Hivi ni mji gani mdogo Tanzania unaouzidi Makambako kibiashara na miundombinu kama Barabara za mtaani

Hivi ni mji gani mdogo Tanzania unaouzidi Makambako kibiashara na miundombinu kama Barabara za mtaani

Vifremu vya Makambako ni kama vibanda ya kufugia njiwa😁
KAma uliitembelea zamani makambako Kaa kimya hizo Ndo fremu mambo yame change
IMG_20241207_114255_269~2.jpg
1727888944454.jpg
IMG_20241217_183417_132~2.jpg
1732590585400.jpg
FB_IMG_16811889713114200.jpg
 
Hivi ni kuna mji gani mdogo Tanzania unaouzidi Makambako kibiashara na miundombinu kama Barabara za mtaani?
Biashara za uchuuzi? si bure Wazunhu wanakuja tu na Laptop ila wanandola na nagunie ya pesa.Menatality za Watanzania asilimia 97 wanawaza uchuuzi tu
 
Biashara za uchuuzi? si bure Wazunhu wanakuja tu na Laptop ila wanandola na nagunie ya pesa.Menatality za Watanzania asilimia 97 wanawaza uchuuzi tu
Wazungu hao wanaokuja na laptop wakatoboa bila kuwa na mtaji mkubwa ni kwamba wanarusha nyimbo na muvi kwenye flash za watu?
 
Maksmbako iwe sawa na buseresere huko Bwanga......twende kazi
 
Back
Top Bottom