mutisya mutambu
JF-Expert Member
- Nov 21, 2010
- 208
- 82
habari wakuu!! hivi hii dhana ya kwamba ukiwa katika dozi ya dawa usinywe maziwa...ati utaharibu dozi ni kweli???
habari wakuu!! hivi hii dhana ya kwamba ukiwa katika dozi ya dawa usinywe maziwa...ati utaharibu dozi ni kweli???
Kamanda,
Si kweli dawa zote zitakuwa hazifanyi kazi ukinywa maziwa wakati unazitumia. Kwa uelewa wangu ni dawa mbili tu ambazo hushauriwi unywe maziwa pindi ukiwa unazitumia
- Tetracycline
- Antiacid (alminium ones)
Karibu kama una maswali zaidi
sure ni dawa chake ikiongezeka ciprofloxacin na kuna zingine ni vizuri kunywa na maziwa ka ALU.Kamanda,
Si kweli dawa zote zitakuwa hazifanyi kazi ukinywa maziwa wakati unazitumia. Kwa uelewa wangu ni dawa mbili tu ambazo hushauriwi unywe maziwa pindi ukiwa unazitumia
- Tetracycline
- Antiacid (alminium ones)
Karibu kama una maswali zaidi
Kamanda,
Si kweli dawa zote zitakuwa hazifanyi kazi ukinywa maziwa wakati unazitumia. Kwa uelewa wangu ni dawa mbili tu ambazo hushauriwi unywe maziwa pindi ukiwa unazitumia
- Tetracycline
- Antiacid (alminium ones)
Karibu kama una maswali zaidi
Inategemea, maziwa huzuia kunyonywa tetracycline, pombe uzuia kuharibiwa flagyl,pombe inaeza inaeza leta matatizo kwenye figo ikiwa kama anatumia frusemide na anaweza kupoteza maji sana
Disulfiram like effect because it's inhibit alcohol dehydrogenase enzyme( ADH)
refer kwa mtoto mchanga...mama anatoa maziwa ambayo ni standard na yanavirutubisho vya kutosha kwa ajili ya mwanae..but sijawahi sikia ati asimnyonyeshe mwanae kama anatumia dozi.. hata kama mtoto ana less than a day...anapewa dawa in case anaumwa na kushindilia maziwa ya mama hapohapo
Dawa ambazo hazipaswi kuchukuliwa na maziwa ni TETRACYCLINE . Na tetracycline derivative yaani ndugu zake na tetracycline kama DOXYCYCLINE , oxytetracylin na minocyclin , na nyingine tunaziita FLOROQUINOLIN kama Ciprofloxacin.Hizi dawa zinaform chelating agent na madini kama Ca+2,mg 2+ (divalent metal) zinatengeza complex structure ambayo haiwezi kuwa absorbed kwenye system kwa maana nyingine zinafanya dawa isiwe active.kwa hiyo basi maziwa yanakatazwa kwa kuwa yanakiwango kikubwa cha madini haya sanasana ya Ca2+ . Kwa mama anayenyonyesha au mjamzito kuanzia miezi 6 na kuendelea akiwa anachukua dawa kama doxycycline kuna uwezekano mtoto kuwa na meno yenye rangi (Permanent teeth descoloration ) kuwa na mifupa isiyo imara kwa kuwa hizo dawa zinapita kwenye maZiwa ( secretion in milk)
omeprazole sio ant acid japo inapunguza acid. pia hiyo dozi yako ya ulcers inamakosa. kati ya amoxi na metro moja inatakiwa kutoka na kuweka claritthromycin.me nakunywa hizi dawa metronidzole. Amoxilin. Omeprazole na pia nakunywa maziwa huku nipo kwenye hiyo doze je nimeharibu doze coz umemention antacid
Kwanin OMEPRAZOLE isiwe antiacid ?omeprazole sio ant acid japo inapunguza acid. pia hiyo dozi yako ya ulcers inamakosa. kati ya amoxi na metro moja inatakiwa kutoka na kuweka claritthromycin.