Hivi ni kweli viganja vya mikono ya mwanaume vikiwa vikubwa na uume wake unakuwa mkubwa?

Hivi ni kweli viganja vya mikono ya mwanaume vikiwa vikubwa na uume wake unakuwa mkubwa?

my name is my name

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2015
Posts
2,016
Reaction score
2,397
Kuna uhusiano wowote kati ya mwanaume kuwa na viganja vikubwa na ukubwa wa uume wke? Yani mwanaume akiwa na viganja vikubwa vya mikono na uume wake unakuwa mkubwa? Hii ipo na ukweli ati?


2021_07_21_11_10_31~2.jpg
 
Kuna uhusiano wowote kati ya mwanaume kuwa na viganja vikubwa na ukubwa wa uume wke? Yani mwanaume akiwa na viganja vikubwa vya mikono na uume wake unakuwa mkubwa? Hii ipo na ukweli ati? View attachment 1862779
Wataalam wanasema akikunja kidole ha kati (kama anakunja ngumi)pale kidole kitakapofikia unaweka alama akikinyoosha ule urefu mwisho wa kidole hadi alama iliko ndio urefu wa uume .
Kwenye unene hawajasema
 
Back
Top Bottom