lyenyi
JF-Expert Member
- Mar 4, 2020
- 2,651
- 7,299
Sumbawanga kupo poa Sana, awali nilikuwa muoga, nikapelekwa huko kikazi, rukwa maisha ni rahisi Sana!Kigoma, Katavi sijui Sumbawanga.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sumbawanga kupo poa Sana, awali nilikuwa muoga, nikapelekwa huko kikazi, rukwa maisha ni rahisi Sana!Kigoma, Katavi sijui Sumbawanga.
Pale fresh kbsaSumbawanga kupo poa Sana, awali nilikuwa muoga, nikapelekwa huko kikazi, rukwa maisha ni rahisi Sana!
Hakuna Mkoa unaitwa SumbawangaSumbawanga na Kagera.
Ndukiiiii 🏃♂️🏃♂️🏃♂️
Ona comment ucheke
Ntwara pamekuwa town siku hizi sio kama zamani.Kigoma,Ntwara na Ruvuma.....mnisamehe jamani wenye hiyo mikoa japo wanasema maisha popote.
Why do you think there is no money in Arusha?Arusha, no money
Nitafute my nikutembeze zanzibar sehem za wataliiTena nilikusahau huko, zanzibar inaongoza yaan kukavu balaa
Kubaya sana kule, na hasa ukiwa mkristo ndo kabisaa
Kwanini mkuu?Kwingine pote nakubali kuishi ila sio Kigoma[emoji119][emoji119]
arusha aiseee maana unakutana na watu wanamiguu mikubwa sana duniani kote maana si kwa mabuti yale[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ukute wewe unaishi mtitaa DodomaKigoma kumesahaulika mkuu....pagumu sana huko aiseeee....mpaka network ni chenga tupu
Dar hapafai,kila sku lazima uoge,mbu kama zote,afu nikiwaga huko naugua pumbu jero,wilaya ya kakonko hako hapafai Kuna sehem n za kuish wanyama
Umewahi fika au unasikia tu?Kigoma, Katavi sijui Sumbawanga.