Hivi ni kweli mshahara wa Rais ni Milioni 9 kama alivyowahi kutuambia Hayati Magufuli?

Hivi ni kweli mshahara wa Rais ni Milioni 9 kama alivyowahi kutuambia Hayati Magufuli?

Yule alikua ni Raisi wa vituko, vichekesho na kupenda sifa.
Mbele ya hadhara ya wananchi maskini (wanyonge) kiongozi yoyote angewezwa kudhalilishwa kwa namna yoyote ile
 
Nikweli kwanu msharahara wa katibunkiongoiz ni 6 million .Hata wabunge mshahara ni 2.4 million lakink ukiweka marupurupu yasiyokatwa Kodi, Rai's anapata kama 60 take-home kila mwezi wakati wabunge wanakula 12 million take home
Wabunge kwasasa wanalamba milioni 16
 
ikiwa marehemu likwelile amefariki akiwa na utajiri wa bilioni 4 unategemea magufuri amekufa akiwa na utajiri kiasi gani?
 
Enzi ya uhai wake, hayati Magufuli aliwahi kutuambia kuwa analipwa shilingi milioni 9 kwa mwezi na akirudi toka mapumzikoni Chato atatuonyesha hati yake ya mshahara (salary slip).

Bahati mbaya mpaka anaingia kaburini hakuwahi kutuonyesha hiyo salary slip yake.

Je, ni kweli mshahara wa Rais ni milioni 9?
Magu alisema mshahara wake milioni tisa kweli kabisa,lakini CAG aligundua upotevu wa tirioni 1 nanusu magufuli hoyeeeee
 
Back
Top Bottom