Geniustin
JF-Expert Member
- Mar 15, 2013
- 4,371
- 2,834
Kwa hiyo unataka kusema wenye TB wote wana Ngoma!!!Hadi uwe ummunosuppressed
Mbona wapo wana TB bt hawapo Immuno Suppresed...!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo unataka kusema wenye TB wote wana Ngoma!!!Hadi uwe ummunosuppressed
Ahhahahah....Daaah!Ngedere mkubwa labda kama ulizaliwa juzi, lakini sisi tuliocheza tayari bado na mama yako iko kushoto!
Asante kwa Elimu Mkubwa... Umeniongezea Maarifa na Elimu yangu yote hii sikuwa bado kusikia. Ubarikiwe sana.Chanjo ya TB inasaidia mtoto asipate ugonjwa huo au kama akiugua basi isilete madhara makubwa!
u
Ukiugua TB basi jua kinga yako dhidi ya ugonjwa huo imeshuka na ndiyo maana siku hizi ukiugua TB tunakupima na HIV pia....sina maana wenye TB wote wana HIV!
Chanjo ziko za aina nyingi!kulikua na magonjwa makubwa 5 ambayo yalisababisha vifo vingi kwa watoto umri chini ya miaka 5 na kutokana na chanjo hizo siku hizi ni nadra kuayasikia na karibu yanatokomezwa(Kifaduro,donda koo,pepo punda nk)
Utakuwa umezaliwa porini kama mbweha mkuuMimi sina hiyo alama bega lolote
Juz ni lini mkuu??Ngedere mkubwa labda kama ulizaliwa juzi, lakini sisi tuliocheza tayari bado na mama yako iko kushoto!
Ni ngumu kupata TB kama uko immunocompetent. Pamoja na hayo, sababu za immunosupression ni nyingi, UKIMWI ni moja wapoKwa hiyo unataka kusema wenye TB wote wana Ngoma!!!
Mbona wapo wana TB bt hawapo Immuno Suppresed...!
Nchi zote africa zina mdui ila zinatofautiana na ukikamatwa ma police kama wana wasi wasi wewe sio raiya ukajifanya mzaliwa wa nachingwea wakati umetokea nchumbiji watakugundua tu kwa kutizama hizo ndui.Hiyo siyo chanjo mkuu ni alama ya mtanzania iliyobuniwa na wakoloni kutofautisha wakoloni Wa Tanzania na Wa mataifa mengine, mfano wakenya hawachomwi begani ila ni katikati ya mkono. Hiyo ilwasaidia wakoloni kutofautisha watz na wakenya
Wazee mkuu wanaanzia miaka mingapi? Maana hata yule aliyezaliwa mwaka 1979 iko kushoto, Je! huyu naye utamwita Mtanganyika huyu?Juz ni lini mkuu??
Watanzania ipo kulia mkuu my b watanganyika nyie kushoto
Kuna tofaut kubwa sana ila mm sina alama kushoto,watu kumbe ni wazee humu alafu wanatukana watt bila maerekezo ndio wazee wasasa tunawadharau
Bila shaka tusio WATANZANIA tuko wengi! Maana hata mimi ipo kushoto. Na hawa wenye makovu pande zote ndio wa taifa gani?Kwanza sijaona hatari yoyote ya kiusalama hapo, lakini pia Watz wanachanjwa kulia na si kushoto. Pengine wewe si Mtz na unajistukia hahahahah
wewe umechomwa wapi kwani mkuuSiyo lazima kulia nishakutana na mtu ana ndui bega la kushoto.
Mimi ni mmalawi wamalawi hatuchomwi hizi chanjowewe umechomwa wapi kwani mkuu
Ilo Kushoto Sijawai Liona Mahala Popote Ila Kulia Ndio Najua Utaratibu UliopoSiyo lazima kulia nishakutana na mtu ana ndui bega la kushoto.
sasa shida iko wapi, hata ikichomwa mguuni si ni poa tu amaMimi ni mmalawi wamalawi hatuchomwi hizi chanjo
Ni Chanjo Za Nin.....?? Kwann Ni Sisi Tuu Ndio Tunaochomwa izi Chanjo....??Mimi ni mmalawi wamalawi hatuchomwi hizi chanjo