Tofauti kubwa kati ya sosholojia na saikolojia ni kwamba sosholojia inahusisha utafiti na uelewa wa jamii (au makundi ya watu kwa pamoja) na hasa mahusiano, hali saikolojia inalenga zaidi juu ya tabia ya mtu binafsi. Tabia ya mtu binafsi kisaikolojia hujionesha katika mwonekano wake (mavazi, umbile, kauli, nk).
Kwa kuwa sosholojia ni taaluma kuhusu mahusiano katika jamii na jamii ni watu wenye tabia tofauti, Rais SSH alikuwa sahihi.