DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
mkuu pambana kitaa kigumu bila mishe mm takriban nina mwaka sas toka nmezinguana na muajiri wangu hizi milion nimekamata san lkn leo ht 10k ni kwa mbinde san na nina mke na mtoto mmoja inafika kipind naamua kubet tu kukuza mtaji ndio nipate hela ya kula.
Shukuru kwa unachokipata kiwe kidg au kikubwa kuna watu tunatafuta ht sehem ya kujishikiza lkn bado hapa nilipo sijala toka jan usiku na hapa nmelala tayar bahati nzur familia nimeisafirisha ili niendelee kujitafuta
SHUKURU MUNGU KWA YOTE
Kua na subra + uvumilivu mshukuru mungu kwa ulicho nacho ndicho mungu amekupa..Nimeajiriwa ngazi ya chini serikalini lakini naona mambo hayaendi kabisa.
mwanzo nilipoajiriwa nilikuwa nafuraha lakini siku zinavyoenda mambo yanaenda ndivyo sivyo.
Nina mawazo kuacha kazi changomoto sijajipanga.
Niwaza hadi nimefika mwisho sijui nifanyeje, nina madeni mengi, na hapo hata sijaoa sina hata mtoto wa kusingizia.
Nina watu zaidi ya watano wananitegemea hapo nyuma kwa sababu ndiye hustler (mpambanaji) wa kwanza huko nyumbani yani nikiyumba mimi ndiyo kwishaa kabisa.
Mazingira ya nyumbani tena ndio hivyo yaajabu na nimepambana hata niyaweke vizuri lakini ndio hivyo tena bado nimekwama.
Nimekaa hivi naangalia Magh, Mash, Kas, Kusini hakueleweki.
Nimejikuta najitenga na watu kwa sababu nasikia hadi aibu hali ya maisha.
Kazi yenyewe ni ngumu makorokocho mengi inachosha haina hata maslahi wakuu.
Ukizaliwa familia maskini aise halafu huna mtu wa kukushika mkono kutoboa unatumia nguvu kubwa sana. Nimejaribu kuwaza kuacha kazi ila shida sina msingi tena.
Wakuu kazi yangu ya ualimu duu sijui nifanyeje kwa kweli.
PoleNimeajiriwa ngazi ya chini serikalini lakini naona mambo hayaendi kabisa.
mwanzo nilipoajiriwa nilikuwa nafuraha lakini siku zinavyoenda mambo yanaenda ndivyo sivyo.
Nina mawazo kuacha kazi changomoto sijajipanga.
Niwaza hadi nimefika mwisho sijui nifanyeje, nina madeni mengi, na hapo hata sijaoa sina hata mtoto wa kusingizia.
Nina watu zaidi ya watano wananitegemea hapo nyuma kwa sababu ndiye hustler (mpambanaji) wa kwanza huko nyumbani yani nikiyumba mimi ndiyo kwishaa kabisa.
Mazingira ya nyumbani tena ndio hivyo yaajabu na nimepambana hata niyaweke vizuri lakini ndio hivyo tena bado nimekwama.
Nimekaa hivi naangalia Magh, Mash, Kas, Kusini hakueleweki.
Nimejikuta najitenga na watu kwa sababu nasikia hadi aibu hali ya maisha.
Kazi yenyewe ni ngumu makorokocho mengi inachosha haina hata maslahi wakuu.
Ukizaliwa familia maskini aise halafu huna mtu wa kukushika mkono kutoboa unatumia nguvu kubwa sana. Nimejaribu kuwaza kuacha kazi ila shida sina msingi tena.
Wakuu kazi yangu ya ualimu duu sijui nifanyeje kwa kweli.
Nakubali chafu yanguKomalia hapahapa….hustler halalamiki anakomaa kibishi…..please komaa
Samahani mkuu, Mungu ni maskini mpaka ahitaji pesa kwa binadamu? Na zinamfikiaje? Na anatumiaje?Pole
Anza na kutoa ten percent kwa Mungu Ili usiwe unaishiwa ishiwa na pesa kila mara kama sasa!!
Tafuta huduma ambayo unaweza kuisapoti kisadaka halafu uwe unamdai Mungu kile ulichomtolea akubariki!!
Mf.unaweza mchagua Mwl jacob Steven (huduma ya kristo)au unyakuo tv au Rudisha tv ya Josephat Gwajima au whatever nenda YouTube utaziona namba zao!!
Halafu ukishatoa usiku ukiamka just pray a simple prayer!!
"Nimekutolea Mungu was Mtumishi ........(taja jina lake) naomba unijibu nimechoka umaskini huu nilionao naomba Baraka zisizo Isha kama chem chem!!!
Utashangaa my friend akaunti Yako haitoishiwa na pesa jutahidi unachopata uweke na akiba kidogo,endelea kumuonba mungu juu ya nyumba ya kuishi nzuri Gari na mengineyo huku kuna biashara update ya kufanya!!
"The days of small beginnings" by Zac poonen!!
Usidharau mwanzo mdogo unaoanza nao friend!!!
TRUST ME HAKUNA KAZI NZURI KAMA UWALIMU MKUU,HUZEEKI MAPEMA YOU ENJOY LIFE WITH BOYS AND GIRLS LIKE FRIENDS"
UNATAKA UKAE OFISIN MUDA MREFU UFE KWA SUKARI NA PRESSURE!!?
NIMEANDIKA KUTOKA KWA HEART TAKE IT!
Very Inspirational and motivational comment. Hadi nimetoa machozi nakuja PM una madini makubwaWewe ni gold iliyo kwenye udongo. Kwa maelezo yako ni wazi kuwa una damu na spirit ya kuwa milionea. Roho imeshastuka ila akili bado ina bargain ili kuruhusu mwili ufanye maamuzi.
Acha kazi tafuta biashara au mishe nje ya kuajiriwa. Baada ya muda utaona kuna nguvu inaamka ndani yako unaanza kufanya vitu ambavyo mwanzo ulidhania hautaweza fanya.
Kuna muda MUNGU anazungumza na wewe kupitia maumivu. Badala ya kulalamika tuliza kichwa na kufocus, mwanaume hajaumbiwa kulalamika au kulia lia kaumbiwa kutuliza kichwa na akili na fikra nyakati ngumu na kusikilizia purpose yake na MUNGU ni ipi.
Hayo magumu unapitia ni ishara ya MUNGU anajibu sala zako ulizoomba nafsini mwako bila kujua. Kama uliomba mafanikio basi jua tayari MUNGU amepokea maombi yako na ndio anayafanyia kazi kwa kuongea na wewe kupitia hali zako.
Akikuacha urelax hautaweza jipanga upya kuanza safari yako ya mafanikio.
Watu wenye mafanikio huwa wanapitia stress na pressure kama maandalizi ya maisha mapya ya mafanikio.Unadhani kumiliki magari ya bei, nyumba za gharama, biashara ya mamilioni, wafanyakazi na mamilioni ya pesa ni kazi rahisi ambayo mtu kama wewe hapo ulivyo sasa unaiweza kizembe?
Relax and enjoy the process, acha hiyo kazi, anza kujipanga upya. Watu wanaofanikiwa huwa hawaajiriwi.
Nicheki inboxNimeajiriwa ngazi ya chini serikalini lakini naona mambo hayaendi kabisa.
mwanzo nilipoajiriwa nilikuwa nafuraha lakini siku zinavyoenda mambo yanaenda ndivyo sivyo.
Nina mawazo kuacha kazi changomoto sijajipanga.
Niwaza hadi nimefika mwisho sijui nifanyeje, nina madeni mengi, na hapo hata sijaoa sina hata mtoto wa kusingizia.
Nina watu zaidi ya watano wananitegemea hapo nyuma kwa sababu ndiye hustler (mpambanaji) wa kwanza huko nyumbani yani nikiyumba mimi ndiyo kwishaa kabisa.
Mazingira ya nyumbani tena ndio hivyo yaajabu na nimepambana hata niyaweke vizuri lakini ndio hivyo tena bado nimekwama.
Nimekaa hivi naangalia Magh, Mash, Kas, Kusini hakueleweki.
Nimejikuta najitenga na watu kwa sababu nasikia hadi aibu hali ya maisha.
Kazi yenyewe ni ngumu makorokocho mengi inachosha haina hata maslahi wakuu.
Ukizaliwa familia maskini aise halafu huna mtu wa kukushika mkono kutoboa unatumia nguvu kubwa sana. Nimejaribu kuwaza kuacha kazi ila shida sina msingi tena.
Wakuu kazi yangu ya ualimu duu sijui nifanyeje kwa kweli.
Mkuu nasikia zipo karibu na kutangazwa mm najiandaa kuaply mbona wanikatisha tamaa sasaNimeajiriwa ngazi ya chini serikalini lakini naona mambo hayaendi kabisa.
mwanzo nilipoajiriwa nilikuwa nafuraha lakini siku zinavyoenda mambo yanaenda ndivyo sivyo.
Nina mawazo kuacha kazi changomoto sijajipanga.
Niwaza hadi nimefika mwisho sijui nifanyeje, nina madeni mengi, na hapo hata sijaoa sina hata mtoto wa kusingizia.
Nina watu zaidi ya watano wananitegemea hapo nyuma kwa sababu ndiye hustler (mpambanaji) wa kwanza huko nyumbani yani nikiyumba mimi ndiyo kwishaa kabisa.
Mazingira ya nyumbani tena ndio hivyo yaajabu na nimepambana hata niyaweke vizuri lakini ndio hivyo tena bado nimekwama.
Nimekaa hivi naangalia Magh, Mash, Kas, Kusini hakueleweki.
Nimejikuta najitenga na watu kwa sababu nasikia hadi aibu hali ya maisha.
Kazi yenyewe ni ngumu makorokocho mengi inachosha haina hata maslahi wakuu.
Ukizaliwa familia maskini aise halafu huna mtu wa kukushika mkono kutoboa unatumia nguvu kubwa sana. Nimejaribu kuwaza kuacha kazi ila shida sina msingi tena.
Wakuu kazi yangu ya ualimu duu sijui nifanyeje kwa kweli.
bora ujue hali halisi ujiweke attention uanzishe biashara ukiwa kny ajiraMkuu nasikia zipo karibu na kutangazwa mm najiandaa kuaply mbona wanikatisha tamaa sasa
Wanasoma level gani maana sasa hiv elimu ni buresio walemavu ni wadogo wanasoma mkuu
Inakuaje unategemewa na watu watano je ni walemavu?Nimeajiriwa ngazi ya chini serikalini lakini naona mambo hayaendi kabisa.
mwanzo nilipoajiriwa nilikuwa nafuraha lakini siku zinavyoenda mambo yanaenda ndivyo sivyo.
Nina mawazo kuacha kazi changomoto sijajipanga.
Niwaza hadi nimefika mwisho sijui nifanyeje, nina madeni mengi, na hapo hata sijaoa sina hata mtoto wa kusingizia.
Nina watu zaidi ya watano wananitegemea hapo nyuma kwa sababu ndiye hustler (mpambanaji) wa kwanza huko nyumbani yani nikiyumba mimi ndiyo kwishaa kabisa.
Mazingira ya nyumbani tena ndio hivyo yaajabu na nimepambana hata niyaweke vizuri lakini ndio hivyo tena bado nimekwama.
Nimekaa hivi naangalia Magh, Mash, Kas, Kusini hakueleweki.
Nimejikuta najitenga na watu kwa sababu nasikia hadi aibu hali ya maisha.
Kazi yenyewe ni ngumu makorokocho mengi inachosha haina hata maslahi wakuu.
Ukizaliwa familia maskini aise halafu huna mtu wa kukushika mkono kutoboa unatumia nguvu kubwa sana. Nimejaribu kuwaza kuacha kazi ila shida sina msingi tena.
Wakuu kazi yangu ya ualimu duu sijui nifanyeje kwa kweli.
Kwanza hakikisha nyumbani wanalima chakula Cha kutosha m kusaza.Nimeajiriwa ngazi ya chini serikalini lakini naona mambo hayaendi kabisa.
mwanzo nilipoajiriwa nilikuwa nafuraha lakini siku zinavyoenda mambo yanaenda ndivyo sivyo.
Nina mawazo kuacha kazi changomoto sijajipanga.
Niwaza hadi nimefika mwisho sijui nifanyeje, nina madeni mengi, na hapo hata sijaoa sina hata mtoto wa kusingizia.
Nina watu zaidi ya watano wananitegemea hapo nyuma kwa sababu ndiye hustler (mpambanaji) wa kwanza huko nyumbani yani nikiyumba mimi ndiyo kwishaa kabisa.
Mazingira ya nyumbani tena ndio hivyo yaajabu na nimepambana hata niyaweke vizuri lakini ndio hivyo tena bado nimekwama.
Nimekaa hivi naangalia Magh, Mash, Kas, Kusini hakueleweki.
Nimejikuta najitenga na watu kwa sababu nasikia hadi aibu hali ya maisha.
Kazi yenyewe ni ngumu makorokocho mengi inachosha haina hata maslahi wakuu.
Ukizaliwa familia maskini aise halafu huna mtu wa kukushika mkono kutoboa unatumia nguvu kubwa sana. Nimejaribu kuwaza kuacha kazi ila shida sina msingi tena.
Wakuu kazi yangu ya ualimu duu sijui nifanyeje kwa kweli.
Ndo hapo sasa!!!Uache kazi alaf ufanye nn??
Usiache kazi, kama umeshindwa kutafuta kitega uchumi chingine wakati una kazi utaweza ukiwa hauna?
Hakuna aliefungwa kudaiwa mkuu cha msingi tuliza akili, angalia kiasi chako cha pesa unachoingiza tengeneza bajeti weka kiasi kwa ajili ya matumizi yako, wategemezi wako na wadeni wako.Nimeajiriwa ngazi ya chini serikalini lakini naona mambo hayaendi kabisa.
mwanzo nilipoajiriwa nilikuwa nafuraha lakini siku zinavyoenda mambo yanaenda ndivyo sivyo.
Nina mawazo kuacha kazi changomoto sijajipanga.
Niwaza hadi nimefika mwisho sijui nifanyeje, nina madeni mengi, na hapo hata sijaoa sina hata mtoto wa kusingizia.
Nina watu zaidi ya watano wananitegemea hapo nyuma kwa sababu ndiye hustler (mpambanaji) wa kwanza huko nyumbani yani nikiyumba mimi ndiyo kwishaa kabisa.
Mazingira ya nyumbani tena ndio hivyo yaajabu na nimepambana hata niyaweke vizuri lakini ndio hivyo tena bado nimekwama.
Nimekaa hivi naangalia Magh, Mash, Kas, Kusini hakueleweki.
Nimejikuta najitenga na watu kwa sababu nasikia hadi aibu hali ya maisha.
Kazi yenyewe ni ngumu makorokocho mengi inachosha haina hata maslahi wakuu.
Ukizaliwa familia maskini aise halafu huna mtu wa kukushika mkono kutoboa unatumia nguvu kubwa sana. Nimejaribu kuwaza kuacha kazi ila shida sina msingi tena.
Wakuu kazi yangu ya ualimu duu sijui nifanyeje kwa kweli.
Toka miaka 14 hadi leo 47,sijui kuna rangi gani sijaona.Sasa mwaya ukiacha kazi madeni yataisha,na familia utaimudu kweli bila kazi?cha msingi waza namna ya kukuza kipato chako,tafuta biashara fanya,fuga na lima.mtaani hakufai aisee,heri nusu Shari kuliko Shari kamili.