Hivi ni kweli viganja vya mikono ya mwanaume vikiwa vikubwa na uume wake unakuwa mkubwa?

Hivi ni kweli viganja vya mikono ya mwanaume vikiwa vikubwa na uume wake unakuwa mkubwa?

Wataalam wanasema akikunja kidole ha kati (kama anakunja ngumi)pale kidole kitakapofikia unaweka alama akikinyoosha ule urefu mwisho wa kidole hadi alama iliko ndio urefu wa uume .
Kwenye unene hawajasema
Chuo gani hicho kilitafiti au unyasi umekuvuruga mapema yote hii nyuma ya stand😂😂😂😂
 
Wafanya yoga(wanaochezea viungo vyao watakavyo) umewajumlisha humo?
Inaelekea kuna watu walimu wao walipata shida sana.. yani unapewa somo la historia ya Tanzania baada ya hapo unamuuliza Mwalimu kwahiyo na China ulipata uhuru 1961??[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Inaelekea kuna watu walimu wao walipata shida sana.. yani unapewa somo la historia ya Tanzania baada ya hapo unamuuliza Mwalimu kwahiyo na China ulipata uhuru 1961??[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Sidhani kama hata huyo mwalimu wao alifundisha ku-reason mambo.Wanaingia Burundi saa ngapi?
 
Chuo gani hicho kilitafiti au unyasi umekuvuruga mapema yote hii nyuma ya stand[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nishakula vyangu hayo ni maneno nasikiga vijiweni tuu ndugu yangu sio mara kwanza nasikia
 
Back
Top Bottom