Hivi ni mimi tu haya maisha yanataka kunikataa?

Hivi ni mimi tu haya maisha yanataka kunikataa?

Ukiona unachukia ulipo, hiyo ni ishara kuwa unakotaka kwenda utafika.
Siku zote uoga hautakupa unachokitaka.
CHukuwa mamuzi ambayo ukifaulu yatakupa matokeo chanya.
usiangalie watu watakuona je wakati kila mmoja anapambana na maisha yake.
Comfortable zone kills vision
 
Ushauri wa kijizi na kitapeli huu.

Tunamshauri apunguze wategemezi asitoe sana pesa, wewe unamshauri akazitoe kwa mlango mwingine.
Kila pesa Duniani,Kila utajiri unaoujua unalindwa na nguvu HASI au chanya!!

Hakuna pesa neutral ,kama unapesa unayohisi ni neutral Basi ikipigwa na mawimbi itakimbia kimbio kuu ambalo huwezi kabisa kuzuia!!!

Ndio maana utakuta Fulani alikua nazo lakini Sasa Hana kitu coz kimbio kuu lilitokea!!

Kupunguza wategemezi sio suluhisho kwake coz uhitaji utabaki pale pale!!!

"Yupo atawanyae lakini hujazwa,yupo azuiae lakini huuendea uhitaji"!!

Huo mfumo nimeujaribu,it works out!!
 
Kila pesa Duniani,Kila utajiri unaoujua unalindwa na nguvu HASI au chanya!!

Hakuna pesa neutral ,kama unapesa unayohisi ni neutral Basi ikipigwa na mawimbi itakimbia kimbio kuu ambalo huwezi kabisa kuzuia!!!

Ndio maana utakuta Fulani alikua nazo lakini Sasa Hana kitu coz kimbio kuu lilitokea!!

Kupunguza wategemezi sio suluhisho kwake coz uhitaji utabaki pale pale!!!

"Yupo atawanyae lakini hujazwa,yupo azuiae lakini huuendea uhitaji"!!

Huo mfumo nimeujaribu,it works out!!
mheshimiwa endelea kutupatia nondo
 
Nimeajiriwa ngazi ya chini serikalini lakini naona mambo hayaendi kabisa.
mwanzo nilipoajiriwa nilikuwa nafuraha lakini siku zinavyoenda mambo yanaenda ndivyo sivyo.

Nina mawazo kuacha kazi changomoto sijajipanga.
Niwaza hadi nimefika mwisho sijui nifanyeje, nina madeni mengi, na hapo hata sijaoa sina hata mtoto wa kusingizia.

Nina watu zaidi ya watano wananitegemea hapo nyuma kwa sababu ndiye hustler (mpambanaji) wa kwanza huko nyumbani yani nikiyumba mimi ndiyo kwishaa kabisa.


Mazingira ya nyumbani tena ndio hivyo yaajabu na nimepambana hata niyaweke vizuri lakini ndio hivyo tena bado nimekwama.

Nimekaa hivi naangalia Magh, Mash, Kas, Kusini hakueleweki.
Nimejikuta najitenga na watu kwa sababu nasikia hadi aibu hali ya maisha.

Kazi yenyewe ni ngumu makorokocho mengi inachosha haina hata maslahi wakuu.

Ukizaliwa familia maskini aise halafu huna mtu wa kukushika mkono kutoboa unatumia nguvu kubwa sana. Nimejaribu kuwaza kuacha kazi ila shida sina msingi tena.
Wakuu kazi yangu ya ualimu duu sijui nifanyeje kwa kweli.
Kazi gani hiyo unalipwa laki mbili..... Mshahara wa laki mbili hauwezi kukufikisha popote
 
Usikate tamaa, kuna mwanamke alipata kazi ya ualimu, mshahara kidogo, ila alicheza na mikopo na akasomesha kaka zake wawili huku anajikita katika kilimo. Vijana wamemaluza kidato cha sita, nae akaamua kuolewa. Vijana sasa wanapambana na hali yao. Tuliza tu akili, cheza na mikopo ya benki ila uwe makini, nidhamu ya pesa ni muhimu.
 
Mmmh Mzee angalia usije ukajinyonga maana hayo makolokolo ni mengi usitumie nguvu nyingi kutatua vitu vilivyo nje ya uwezo wako mzee,misaada hutoka kwenye ziada wa muhimu ni baba na mama Yako.wengine wale kwa kutumia macho pia punguza kuhonga kwani umeoa watoto wakusingiziwa wa kazi Gani mzee.pambana uckate tamaa.
 
Back
Top Bottom