Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 2,331
- 7,733
HakikaYule alikua ni Raisi wa vituko, vichekesho na kupenda sifa.
Sasa kama hatumii hata mia kuanzia msosi,safari na kusomesha mm naona hata angepewa laki ingetoshaEnzi ya uhai wake, hayati Magufuli aliwahi kutuambia kuwa analipwa shilingi milioni 9 kwa mwezi na akirudi toka mapumzikoni Chato atatuonyesha hati yake ya mshahara (salary slip).
Bahati mbaya mpaka anaingia kaburini hakuwahi kutuonyesha hiyo salary slip yake.
Je, ni kweli mshahara wa Rais ni milioni 9?
Na wewe ulivyo na akili ndogo ukaamini?Enzi ya uhai wake, hayati Magufuli aliwahi kutuambia kuwa analipwa shilingi milioni 9 kwa mwezi na akirudi toka mapumzikoni Chato atatuonyesha hati yake ya mshahara (salary slip).
Bahati mbaya mpaka anaingia kaburini hakuwahi kutuonyesha hiyo salary slip yake.
Je, ni kweli mshahara wa Rais ni milioni 9?
Nyie ndio ambao hamjitambui.Yule alikua ni Raisi wa vituko, vichekesho na kupenda sifa.
π€£π€£ Na wewe ulikuwa unamwamini yule tapeli? ππEnzi ya uhai wake, hayati Magufuli aliwahi kutuambia kuwa analipwa shilingi milioni 9 kwa mwezi na akirudi toka mapumzikoni Chato atatuonyesha hati yake ya mshahara (salary slip).
Bahati mbaya mpaka anaingia kaburini hakuwahi kutuonyesha hiyo salary slip yake.
Je, ni kweli mshahara wa Rais ni milioni 9?
Ongezea hapo.. madili na ten percent za michongo mirefu!!π Hata aweke elfu 2 halafu unakuta posho ni mil 50 bado gharama za wasaidizi kama mil 30 kwa safari moja.