Hivi ni nani anawadanganya watanzania kuwa lockdown haifanyi kazi? Hata kama tumeigomea, tuache kupotoshana!

Watanzania na Wasomali ndio wasambazaji wakubwa wa corona katika Afrika Mashariki na kati
Kwa mujibu wa Uhuru Kenyata
 
Maneno kuntu haya! Kudos!
 
Ni ngumu sana kufanikiwa hiyo lockdown..maisha ya wengi ni ya vibarua watu wengi wanajikimu tofauti na nchi za ulaya na mabara mengine.

Hiki kirusi kipo na mbaya zaidi hakuna ajuaye lini dawa itapatikana. Kuishi kwa sasa ni mwendo wa kuchukua tahadhari.
 
Ki ukweli, mi naona mgogoro wote huu ni siasa tu.

Kama tunge fanya lockdown mapema, kila aliye changia hapa angekuwa anatetea upande wa pila sasa hivi.

Wanaosema tungefanya lockdown sasa hivi mada ingukuwa jamaa kaaribu uchumi wetu na kaongeza umasikini kwa watanzania hasa wenye hali ya chini.

Na wale wasema lockdown haifai, nao sasa hivi wangekuwa wana tetea lockdown.

Tutake tusitake, wote sisi ni siasa tu, tena siasa ile ya kufanana na ushabiki wa mpira Simba na Yanga.

Yaani, hata kama timu yako ni mtibwa, simba na Yanga zikicheza, lazima uta shabikia upande mmoja wapo, hata kama ni kimoyo moyo.

Kama mpira tunaangalia wote, tena kuna marudio ya slow motion, na sasa hivi VHR na bado faulo ikitokea tuna bishana, sembuse mambo haya.

Hapa tutabishana hata mpaka mwisho wa dunia, na hatuto pata kujua nani ni sahihi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamaa anajitahidi kuficha uzembe wake kwa gharama kubwa sana.Huyu mtu ikitokea corona ikamfyeka,naamini naamini hata sheteni atamkataa
 
STOCKHOLM (Reuters) - More Swedes died in April than in any one month since 1993, figures from the Statistics Office showed on Monday, as the outbreak of the novel coronavirus pushed the death toll higher.

Sweden, which has stopped short of the strict lockdown measures enforced by many countries, has suffered a higher death rate during the coronavirus pandemic than its Scandinavian neighbours.

In Sweden, the pandemic has caused around 3,700 deaths since the first reported fatality in March, but has not been as deadly as some seasonal flu over the last three decades, when the toll in December 1993 and January 2000 was higher, the Statistics Office said.

The toll for all deaths in December 1993 was 11,057 compared to 10,458 in April this year.

In terms of fatalities in relation to the size of the population, in January 2000, 110.8 people died per 100,000 of the population, higher than the 101.1 people in April this year.

The death tolls in both 1993 and 2000 were high as a result of outbreaks of seasonal influenza, the Statistics Office said.

In total, 97,008 Swedes died in the whole of 1993, the deadliest year since the outbreak of the Spanish flu in 1918.

Coronavirus pushes Swedish deaths to highest since 1993 in April
 
Leo nimemsikiliza rais wa Uganda nikashangazwa sana na utofauti uliopo kati yao na sisi. Daah! Hivi Mbona hao wameweza lockdown? Wale wamefunga hadi makanisa na misikiti!
 
Hivi Uganda wanaweza vipi?
 
Lugha hii siyo sahihi hata kidogo kwenye taifa la watu wenye kujielewa.

Ni sahihi kabisa mkuu, kila mtu apambane na hali yake. Anayetaka kujifungia ajifungie anayetaka kutoka atoke.
 
Leo nimemsikiliza rais wa Uganda nikashangazwa sana na utofauti uliopo kati yao na sisi. Daah! Hivi Mbona hao wameweza lockdown? Wale wamefunga hadi makanisa na misikiti!

M7 ni mwanajeshi yule so kwake kufunga msikiti/kanisa ni kawaida tu maana hata wkt yuko msituni akipambana ilikua unamuomba mungu na bunduki yako umeibeba huku ukisonga mbele hakuna masuala ya kusubiri miujiza.

J2 mzee baba pale church anamuuliza yule mchungaji hivi tungeweka lockdown hata sadaka mngepata wapi baba?Nilishangaa sana ki ukweli.
 
Hivi Uganda wanaweza vipi?
Hivi zile fujo za Kenya watu wa Nairobi kugombana na polisi sababu yake ni nini?.

Marekani vifo vinakaribia laki moja na bado watu wanataka kutoka nje wakafanye shughuli zao za kila siku.

Kanisa kuu la Roma linafunguliwa licha ya Italia kuwa na vifo vingi.
 

Magufuli na ccm wanajua kuwa Watanzania wengi ni wajinga kwa hiyo wanaweza kuwaambia kitu chochote however ridiculous na wakakiamini. Ila nina mashaka kama Jiwe kweli anajua maana halisi ya lockdown.
 

Tumia akili yako basi japo kidogo. Italia na nchi nyingine wanarudi kwenye maisha ya kawaida (lakini kukiwa na masharti makali) baada ya hali kuwa nzuri. Kwa uelewa wako maambukizi mapya Italia ni kiasi gani leo?
 
Tumia akili yako basi japo kidogo. Italia na nchi nyingine wanarudi kwenye maisha ya kawaida (lakini kukiwa na masharti makali) baada ya hali kuwa nzuri. Kwa uelewa wako maambukizi mapya Italia ni kiasi gani leo?
Na wewe tumia akili ya kawaida tu, hapa kwetu shughuli zinaendea lakini ni kwa tahadhari.

Anga limefunguliwa lakini masharti ya afya yamepewa msisitizo.

Ni akili za kitumwa kujaribu kufanya kila kitu anachokifanya mzungu pasipo wewe mwenyewe kujiongeza.
 

Point yako ni nini sasa? Ulichoandika hapa kina uhusiano gani na nilichoandika?
Kwa nini mnatumia nguvu nyingi kutetea tafsiri yenu ya lockdown (ambayo HAKUNA hata nchi moja duniani ilifanya)?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…