Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ukiwa mmoja wao?Pata jibu 90% ya watz wanakwenda kwa waganga but mbona still wamepigika haswaa kiuchumi
Utajiri unatoka kwa Mungu mkuu au kwa kurithi,mengineyo ni maagano.We SI ndio unataka utajiri so yeye ukipenda anakupa mbinu za kupata.Utajiri sio LENGO lake yeye kazi yake ni kuagua na kufuata Mila na miiko ya kazi yake.Mganga aliyeshindwa kujitajirisha yeye mwenyewe, Ndio unategemea akupe mwelekeo wa biashara yako?
Common sense kidogo tu, Hamna.
Ndio maana mnatapeliwa kila kukicha.
Inasikitisha sana mkuuCHAI.
Utadhani HUWA anakaa mahalo anawahesabu.Wewe ukiwa mmoja wao?
Mungu alishafeli kuwasaidia,zaidi wanahangaika na maspika ya kichina kupigia kelele watu kama makanisa hayawatoshi,wamechanganyikiwa.Unafiq utamwombaje Mungu wakati wewe mwenyewe MBAYA rohoni..kati ya mungu na mganga nani ana nguvu?
si mumuombe mungu?
watu wa dini mnachekesha sana
Maana yake Mungu si muweza wa yote, hana upendo kwa watu wake.Mungu alishafeli kuwasaidia
Ni muweza ila wanatafuta nini kwa waganga.Hawajui watakalo na yeye amewaacha watapetape.Maana yake Mungu si muweza wa yote, hana upendo kwa watu wake.
Mimi ni muumini wa sayansi ya akili na sio Imani.Wewe ukiwa mmoja wao?
Mkuu naomba basi Mimi konekshen ya mtaalam wa maagano ya utajiriUtajiri unatoka kwa Mungu mkuu au kwa kurithi,mengineyo ni maagano.We SI ndio unataka utajiri so yeye ukipenda anakupa mbinu za kupata.Utajiri sio LENGO lake yeye kazi yake ni kuagua na kufuata Mila na miiko ya kazi yake.
haO siwajui na sitaki kuwa chanzo Cha majuto YAKO na familia YAKO labda ungeniuliza kuhusu mganga wa kuboost kama mtoa nada alivyoomba.Mkuu naomba basi Mimi konekshen ya mtaalam wa maagano ya utajiri
Mnauliza tuwaelekeze alaf muanze kutuchallenge nyie wasomiKaribuni wanajukwaa
View attachment 3237711
Kwanza Mungu hayupo.Utajiri unatoka kwa Mungu mkuu
Utajiri ni wa wanadamu.au kwa kurithi,mengineyo ni maagano.We SI ndio unataka utajiri so yeye ukipenda anakupa mbinu za kupata.Utajiri sio LENGO lake yeye kazi yake ni kuagua na kufuata Mila na miiko ya kazi yake.
Walete tu hizo chellenge DUNIA sio rahisi tena na Mungu yupo mbali.Mnauliza tuwaelekeze alaf muanze kutuchallenge nyie wasomi
mganga mwenye dini tenaAnaweza ndio ila awe mganga kweli na mwenye dini.
Utajiri wa ajabu UPO nukta.Kwanza Mungu hayupo.
Hakuna utajiri wa aina yeyote ile unaotoka kwa Mungu.
Utajiri ni wa wanadamu.
Utajiri unatoka kwa wanadamu.
Utajiri upo kwa wanadamu.
Hakuna utajiri wa kishetani, freemason, Illuminati, ritual, kichawi au kishirikina.
Utajiri haupatikani kwa uchawi, uganga au ushirikina.
Hakuna Mungu anayetoa utajiri.
Hakuna Shetani anayetoa utajiri.
Siku zote utajiri wa kishetani, kichawi au kishirikina husikika tu kwa watu maskini hasa waafrika maskini choka mbaya, pangu pakavu tia mchuzi.
Huwezi kusikia hata siku moja kwamba utajiri wa Mo Dewji umetokana na uchawi au ushirikina. Bali Mo Dewji alipewa mtaji mkubwa na baba yake. Na utajiri wake unatokana na makampuni yake makubwa ya vinywaji na chakula hapa nchini.
Huwezi kusikia kwamba Elon musk utajiri wake unatokana na uganga au ushirikina. Utajiri wa Elon musk unatokana na kampuni zake za Space X, Tesla na Twitter.
Huwezi kusikia kwamba utajiri wa Jeff Bezos ulitokana na uchawi, uganga au ushirikina. Bali utajiri wa Jeff Bezos umetokana na kampuni yake ya Amazon.
Huwezi kusikia kwamba utajiri wa Aliko Dangote umetokana na ushetani au ushirikina. Bali utajiri wa Dangote umetokana na viwanda vyake vikubwa vya saruji na makampuni yake.
Halafu unakuta kuna makapuku huko wana aminishana kwamba kuna utajiri wa kishetani, kichawi na kishirikina.
Chaku shangaza bado umaskini wao upo vilevile.
Ukiwauliza kwa nini wasiutumie huo utajiri wa kishetani, kichawi na kishirikina kuwa matajiri kama Bakhressa wanakwambia wana ogopa masharti...!!
Ndio mentality za waafrika hizi..!!
Dini ni hali ya kuwa na utu na ubinaadamu ukijumuisha na ukweli.Yaani sio tapelimganga mwenye dini tena