Mwanamayu
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 11,662
- 6,888
Wakati wakiaapishwa makatibu tawala wa mikoa, Mhe. Rais Samia alisikika katika hotuba yake kuwa aliwasimamisha wakuu wa mikoa na makatibu tawala hao wa mikoa ili kusoma sura zao na kubashiri yatakayotokeoa mikoani.
Alisema kwa msomi mzuri wa sociology atafahamu nini kitatokea kwa kuangalia sura zao ila nimekuwa nikijiuliza, hivi ni msomi mzuri wa sociology au psychology ndio mwenye uwezo wa kusoma tabia za watu kwa kuwasoma sura zao?
Mwenye jibu sahihi atueleze hapa? (sikiliza kwenye muda around 1:06:04).
Alisema kwa msomi mzuri wa sociology atafahamu nini kitatokea kwa kuangalia sura zao ila nimekuwa nikijiuliza, hivi ni msomi mzuri wa sociology au psychology ndio mwenye uwezo wa kusoma tabia za watu kwa kuwasoma sura zao?
Mwenye jibu sahihi atueleze hapa? (sikiliza kwenye muda around 1:06:04).