Hivi ni mimi tu ninayenyimwa tendo la ndoa na Mke wangu? au wengine mpo?

Mkalishe chini ongea nae, mchane live. Akionyesha unishi au majibu mabovu mtie kibano, halafu mpe option akiendelea na hiyo tabia rudisha kwso
 
Akakupa jibu gani baada ya kumuuliza kwann hakupi mbususu?
 
Wahuni wanakuyombea.Oa mke mwingine fasta, wanawake wengi sana kwanini akuringie na kikojoleo chake, piga chini.
 
 
Hiyo ni dalili tosha kuwa sasa ana Hawara na huenda huyo Hawara akawa haishii tu Kumkaza / Kumbandua vyema bali pia hata Barabara ya Vumbi iliyotamu kwa Magari ya Kibabe huwa anapita nae.

Cc: mrangi, Arovera na SAGAI GALGANO
Na wahuni wanajua kucheza rafu kwenye miili ya wake za watu, wewe mwenye mke unacheza fair play lakini wajuba wanapiga katafunua kama wamepagawa wewe ukifika na huruma zako unaonekana choko tu.
 


Wanamla Kaka, wala usidanganyike! Ni wanaume wapumbavu tu wanaweza wasijue wake zao wanaliwa, hata ukimkazia macho huku unauliza maswali utajua tu!
 
Wahuni wanakuyombea.Oa mke mwingine fasta, wanawake wengi sana kwanini akuringie na kikojoleo chake, piga chini.
Hakuna haja ya kuachana na mke akiona vipi akakidhi mahitaji yake nje mwanamke abaki kuwa mfanyakazi wakumpikia chakula sema shida Wanawake huwa wanatabia ya kuleta Wanawake wa nje ya ndoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…