Phillipo Bukililo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 18,487
- 13,611
Lockdown haiwezi kufanyika nchi nzima ikasimama. Uchumi wa nchi nzima utayumba na ule wa mtu mmoja mmoja ndio utateketea kabisa.Point yako ni nini sasa? Ulichoandika hapa kina uhusiano gani na nilichoandika?
Kwa nini mnatumia nguvu nyingi kutetea tafsiri yenu ya lockdown (ambayo HAKUNA hata nchi moja duniani ilifanya)?
M7 ni mwanajeshi yule so kwake kufunga msikiti/kanisa ni kawaida tu maana hata wkt yuko msituni akipambana ilikua unamuomba mungu na bunduki yako umeibeba huku ukisonga mbele hakuna masuala ya kusubiri miujiza.
J2 mzee baba pale church anamuuliza yule mchungaji hivi tungeweka lockdown hata sadaka mngepata wapi baba?Nilishangaa sana ki ukweli.
Lockdown haiwezi kufanyika nchi nzima ikasimama. Uchumi wa nchi nzima utayumba na ule wa mtu mmoja mmoja ndio utateketea kabisa.
Marekani watu milioni 30 wamepoteza ajira sasa jiulize kwetu hapa hali itakuwa vipi.
Hivi tunavyoongea shule za msingi zimefungwa huu ni mwezi wa pili, hiyo ni lockdown maalum.Hivi wewe mtu unaelewa hoja ya muanzisha thread na kinachopaswa kujadiliwa kwenye thread hii?
Well ni hivi: lockdown haina maana ya kufungia kila mtu nchi nzima na kuzuia watu kufanya kazi. HAKUNA nchi hata moja iliyofungia watu ndani kwenye full au partial lockdown. Kazi zote muhimu zimekuwa zinafanyika, umeelewa sasa?
Hivi tunavyoongea shule za msingi zimefungwa huu ni mwezi wa pili, hiyo ni lockdown maalum.
Michezo pia imesimamishwa hiyo ni lockdown lakini shughuli nyingine za kiuchumi zinaendelea kama kawaida.
Nchi ya dunia ya tatu huwezi kuwa na lockdown kama zile za mataifa makubwa.
Hatubishani tunajadiliana, walevi waliokwishalewa ndio wanaojibishana.Umeamua kujibishia mwenyewe? Kila la heri.
Umetuweza kweli. Yaani sisi ni wajinga. SIku za nyumba nilisikia kwamba eti Raisi Kenyata alisema Raisi Nyerere anatawala (malizia) na yeye anatawala (malizia) ndiyo maana Kenyata alikuwa na kazi ngumu kuwatawala Wakenya lakni yeye Rais Nyerere alikuwa hapati ugumu kutawala watanzania. Kwa hiyo bwana mkubwa kwa vile sisi n wajinga ndiyo maana tunatawaliwa. Tusaidie angalau mikakati ya kujiondoa na huu ujinga maana kama ni shule wapo wanye PHD lakini wanajiita wameokotwa jalalani. Wapo wenye PHD wanajikomba wapate vyeo. Sasa kama hata shule haisaidii kufuta ujinga tufanyeje angalau watoto wetu waondokane na huo ujinga.Magufuli na ccm wanajua kuwa Watanzania wengi ni wajinga kwa hiyo wanaweza kuwaambia kitu chochote however ridiculous na wakakiamini. Ila nina mashaka kama Jiwe kweli anajua maana halisi ya lockdown.
Hata kama wanafungua huku kuna vifo vingi, haina maana kwamba kufunga hakujawasaidia kuokoa maisha ya wananchi.Hivi zile fujo za Kenya watu wa Nairobi kugombana na polisi sababu yake ni nini?.
Marekani vifo vinakaribia laki moja na bado watu wanataka kutoka nje wakafanye shughuli zao za kila siku.
Kanisa kuu la Roma linafunguliwa licha ya Italia kuwa na vifo vingi.
Fujo za watu wa Kenya kule East leagh? Wanakoishi wasomali?Uganda na Rwanda umezisahau. Kama Rwanda wamelisha nchi sisi tumeshindwa vipi kuilisha Dar? Tena siyo wote Dar ambao wangehitaji msaada.Hivi zile fujo za Kenya watu wa Nairobi kugombana na polisi sababu yake ni nini?.
Marekani vifo vinakaribia laki moja na bado watu wanataka kutoka nje wakafanye shughuli zao za kila siku.
Kanisa kuu la Roma linafunguliwa licha ya Italia kuwa na vifo vingi.
Hapo ni sawa kabisa na serikali kukabiliana na corona? Kwahiyo hapo wewe unajiskia huru kweli kweli 🤦🏾♂️. Kumbe ni uhuru wa either kutafuta kifo au kuugua na kusambaza virusi.Ni sahihi kabisa mkuu, kila mtu apambane na hali yake. Anayetaka kujifungia ajifungie anayetaka kutoka atoke.
Umetuweza kweli. Yaani sisi ni wajinga. SIku za nyumba nilisikia kwamba eti Raisi Kenyata alisema Raisi Nyerere anatawala (malizia) na yeye anatawala (malizia) ndiyo maana Kenyata alikuwa na kazi ngumu kuwatawala Wakenya lakni yeye Rais Nyerere alikuwa hapati ugumu kutawala watanzania. Kwa hiyo bwana mkubwa kwa vile sisi n wajinga ndiyo maana tunatawaliwa. Tusaidie angalau mikakati ya kujiondoa na huu ujinga maana kama ni shule wapo wanye PHD lakini wanajiita wameokotwa jalalani. Wapo wenye PHD wanajikomba wapate vyeo. Sasa kama hata shule haisaidii kufuta ujinga tufanyeje angalau watoto wetu waondokane na huo ujinga.
Hivi umepitia thread kabla hujachangia? Unarudi rudia maneno ambayo yameshapatiwa majibu bila hata ya kuja na hoja mpya!Kwani kuna aliyezuiwa kujiweka lockdown yy na familia yake. Husilazimishe kwa kila mtu
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata mwenye HIV akifa huwezi kuta sababu ya kifo kuwa HIV, HIV inapelekea mwenye virusi kufa kwa matatizo ya mapafu n.k. Hivyo mshtuka (hofu) hupelekea mtu kufa kwa shinikizo la damu au kushindwa kwa moyo. TafakariMagufuli anasema Hofu ndio inauwa sana kuliko corona kwa hiyo Lockdown haitasaidia
Swali langu kwenye cheti cha kifo je sababu inaandikwa "Hofu" ?
Kwa hiyo dawa ya hofu nayo ni kujifukiza?Hata mwenye HIV akifa huwezi kuta sababu ya kifo kuwa HIV, HIV inapelekea mwenye virusi kufa kwa matatizo ya mapafu n.k. Hivyo mshtuka (hofu) hupelekea mtu kufa kwa shinikizo la damu au kushindwa kwa moyo. Tafakari
Critics zitatoka nyingi lakini Kwa hili Raisi JPM ni mfano wa dunia, shida tu ni Raisi toka Africa tena Tanzania. Ingekua ni mweupe basi angekua kwenye headlines na promo kibao.
Karata alizo changa Raisi wetu kuchangua clinical approach badala ya epidemiological approach ndo tofauti kuu.
After all Raisi wetu ni mwanasayansi, jiulize ni Maraisi wangapi duniani ni wanasayansi na wanaelimu ya maabara.
JPM is the right president for our nation
especially at this era. Period. Kila Jambo na nyakati zake.