Daudi1
JF-Expert Member
- Dec 14, 2013
- 12,444
- 18,741
Dini inahusisha imani mkuu, sasa hiyo dini iwe na imani ganiDini ni hali ya kuwa na utu na ubinaadamu ukijumuisha na ukweli.Yaani sio tapeli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dini inahusisha imani mkuu, sasa hiyo dini iwe na imani ganiDini ni hali ya kuwa na utu na ubinaadamu ukijumuisha na ukweli.Yaani sio tapeli
Dini huzungumza wema na wema unataojwa unamhusisha Mungu kwa hiyo Mungu ni wema dini zipo nyingi.Dini inahusisha imani mkuu, sasa hiyo dini iwe na imani gani
sasa mganga na Mungu wapi na wapiDini huzungumza wema na wema unataojwa unamhusisha Mungu kwa hiyo Mungu ni wema dini zipo nyingi.
Bila juhudi mganga atajisumbua tu 😂😂😂Karibuni wanajukwaa
View attachment 3237711
Unaenda kumjengea yeye 😂Kuna mganga mmoja hv aliniambia nimpelekee matofali na cement, nikaona huu ujinga
Wakati Mm bado naishi sebuleni kwa shemeji yangu hapa 😭Unaenda kumjengea yeye 😂
Umeshataja Imani tayari,ili UENDE kwa mganga umeshaamini atasaidia.Na waganga wapo wa Aina tofauti pia wapo ambayo hutibu kwa misingi ya Dua za kiislam,wapo watumiao mizimu,wapo watumiao vitabu.Mganga akikutibu kidua maana yake anatumia uislam na uislam ni dini.sasa mganga na Mungu wapi na wapi
Sasa na yeye mganga akitaka kupata mwelekeo wa biashara nani atam boost😳 Muwage mnajiongeza loh.Karibuni wanajukwaa
View attachment 3237711
Mganga ni mganga sio mfanyabiashara yule,Yeye ni mganga.Sasa na yeye mganga akitaka kupata mwelekeo wa biashara nani atam boost😳 Muwage mnajiongeza loh.
Kumbe dini zimefafanua maswala ya kiganga😅 au mimi ndo sijuiAnaweza ndio ila awe mganga kweli na mwenye dini.
😂😂au wewe ni mtaalam mwenzetu maana doh.Mganga ni mganga sio mfanyabiashara yule,Yeye ni mganga.
Kwani uganga ni nini?hujawahi enda hospitali ukakuta mlango umeandikwa mganga mkuu,mfawidhi na kadhalika.kuna vimbe zinashindikana hospitali zinaponea kwa waganga.msiuppeleke uganga kwenye utajiri na kuchuma pesa tu.Waganga pia hutibu maradhi mbalimbali yaliyoshindikana hospitali.Kumbe dini zimefafanua maswala ya kiganga😅 au mimi ndo sijui
Ni mkufunzi na mtaalam wa hizo makitu zinaitwa uganga na Tina mbadala.😂😂au wewe ni mtaalam mwenzetu maana doh.
Hakuna mganga anayetibu kwa misingi ya dua za kiislamu ndugu. Hao waganga wanaotibu kwa maneno sjui ya kiarabu wanajua wenyewe wanazungumza nini.Umeshataja Imani tayari,ili UENDE kwa mganga umeshaamini atasaidia.Na waganga wapo wa Aina tofauti pia wapo ambayo hutibu kwa misingi ya Dua za kiislam,wapo watumiao mizimu,wapo watumiao vitabu.Mganga akikutibu kidua maana yake anatumia uislam na uislam ni dini.
Mzee acha ubishi wa ngomani,Kuna mgonjwa anatibiwa kwa kusomewa hizo hizo Dua za quraani ,hizo hizo.Hakuna mganga anayetibu kwa misingi ya dua za kiislamu ndugu. Hao waganga wanaotibu kwa maneno sjui ya kiarabu wanajua wenyewe wanazungumza nini.
Uislamu umepiga vita kali dhidi ya huo ushirikina.
Soma vizuri ndiyo utoe hoja.
Kama utajiri wa ajabu upo. Nenda kautumie kwa nguvu zako zote na juhudi zako zote, Uwazidi matajiri wakubwa duniani kama Elon musk, Jeff Bezos, Billgates Warren Buffett n.kUtajiri wa ajabu UPO nukta.
Kwani mi nimekwambia nataka utajiri,wewe unadhani kila mtu anataka utajiri?hapa ni baraza I tunabadilishana mawazo kumjibu mtoa hoja.Hili neno la utajiri wa kimazingara sikulianzisha Mimi nimelikuta,nalijadili.Sio kila kitu kinajadiliwa kama malumbano ya Hoja.Kama utajiri wa ajabu upo. Nenda kautumie kwa nguvu zako zote na juhudi zako zote Uwazidi matajiri wakubwa duniani kama Elon musk, Jeff Bezos, Billgates Warren Buffett n.k
Au walau basi Uwazidi matajiri wakubwa hapa Afrika kama Dangote, Bakhressa au Mo Dewji.
Ukifanikisha hilo, rudi hapa utupe mrejesho wa huo utajiri wa ajabu.
Unless otherwise hizi ni porojo tu unapiga hapa.
Sio kweli.Ila lazima uingie gharama
Kwani uganga ni nini?hujawahi enda hospitali ukakuta mlango umeandikwa mganga mkuu,mfawidhi na kadhalika.kuna vimbe zinashindikana hospitali zinaponea kwa waganga.msiuppeleke uganga kwenye utajiri na kuchuma pesa tu.Waganga pia hutibu maradhi mbalimbali yaliyoshindikana hospitali.
Waganga ni watu wabishi mno na mara nyingi wanahisi wapo sahihi kumbe laah.Mzee acha ubishi wa ngomani,Kuna mgonjwa anatibiwa kwa kusomewa hizo hizo Dua za quraani ,hizo hizo.