Hivi ni mkoa gani hata kwa dawa huwezi kwenda kuishi uko[emoji24][emoji24]??

Hivi ni mkoa gani hata kwa dawa huwezi kwenda kuishi uko[emoji24][emoji24]??

Kwa hiyooo idea yangu kichwani niitoe nilikuwaa napaogopa Sumbawangaaa coz naskiaa ni wanaloga sanaa

SUMBAWANGA OYEE!!
 
Niko singidaa wazee Kuna stress apa cjapata kuona Kwanzaa nimefilisika nilikuja na mtaji wangu ila ukaboromoka gafla
Pole kaka hahah just tafuta namna umove mkoa mwengine au au sehemu ingine
 
Utoto raha sana.

Siku ukijua kuwa hujui ndio utajua kwamba ulikuwa hujui. [emoji23]
 
Mkoa wowote tofauti na Dar siwezi kuishi,
Kutembea fresh lakini sio kuweka kambi.
 
Ntwala,kigoma,sjui lindi,ruvuma katavi ,mara hapana asee
 
Back
Top Bottom