Hivi ni mimi tu haya maisha yanataka kunikataa?

Hivi ni mimi tu haya maisha yanataka kunikataa?

Nilicho notice mkuu ni kuwa unachukia ualimu licha ya uduni wa maslahi kuchukia kwako kada ya ualimu ndio kunakupa stress ongezea ugumu wa pesa basi inakuwa vuruga tupu..

Ndio maana wenye busara wanatusisitiza kufanya kazi tunazopenda lengo ni kuwa hata kama hupati pesa basi utakuwa unaenjoy unachofanya.

Umasikini ni kitu kibaya sana mungu tusaidie mbinu za kukabiliana nao
 
Unaishi kwenye ulimwengu bandia Rudi kwenye maisha yako. Weka akiba hata kama ni kidogo pia inaonekana unaishi single life(easy to be seen) jaribu kua na double life...
Vilevile inaonekana unapopata fedha zote zinaishia kwenye madeni ilo ni kosa hata kama unadaiwa na Kijiji kizima.
Mkuu somo kidogo hapa kwenye single na double life.
 
Duuh pole sana mkuu maana hata kama huna familia hiyo ni ndogo sana ila nakushauri usiache kazi kwa sasa kama una mdogo wako au chalii mpambanaji na upo eneo lililochangamka pambana upate angalau lak7 umuekee kibanda cha tigo pesa halafu pambaneni kukitaftia mtaji huku ukitumia ajira kama backup ya mtaji

Kama utahitaji details zaidi nichek pm huenda tukasaidiana mawazo zaidi
 
Duuh pole sana mkuu maana hata kama huna familia hiyo ni ndogo sana ila nakushauri usiache kazi kwa sasa kama una mdogo wako au chalii mpambanaji na upo eneo lililochangamka pambana upate angalau lak7 umuekee kibanda cha tigo pesa halafu pambaneni kukitaftia mtaji huku ukitumia ajira kama backup ya mtaji

Kama utahitaji details zaidi nichek pm huenda tukasaidiana mawazo zaidi
Asante kwa ushauri leo sijapata comments (jumbe) za kukatisha tamaa
 
Nimeajiriwa ngazi ya chini serikalini lakini naona mambo hayaendi kabisa.
mwanzo nilipoajiriwa nilikuwa nafuraha lakini siku zinavyoenda mambo yanaenda ndivyo sivyo.

Nina mawazo kuacha kazi changomoto sijajipanga.
Niwaza hadi nimefika mwisho sijui nifanyeje, nina madeni mengi, na hapo hata sijaoa sina hata mtoto wa kusingizia.

Nina watu zaidi ya watano wananitegemea hapo nyuma kwa sababu ndiye hustler (mpambanaji) wa kwanza huko nyumbani yani nikiyumba mimi ndiyo kwishaa kabisa.


Mazingira ya nyumbani tena ndio hivyo yaajabu na nimepambana hata niyaweke vizuri lakini ndio hivyo tena bado nimekwama.

Nimekaa hivi naangalia Magh, Mash, Kas, Kusini hakueleweki.
Nimejikuta najitenga na watu kwa sababu nasikia hadi aibu hali ya maisha.

Kazi yenyewe ni ngumu makorokocho mengi inachosha haina hata maslahi wakuu.

Ukizaliwa familia maskini aise halafu huna mtu wa kukushika mkono kutoboa unatumia nguvu kubwa sana. Nimejaribu kuwaza kuacha kazi ila shida sina msingi tena.
Wakuu kazi yangu ya ualimu duu sijui nifanyeje kwa kweli.
Usikate tamaa ,Amini Mungu hatakuacha .
 
Nimeajiriwa ngazi ya chini serikalini lakini naona mambo hayaendi kabisa.
mwanzo nilipoajiriwa nilikuwa nafuraha lakini siku zinavyoenda mambo yanaenda ndivyo sivyo.

Nina mawazo kuacha kazi changomoto sijajipanga.
Niwaza hadi nimefika mwisho sijui nifanyeje, nina madeni mengi, na hapo hata sijaoa sina hata mtoto wa kusingizia.

Nina watu zaidi ya watano wananitegemea hapo nyuma kwa sababu ndiye hustler (mpambanaji) wa kwanza huko nyumbani yani nikiyumba mimi ndiyo kwishaa kabisa.


Mazingira ya nyumbani tena ndio hivyo yaajabu na nimepambana hata niyaweke vizuri lakini ndio hivyo tena bado nimekwama.

Nimekaa hivi naangalia Magh, Mash, Kas, Kusini hakueleweki.
Nimejikuta najitenga na watu kwa sababu nasikia hadi aibu hali ya maisha.

Kazi yenyewe ni ngumu makorokocho mengi inachosha haina hata maslahi wakuu.

Ukizaliwa familia maskini aise halafu huna mtu wa kukushika mkono kutoboa unatumia nguvu kubwa sana. Nimejaribu kuwaza kuacha kazi ila shida sina msingi tena.
Wakuu kazi yangu ya ualimu duu sijui nifanyeje kwa kweli.
Kimbunga hidaya hicho
 
Back
Top Bottom