Kunguru wa Unguja
JF-Expert Member
- Aug 18, 2021
- 1,762
- 1,823
Zoa zoa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbele ya hadhara ya wananchi maskini (wanyonge) kiongozi yoyote angewezwa kudhalilishwa kwa namna yoyote ileYule alikua ni Raisi wa vituko, vichekesho na kupenda sifa.
Wewe na akili kubwa unaendeleaje hapo NASA?Na wewe ulivyo na akili ndogo ukaamini?
Wabunge kwasasa wanalamba milioni 16Nikweli kwanu msharahara wa katibunkiongoiz ni 6 million .Hata wabunge mshahara ni 2.4 million lakink ukiweka marupurupu yasiyokatwa Kodi, Rai's anapata kama 60 take-home kila mwezi wakati wabunge wanakula 12 million take home
Magu alisema mshahara wake milioni tisa kweli kabisa,lakini CAG aligundua upotevu wa tirioni 1 nanusu magufuli hoyeeeeeEnzi ya uhai wake, hayati Magufuli aliwahi kutuambia kuwa analipwa shilingi milioni 9 kwa mwezi na akirudi toka mapumzikoni Chato atatuonyesha hati yake ya mshahara (salary slip).
Bahati mbaya mpaka anaingia kaburini hakuwahi kutuonyesha hiyo salary slip yake.
Je, ni kweli mshahara wa Rais ni milioni 9?
Huu ndiyo ukweli wenyeweYule alikua ni Raisi wa vituko, vichekesho na kupenda sifa.