Hivi ni kweli Picha ya Yesu ni mzungu halafu picha ya Shetani ni mtu mweusi?

Hivi ni kweli Picha ya Yesu ni mzungu halafu picha ya Shetani ni mtu mweusi?

Yesu ni mfano wa wema na upendo na Mambo mazuri Hilo liko upande wa watu weupe...
( wazungu)...
Achana na wazungu washenzi wale ndio maana iliandikwa usijifanyie picha wala masanamu kwa mfanano wa yaliyopo Mbinguni.

Historia inasema Yesu kristu si mzungu bali ni alikuwa ana asili ya Palestina akiwa na nywere nyeusi na skin dark colour, hii inajidhiirisha kwny picha za makanisa ya Orthodox Christian ila Roman Catholic walibadilisha picha na kuweka Mzungu.

mwaka 1493 ambapo Papa Alexander VI alituma papa bulls (jumbe za kitume za papa) akitaka kwamba picha za yesu zibadilishwe hivyo wakamtumia mwanae Aitwae Cesare Borgia huyu alikuwa italian Playboy. Basi Da Vinci akachora zikaingizwa makanisani miaka ya 1501.
 
Mungu fundi sana bro .

Ngozi nyeusi - mioyo meupe

Ngozi nyeupe - mioyo meusi

Angalia waarabu rangu zao uzuri wao ila ingia ndani ya mioyo yao wamejaa chuki, ushirikia, roho mbaya
Angalia wazungu wanapesa, ngozi safi, nywele ndefu angalia mioyo yao kila siku kutubagua kutuita nyani.

Mwisho wa siku Ngozi nyeupe ,Ngozi nyeusi, Utajiri, Umaskini, Kujua kiarabu, kujua kiebrania, mrefu, mfupi siku ya malipo avitasaidia kamwe. Utabebwa na matendo yako yalio mema
 
Hizo picha ni vitu vya kufikirika tu hakuna aliyewaona na kuwapiga picha.

Waliotuletea Dini walitukia fikra za kikoloni
 
Sikiliza wimbo huu,kama hujui tafsiri yake sema nitakutafsiria
 

Attachments

  • VID-20220830-WA0037.mp4
    10.7 MB
Siyo kweli, za kuambiwa changanya na za kwako...
 
Hongera mkuu tunahitaji member like you una jibu kitu kwa hoja be blessed najifunza hapa 🙌🙌👆
Nashukuru kaka🙏, maana utumwa ulituharibu, dini nazo zikatugawanya, ujinga umetucontrol na tukitaka kuujua ukweli tunaogopa 💔
 
Uko fact mkuu
Hakuna cha facts wayahudi hawataki kushare tamaduni zao na watu wengine ndo maana dini ya uyahudi ni ya siku nyingi sana ila waumin wake hawafiki hata million 50 In short wayahudi hawataki watu kwenye dini yao ambayo sio wayahudi ni tofauti na wakristo na waislamu
 
Kwenye Uislamu ,Waarabu walijipendelea wao wenyewe kuanzia kuturidhisha mavazi yao, vyakula, vyao, majina yao na tamaduni zao kiujumla

Kwenye Ukristo Wayahudi walijipendelea wao wenyewe kuanzia kuturidhisha mavazi yao na hasa Ukristo ulivyoenea Ulaya, vyakula vyao, majina yao na tamaduni zao

Kwa kuwa waliandika vitu vilivyoaazunguka hivyo sishangai,kwani kule kwao hakuna mtu mweusi.
Hakuna cha facts wayahudi hawataki kushare tamaduni zao na watu wengine ndo maana dini ya uyahudi ni ya siku nyingi sana ila waumin wake hawafiki hata million 50 In short wayahudi hawataki watu kwenye dini yao ambayo sio wayahudi ni tofauti na wakristo na waislamu
 
Back
Top Bottom