Hivi ni mkoa gani hata kwa dawa huwezi kwenda kuishi uko[emoji24][emoji24]??

Hivi ni mkoa gani hata kwa dawa huwezi kwenda kuishi uko[emoji24][emoji24]??

Mikoa yote hapa Tanzania, binadamu anaweza kuishi, ndiyo maana wapo watu wanaishi kule vizazi hadi vizazi.
Ni utoto tu unakusumbua wewe mleta Uzi.
So little in mind uijui jamii na mazingira bado
giphy.gif
 
arusha aiseee maana unakutana na watu wanamiguu mikubwa sana duniani kote maana si kwa mabuti yale🤣🤣🤣🤣🤣
Siku ya kwanza mdogo wangu kafika Arusha nimetoka kumpokea ananiuliza mbona sioni hao wanaoitwaga machalii wa kuvaa mabuti na mashati makubwa 😅😅
 
Siku ya kwanza mdogo wangu kafika Arusha nimetoka kumpokea ananiuliza mbona sioni hao wanaoitwaga machalii wa kuvaa mabuti na mashati makubwa [emoji28][emoji28]
Ungempeleka cha ngarenaro Depal au Kilombero
 
Mikoa yenye baridi kali.. Niliishi Mbeya miaka hiyo. Niliteseka sana.. Ngozi yangu haipatani na baridi kali.. Cjui ingekuwaje kama ningezaliwa Ulaya!
 
Back
Top Bottom