NAGAMAHONGA
JF-Expert Member
- Dec 11, 2012
- 11,131
- 9,301
Ukikutana nae utamjua tu halafu uganga ni kama msiba aliyefanikiwa ndio atakueleza kwamba mganga fulani ni mzuri.Nawezaje kumtambua mganga wa ukweli mkuu???
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukikutana nae utamjua tu halafu uganga ni kama msiba aliyefanikiwa ndio atakueleza kwamba mganga fulani ni mzuri.Nawezaje kumtambua mganga wa ukweli mkuu???
Waganga wajanja sana. Check hizo kamba.Karibuni wanajukwaa
View attachment 3237711
Waganga WALIKUWEPO Toka dahari wataendelea kuwepo shida watu wanapenda kuzungumzia vitu wasivyovijua.Ujue kazi ya uganga ya kwanza ni kutibu.na kabla ya kuja doctor wa koti jeupe wao ndio walitibu,Usisahau mkunga wa jadi nae ni mganga na alizalisha watoto nyakati hizo.Jina na neno mganga ni Pana kuliko udhaniavyo.Waganga wajanja sana. Check hizo kamba.
Yeye mwenyewe hana hata Biashara ya genge.
Watoto wake wakubwa wana familia maisha yamewachapa hjjaweza kuwasaidia hata kuingiza kipato cha elfu 10 kwa siku
Sasa mganga na dini wapi na wapiAnaweza ndio ila awe mganga kweli na mwenye dini.
HeheheKuna mganga mmoja hv aliniambia nimpelekee matofali na cement, nikaona huu ujinga
Achana na ushirikina huo!!!Nawezaje kumtambua mganga wa ukweli mkuu???
For suredownload chatgpt app Muulize hilo swaliatakujibu poa sana utaridhika
Ila lazima uingie gharamaWaganga wapo wazuri na wanaweza kukubusti bila matatizo ya kijingajinga.
Hata hospitali kuna gharama,Mganga mwingine wa kweli atakwambia ulifanikiwa unikumbuke sasa usipimkumbuka kila mmoja ana hatua sale.Kumbuka mganga mkweli HUWA na macho yaitwayo ramli huwezi mdanganya.Ila lazima uingie gharama
Hawa wa kutupa utajiri?Waganga WALIKUWEPO Toka dahari wataendelea kuwepo shida watu wanapenda kuzungumzia vitu wasivyovijua.Ujue kazi ya uganga ya kwanza ni kutibu.na kabla ya kuja doctor wa koti jeupe wao ndio walitibu,Usisahau mkunga wa jadi nae ni mganga na alizalisha watoto nyakati hizo.Jina na neno mganga ni Pana kuliko udhaniavyo.
Kila mtu anakwenda kwa mganga kwa LENGO lake,watanzania WENGI wanasumbuliwa na mauchawi ya kiukoo ya kurithi.Pata jibu 90% ya watz wanakwenda kwa waganga but mbona still wamepigika haswaa kiuchumi
90% ni ishu za uchumiKila mtu anakwenda kwa mganga kwa LENGO lake,watanzania WENGI wanasumbuliwa na mauchawi ya kiukoo ya kurithi.
CHAI.Kuna mganga mmoja hv aliniambia nimpelekee matofali na cement, nikaona huu ujinga
Utajiri kama hukuandikiwa huwezi kupata na ukilazimisha ndio yanakuja maagano na masharti.Mganga mkweli kama inatafuta kazi atakwambia let's jina ya kampuni unayoomba kazi,unamjua bosi yeyote,kama una biashara atakusafisha atakulinda na maadui wanaoonekana na wasioonekana,atakuwa mvuto na mambo yataenda.lazima aone mwelekeo.Hawa wa kutupa utajiri?
Asilimia kubwa ya waendao kwa waganga ni wanawake sasa ingia kilingeni uone wanachokifuata.ila WANAUME mara nyingi ndio uchumi na kufitiniana kazi.90% ni ishu za uchumi