Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ni huzuniHeee tena zinapigwa kama evanda na taison
kumbe mnapitia magumu hivyo 😂😂😂Nimemaliza wiki sijapiga shoo, anasema ninachowaza ni kutiana tu,,, ila maisha yetu wiki hii yamekuwa na migogoro sana
🌞🌞 Wewe usije kuolewa kabc hutaweza ndoaUnajiendekeza nawe umeambiwa ni maji ya kunywa hayo? 😹😹
Nimemaliza wiki sijapiga shoo, anasema ninachowaza ni kutiana tu,,, ila maisha yetu wiki hii yamekuwa na migogoro sana
Kuna wanawake wengine sexually desire yao ni ndogo hawapendi kufanya sana na kuna wengine ni kwasababu haridhishwi,ana mchepuko au bad mood kwa namna ya majibu hayo mke wako anaweza kuwa yupo kwenye bad moodNimemaliza wiki sijapiga shoo, anasema ninachowaza ni kutiana tu,,, ila maisha yetu wiki hii yamekuwa na migogoro sana
Hii ni kqa faida yako lakiniNi mimi tu ninaemuomba mke wangu tendo la ndoa au tuko wengi kwangu imekuwa ajabu sana, kila ninapotaka tendo la ndoa nimuombe mke wangu tena inafika hatua ya kumbembeleza kabisa ile anipe mambo, kipindi ndoa mpya tulikuwa tunafanya kila siku ila now days mpaka uombe tena inafika kipindi tunakaa mpaka wiki sipati kitu.
Na likuwa kila asubuhi lazima anipe ndo niende kazini ila siku hizi naondoka kapa kabisa ukimuamsha asubuhi anadai ana usingizi 😁 na anajua kabisa ile kitu naipenda, nikimuuliza mbona mwanzoni ulikuwa unanipa bila ya kukuomba tena ulikuwa unanitegeshea tu ana dai ile ilikuwa mwanzo.
Soma Pia: Hii wiki sasa inatimia mke wangu ananinyima tendo la ndoa!
Vijana wa miaka hii wanasikitisha sana. Wanajiliza sana. InasikitishaUnalialia nini? Mazungumzo ya amani yakishindikana si unatumia nguvu? Au ndo nyie wanaume mnaopigwa na wake zenu?
Usisikitike wala kulazimiza tendo la ndoa. Vitu vingi vinaweza kuwa kizuizi kwake, mfano katoa mimba na inamsumbua na sio yako, pili ana maugonjwa aliyokwaa atakuambukiza ikiwa pia inaweza kuwa ukimwi. Hawa watu unakutana nao wzkiwa watu wazima. Subiri tu akiwa tayari na vipimo ikasema yuko mzima atakuelewesha. Kama anataka kukepusha na HIV je? Think big.Ni mimi tu ninaemuomba mke wangu tendo la ndoa au tuko wengi kwangu imekuwa ajabu sana, kila ninapotaka tendo la ndoa nimuombe mke wangu tena inafika hatua ya kumbembeleza kabisa ile anipe mambo, kipindi ndoa mpya tulikuwa tunafanya kila siku ila now days mpaka uombe tena inafika kipindi tunakaa mpaka wiki sipati kitu.
Na likuwa kila asubuhi lazima anipe ndo niende kazini ila siku hizi naondoka kapa kabisa ukimuamsha asubuhi anadai ana usingizi 😁 na anajua kabisa ile kitu naipenda, nikimuuliza mbona mwanzoni ulikuwa unanipa bila ya kukuomba tena ulikuwa unanitegeshea tu ana dai ile ilikuwa mwanzo.
Soma Pia: Hii wiki sasa inatimia mke wangu ananinyima tendo la ndoa!
Tafuta kimada nje la sivyo utauliwa na hiyo ndoa yako mpe stress kama vipi nae kichwa kichemke NDOA SASA HIVI NI ULINGO WA MASUMBWINi mimi tu ninaemuomba mke wangu tendo la ndoa au tuko wengi kwangu imekuwa ajabu sana, kila ninapotaka tendo la ndoa nimuombe mke wangu tena inafika hatua ya kumbembeleza kabisa ile anipe mambo, kipindi ndoa mpya tulikuwa tunafanya kila siku ila now days mpaka uombe tena inafika kipindi tunakaa mpaka wiki sipati kitu.
Na likuwa kila asubuhi lazima anipe ndo niende kazini ila siku hizi naondoka kapa kabisa ukimuamsha asubuhi anadai ana usingizi 😁 na anajua kabisa ile kitu naipenda, nikimuuliza mbona mwanzoni ulikuwa unanipa bila ya kukuomba tena ulikuwa unanitegeshea tu ana dai ile ilikuwa mwanzo.
Soma Pia: Hii wiki sasa inatimia mke wangu ananinyima tendo la ndoa!
Kwanini inakuwa hivyo?Kuna sababu japo wengi watakwambia kuna mtu huko nje,mi kinachonisaidia huwa tunakutana mara chache tofauti na hapo angekuwa hapati
Mambo ni mengi kuishi na mtu ni kazi ndugu yangu,binadamu wana maudhiKwanini inakuwa hivyo?