwili tofauti. Bahati mbaya wakahamia mkoa mwingine.

So fast forward miaka imeenda ila mm nilikua kuna siku nashangaa namuwaza from no where nashangaa tu nimemuwaza! Hata bila sababu! Nikawa nakaushia tu ukizingatia walisha hama na sina namba na hata sidhani kama angenikumbuka. Ila inapita miezi au weeks kadhaa namuwaza tena bila sababu tu kama tunavyokumbukaga vitu vya zamani for no reason.

Mwaka juzi nikaungwa group la primary WhatsApp! Af ukizingatia ilikua imekaribia birthday yangu, so ilivyofika tu nikapostiwa. Watu walikua wamenimiss kinoma hasa mademu, duuh niliwishiwa vyakutosha ila madume mengi yalikaa kimya najua yalikua na jealous🤣 tu.

So baada ya bday kama siku 3 hiv nashangaa dm. Mtoto sijamtambua! Nikamwambia akasema tumesoma wote primary na namba yako nimetoa huko... long story short ni pisi ambayo skutegemea itanitafuta... hatukuwahi ongea, primary na hatukumaliza la saba wote. Ila nikikua nampenda kichizi. Na nilikua naota ndoto sometimes af naamka najilaani kuota ndoto za kijinga na kuuharibu usingizi wangu.

Ukweli nilichanganyikiwa na kuhisi labda ninanguvu zisizo za kawaida... baada ya hilo jambo kutokea.

Je kuna uhalisia wowote kuhusu mawazo ya binadamu kutengeneza uhalisia.? Kunavitu vingi vimeshawahi tokea kwa kuviwaza kwanza baada ya hilo tukio. Najua kuna watu wanaexperience zao pia karibuni.
Ndiyo Mkuu
 
Umeanza kueleza vzuri sana mpaka nikavutiwa kusoma story yako. Ila ulipofika pale Mara Birthday yang ilikiwa inakaribia, Mara boys hawakuniwish sabab ya Wivu nikajuq tayar shida ipo hapa. Anyway hiyo ipo kwa kila mtu na nazani inatofautiana kwa mtu na Mtu. Hujawah kukaa unasikiliza redio na ukawa na hisia nq Wimbo flan na Mara vuu Dj akapiga wimbo huo, Au umekaa tuu na mtu mara ghafla mnafanya tukio moja kwa pamoja, Inaweza kuwa kuimba au kuinuka kwa lengo la kufanya jambo flan
Mbona ndivyo ilivyokua! Sijawahi kudanganya wala kutengeneza stori za uongo humu! Mm naona watu wanareact hicho kipande!

Kweli kabisa, especially zile playlist za maredioni ishawahi nitokea mara nyingi, au unakua umefikiria saa hivi itakua mda flan, then unajaribu kucheki saa unakuta imetimia kweli... au unawaza mtu flani atakua anamatatizo then unajaribu kumchek unakuta kweli labda anumwa.

Je unafikiri kuna mechanism gani inatokea hapo? Nishasoma kuhusu telepathy ila bado sijawa na usibitisho wa kutosha, maana kama ni hivyo watu wangeitumia kama advantage kucontrol reality.
 
Back
Top Bottom