Hivi ni nani anawadanganya watanzania kuwa lockdown haifanyi kazi? Hata kama tumeigomea, tuache kupotoshana!

Hivi ni nani anawadanganya watanzania kuwa lockdown haifanyi kazi? Hata kama tumeigomea, tuache kupotoshana!

Piga vyungu kiongozi, sasa dawa ni ipi kukaa ndani? Ila hajakatazwa mtu kukaa ndani ni maamuzi tu.
Kwa hiyo tumsifu na kumpongeza Raisi Magufuli kwa juhudi zake za kuutokomeza ugonjwa wa hofu?
 
Hapo ni sawa kabisa na serikali kukabiliana na corona? Kwahiyo hapo wewe unajiskia huru kweli kweli 🤦🏾‍♂️. Kumbe ni uhuru wa either kutafuta kifo au kuugua na kusambaza virusi.

Uhuru wa kukosoa wenyewe hamna, lakini uhuru wa kupata corona mnao. Ama kweli kuishi kwingi ni kuona mengi!
Nguruvi3

Ulaya na Marekani wamefungia mipaka na shughuli zingine, ni muda tu nyie na Kenya mtabadilisha gia angani sababu mizungu imesema.
 
Na wewe tumia akili ya kawaida tu, hapa kwetu shughuli zinaendea lakini ni kwa tahadhari.

Anga limefunguliwa lakini masharti ya afya yamepewa msisitizo.

Ni akili za kitumwa kujaribu kufanya kila kitu anachokifanya mzungu pasipo wewe mwenyewe kujiongeza.

Unaongelea tahadhari zipi wkt Makonda ametangaza J2 hii wenye ma bar,club,maduka,hotels wafungue kama kawaida na wapige mziki mnenee kwa kuishinda Corona na kumshukuru rais.
 
Umeandika saaana kuwakariri US ambako wana uchumi stable tofauti na afrika.

Jibu ni kwamba tumechukua right track kwa sababu madhara ya lockdown ni makubwa kuliko unavyowaza wewe na wenzio wenye kipato kizuri na mnachokiogopa ni kifo tu.
Lakini mnasahau nchi yetu wanaokimbiza kipati yaani hand to mouth ndio wengi kuliko wale mnaotembea na viyoyozi afrika.
Mind you hata huko US tayari hawataki lockdown.
Naona kumekuwepo na hali ya upotoshaji nchini kuwa hatua za lockdown hazina manufaa! Hili naona kama ni upotoshaji ambao unasababishwa na ukweli kwamba viongozi wengi wameingiza siasa kwenye vita dhidi ya corona na matokeo yake ndo haya ya upotoshaji pamoja na mambo mengine.

Mifano iko mingi, lakini kuna mfano nilioamuwa kuutumia kujenga hoja yangu. Mfano huu ni wa gavana wa Ohio kule marekani, anayeitwa Mike Dewine! Huyu alichukuwa hatua zote kabla ya Trump! Pamoja na kwamba Trump anaogopeka na viongozi wengi ndani ya chama chake cha republican, mfano maseneta na magavana, huwa wana wasiwasi wa kupingana naye kwasababu ya umaarufu alio nao ndani ya chama cha Tembo ama Republicans!

Sasa huyu alichukuwa hatua za lockdown toka mwanzo kabisa wakati Trump akiwa analeta utani na gonjwa hilo! Matokeo yake, jimbo lake linafanya vizuri sana na yeye amekuwa maarufu siyo tu kule Ohio, bali marekani nzima! Alikuwa na guts za kufanya maamuzi sahihi ya kulinda raia wake kuliko rais wa nchi! Na wananchi wanasema hatua hizo alitakiwa azichukuwe Trump mwenyewe, na pengine mikusanyiko iliyokuwa ikiendelea kwenye majimbo mengine mfano New York, New Orleans na kwingineko ambako michezo iliendelea kama kawaida na mikusanyiko mingine kama makanisani nk, ambapo matokeo yake ndo haya tunayoyaona wanakufa kwa kasi na maambukizi ambayo yalikuwa tayari yametapakaa.

Jimbo lake lina maambukizi machache na vifo vichache sana, na wameshaanza kufungua taratibu taratibu. Pia jimboni kwake alifanya mkakati siyo wa total lockdown, hiyo ni baadhi tu ya sehemu. Wale wanaojitetea kuwa lockdown ni mbaya, wanawaongopea wananchi kwa manufaa yao binafsi, most likely uchaguzi. Ni bora waseme lockdown siyo njia muafaka kwasababu ya mfumo wetu wa uchumi ulivyo na maisha ya wananchi wake, au pia kwamba wamechelewa kwasababu tuliendelea kupokea wageni wote hata kutoka China! Lakini haina maana kuwa partial lockdowns hazifai na wala hazikufaa! Na lockdowns kwenye maeneo korofi ni za muhimu!

Lakini pia tulipuuza tokea mwanzo na kuanza kusema wapinzani wanataka wananchi wafe na njaa! Hii ni propaganda ambayo matokeo yake si mazuri kwenye jamii inayokabiliana na janga hatari linalochukuwa maisha ya watu kila siku na pengine kila saa duniani.

Bila kupoteza muda, naweka hiki kipande hapo chini chenye kusapoti ninachokisema, pia link kama ukitaka kusoma habari yote na kujiridhisha wewe mwenyewe kuwa niyasemayo ni kweli.

Mike Dewine gavana wa Ohio, alipata umaarufu hata kumzidi Trump ambaye naye akaanzisha utaratibu wa kuongea na waandishi wa habari kila siku. Jambo ambalo Dewine alikuwa akilifanya jimboni kwake kila siku saa nane mchana, na wakati huo wana Ohio wanakuwa kwenye luninga zao wakimsikiliza. Ndiyo wakaanzisha usemi wa “it’s 2’oclock somewhere...wine with mr Dewine”, ambapo wakati wa lunch wanapata wine wakimsikiliza Dewine. Wala hawa kuwa na habari na Trump!

A Republican, he took early and bold actions to lock down his state, even as the head of his party, President Trump, dismissed the threat of the pandemic.



Ohio’s G.O.P. Governor Splits From Trump, and Rises in Popularity

Kwahiyo ndugu watanzania wenzangu, kabla ya kufanya upotoshaji, jiridhishe kwa kautafiti kadogo tu ili uweze kuwa huru kifikra! kama ikifikia mahali unamkabidhi mtu mwingine jukumu la kufikiria kwa niaba yako, ujuwe kuna shida kubwa sana kwa upande wako! Kusema lockdown haisaidii, ni sawa pia na kusema “to hell with social distancing”. Kwasababu huwezi kuwaambia watu wafuate masharti kwa ugonjwa ambao siyo hatari kabisa kwa jinsi unavyochukuliwa, kutokana na hatua za viongozi wetu, pamoja na matam

Siyo sahihi kusema lockdown haisaidii kwasababu zenu za kisiasa! Kwanza ingekuwa ni kwetu, huyo Dewine angekiona cha mtemakuni!

Lakini kwasababu ya kiasi cha demokrasia na mfumo wao wa uongozi, Dewine aliweza kuchukuwa maamuzi muhimu kwenye jimbo lake kinyume na rais wa nchi! Na ameonekana kwamba alikuwa sahihi na kiongozi shupavu!

Nyota yake inang’ara! Trump hawezi tena kusema kuwa lockdown haisaidii! Na kwetu Tanzania siyo sahihi kusema hivyo, semeni tu hamkuchagua lockdowns kwasababu mtakufa njaa, ama pia mlichelewa kuchukuwa hatua za kufunga mipaka!

Mag3 Nguruvi3 JokaKuu Kalamu1 imhotep Detective J

Sent using Jamii Forums mobile app
 
The number of deaths in the world in the last two months of 2020

14,687 : Corona virus

69,602 : Common cold

140,584 : Malaria

153,696 : suicide

193,479 : road accidents

240,950 : HIV loss

358,471 : alcohol

716,498 : smoking

1,177,141 : Cancer

Then do you think Corona is dangerous?

Or

is the purpose of the media campaign to settle the trade war between China and America

or

to reduce financial markets to prepare the stage of financial markets for mergers and acquisitions

or

to sell US Treasury bonds to cover the fiscal deficit in them

Or

Is it a Panic created by Pharma companies to sell their products like sanitizer, masks, medicine etc.

Do not Panic & don't kill urself with unecessary fear:I am posting this to balance your newsfeed from posts that caused fear and panic.



338,724 People are sick with Coronavirus at the moment, of which 81,093 are in China. With a population of over 1.1 billion. This means that if you are not in or haven't recently visited China, this should eliminate 94% of your concern.

If you do contract Coronavirus, this still is not a cause for panic because:

81% of the Cases are MILD

14% of the Cases are MODERATE

Only 5% of the Cases are CRITICAL

Which means that even if you do get the virus, you are most likely to recover from it.

Some have said, “but this is worse than SARS!”. SARS had a fatality rate of 10% while COVID-19 has a fatality rate of 2%

Moreover, looking at the ages of those who are dying of this virus, the death rate for the people UNDER 50 years of age is only 0.2%

This means that: if you are under 50 years of age and don't live in China - you are more likely to win the lottery (which has a 1 in 45,000,000 chance)

Sunday 22nd March in Italy 793 died.

Let’s take one of the worst days so far, the 10th of February, when 108 people in CHINA died of Coronavirus.

On the same day:

26,283 people died of Cancer

24,641 people died of Heart Disease

4,300 people died of Diabetes

Suicide took 28 times more lives than the virus did.

Mosquitoes kill 2,740 people every day, HUMANS kill 1,300 fellow humans every day, and Snakes kill 137 people every day. (Sharks kill 2 people a year)

TAKE MULTI VITAMINS AND DO THE DAILY THINGS TO SUPPORT YOUR IMMUNE SYSTEM , PROPER HYGIENE AND DO NOT LIVE IN FEAR.

Join Me to Spread Hope instead of Fear. The Biggest Virus is not Corona Virus but Fear!

SHARE TO STOP PANIC. [emoji120]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeandika saaana kuwakariri US ambako wana uchumi stable tofauti na afrika.

Jibu ni kwamba tumechukua right track kwa sababu madhara ya lockdown ni makubwa kuliko unavyowaza wewe na wenzio wenye kipato kizuri na mnachokiogopa ni kifo tu.
Lakini mnasahau nchi yetu wanaokimbiza kipati yaani hand to mouth ndio wengi kuliko wale mnaotembea na viyoyozi afrika.
Mind you hata huko US tayari hawataki lockdown.

Sent using Jamii Forums mobile app
Samahani mkuu, kabla sijakujibu, naomba nikuulize kama umepitia michango ya nyuma tokea bandiko la kwanza.
 
Ulaya na Marekani wamefungia mipaka na shughuli zingine, ni muda tu nyie na Kenya mtabadilisha gia angani sababu mizungu imesema.
Yeye wewe unajikinga na hii pandemic kwasababu mzungu amesema? Unajitibu kwasababu umeambiwa na mzungu?
 
Critics zitatoka nyingi lakini Kwa hili Raisi JPM ni mfano wa dunia, shida tu ni Raisi toka Africa tena Tanzania. Ingekua ni mweupe basi angekua kwenye headlines na promo kibao.

Karata alizo changa Raisi wetu kuchangua clinical approach badala ya epidemiological approach ndo tofauti kuu.
After all Raisi wetu ni mwanasayansi, jiulize ni Maraisi wangapi duniani ni wanasayansi na wanaelimu ya maabara.

JPM is the right president for our nation
especially at this era. Period. Kila Jambo na nyakati zake.
Mbona Trump ni mweupe?
 
Hata kama wanafungua huku kuna vifo vingi, haina maana kwamba kufunga hakujawasaidia kuokoa maisha ya wananchi.

Hao wa marekani wanaotaka kutoka nje ni wachache sana!group dogo sana la mashabiki wa Trump.

Wenzenu wakifungua hata kama vifo vingi, ni kwasababu ya kosa la kuchelewa kufunga, lakini siyo kwasababu ya kufunga. Common sense yenyewe ingetosha.
Sweden wasio na lockdown wana common sense nyingi kuliko mimi na wewe.

Ni akili za vumbi kuwa na lockdown wakati familia moja ina watu nane wenye kuishi nyumba moja na kutumia mpaka sahani zile zile kila siku.
 
Fujo za watu wa Kenya kule East leagh? Wanakoishi wasomali?Uganda na Rwanda umezisahau. Kama Rwanda wamelisha nchi sisi tumeshindwa vipi kuilisha Dar? Tena siyo wote Dar ambao wangehitaji msaada.
Rwanda ukubwa wake ni sawa na mkoa mmoja tu wa Tanzania Bara. Lockdown ni ngumu sana kuna matatizo mengine ya kiafya kama TB na HIV unapoweka lockdown unaongeza vifo vya hayo magonjwa.

Sio kila lenye kuwezekana nch fulani basi na nyingine inaweza kulifanya.
 
Sweden wasio na lockdown wana common sense nyingi kuliko mimi na wewe.

Ni akili za vumbi kuwa na lockdown wakati familia moja ina watu nane wenye kuishi nyumba moja na kutumia mpaka sahani zile zile kila siku.
Usijiweke group moja na mimi hapo unapojitolea mfano na wa Swedish. GTO with you little self esteem bra.
 
Rwanda ukubwa wake ni sawa na mkoa mmoja tu wa Tanzania Bara. Lockdown ni ngumu sana kuna matatizo mengine ya kiafya kama TB na HIV unapoweka lockdown unaongeza vifo vya hayo magonjwa.

Sio kila lenye kuwezekana nch fulani basi na nyingine inaweza kulifanya.
Wapi nimesema lockdown ya Tanzania nzima?
 
Yeye wewe unajikinga na hii pandemic kwasababu mzungu amesema? Unajitibu kwasababu umeambiwa na mzungu?

Sijikingi, sijitibu, sivai barakoa wala sinawi kama hakuna msosi. Wagumu tunadumu
 
Naona kumekuwepo na hali ya upotoshaji nchini kuwa hatua za lockdown hazina manufaa! Hili naona kama ni upotoshaji ambao unasababishwa na ukweli kwamba viongozi wengi wameingiza siasa kwenye vita dhidi ya corona na matokeo yake ndo haya ya upotoshaji pamoja na mambo mengine.

Mifano iko mingi, lakini kuna mfano nilioamuwa kuutumia kujenga hoja yangu. Mfano huu ni wa gavana wa Ohio kule marekani, anayeitwa Mike Dewine! Huyu alichukuwa hatua zote kabla ya Trump! Pamoja na kwamba Trump anaogopeka na viongozi wengi ndani ya chama chake cha republican, mfano maseneta na magavana, huwa wana wasiwasi wa kupingana naye kwasababu ya umaarufu alio nao ndani ya chama cha Tembo ama Republicans!

Sasa huyu alichukuwa hatua za lockdown toka mwanzo kabisa wakati Trump akiwa analeta utani na gonjwa hilo! Matokeo yake, jimbo lake linafanya vizuri sana na yeye amekuwa maarufu siyo tu kule Ohio, bali marekani nzima! Alikuwa na guts za kufanya maamuzi sahihi ya kulinda raia wake kuliko rais wa nchi! Na wananchi wanasema hatua hizo alitakiwa azichukuwe Trump mwenyewe, na pengine mikusanyiko iliyokuwa ikiendelea kwenye majimbo mengine mfano New York, New Orleans na kwingineko ambako michezo iliendelea kama kawaida na mikusanyiko mingine kama makanisani nk, ambapo matokeo yake ndo haya tunayoyaona wanakufa kwa kasi na maambukizi ambayo yalikuwa tayari yametapakaa.

Jimbo lake lina maambukizi machache na vifo vichache sana, na wameshaanza kufungua taratibu taratibu. Pia jimboni kwake alifanya mkakati siyo wa total lockdown, hiyo ni baadhi tu ya sehemu. Wale wanaojitetea kuwa lockdown ni mbaya, wanawaongopea wananchi kwa manufaa yao binafsi, most likely uchaguzi. Ni bora waseme lockdown siyo njia muafaka kwasababu ya mfumo wetu wa uchumi ulivyo na maisha ya wananchi wake, au pia kwamba wamechelewa kwasababu tuliendelea kupokea wageni wote hata kutoka China! Lakini haina maana kuwa partial lockdowns hazifai na wala hazikufaa! Na lockdowns kwenye maeneo korofi ni za muhimu!

Lakini pia tulipuuza tokea mwanzo na kuanza kusema wapinzani wanataka wananchi wafe na njaa! Hii ni propaganda ambayo matokeo yake si mazuri kwenye jamii inayokabiliana na janga hatari linalochukuwa maisha ya watu kila siku na pengine kila saa duniani.

Bila kupoteza muda, naweka hiki kipande hapo chini chenye kusapoti ninachokisema, pia link kama ukitaka kusoma habari yote na kujiridhisha wewe mwenyewe kuwa niyasemayo ni kweli.

Mike Dewine gavana wa Ohio, alipata umaarufu hata kumzidi Trump ambaye naye akaanzisha utaratibu wa kuongea na waandishi wa habari kila siku. Jambo ambalo Dewine alikuwa akilifanya jimboni kwake kila siku saa nane mchana, na wakati huo wana Ohio wanakuwa kwenye luninga zao wakimsikiliza. Ndiyo wakaanzisha usemi wa “it’s 2’oclock somewhere...wine with mr Dewine”, ambapo wakati wa lunch wanapata wine wakimsikiliza Dewine. Wala hawa kuwa na habari na Trump!

A Republican, he took early and bold actions to lock down his state, even as the head of his party, President Trump, dismissed the threat of the pandemic.



Ohio’s G.O.P. Governor Splits From Trump, and Rises in Popularity

Kwahiyo ndugu watanzania wenzangu, kabla ya kufanya upotoshaji, jiridhishe kwa kautafiti kadogo tu ili uweze kuwa huru kifikra! kama ikifikia mahali unamkabidhi mtu mwingine jukumu la kufikiria kwa niaba yako, ujuwe kuna shida kubwa sana kwa upande wako! Kusema lockdown haisaidii, ni sawa pia na kusema “to hell with social distancing”. Kwasababu huwezi kuwaambia watu wafuate masharti kwa ugonjwa ambao siyo hatari kabisa kwa jinsi unavyochukuliwa, kutokana na hatua za viongozi wetu, pamoja na matam

Siyo sahihi kusema lockdown haisaidii kwasababu zenu za kisiasa! Kwanza ingekuwa ni kwetu, huyo Dewine angekiona cha mtemakuni!

Lakini kwasababu ya kiasi cha demokrasia na mfumo wao wa uongozi, Dewine aliweza kuchukuwa maamuzi muhimu kwenye jimbo lake kinyume na rais wa nchi! Na ameonekana kwamba alikuwa sahihi na kiongozi shupavu!

Nyota yake inang’ara! Trump hawezi tena kusema kuwa lockdown haisaidii! Na kwetu Tanzania siyo sahihi kusema hivyo, semeni tu hamkuchagua lockdowns kwasababu mtakufa njaa, ama pia mlichelewa kuchukuwa hatua za kufunga mipaka!

Mag3 Nguruvi3 JokaKuu Kalamu1 imhotep Detective J
Effect za lockdown Ohio zinaweza lingana na effect zake na inchi kama zetu za third world?,acha kupotosha watu,huko wanaweza kununua mahitaji yao ya mwezi mzima mtu anakaa ndani anajitafunia,ukimfungia wa buguruni utampesa tu,maana kula yake lazima atoke akapige kibarua na hela atayopata siku hiyo ni ya kumtosha siku mbili tu,unataka yatokee watu wajae barabarani kudai vyakula ili inchi iwe katika utulivu ziro ndio ufurahi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
USA wanakufa kama Kuku usipotoshe
Mkuu USA maana yake ni muunganiko wa nchi zaidi ya 40 yaani ni kama kuichukulia Afrika Mashariki, kati na Kusini.
Sasa turudi kwenye hoja..Je,Tanzania imekataa lock down kisa aifanyi kazi au kwasababu Serikali yetu aiwezi kuwahudumia wananchi wake mfano mahitaji ya kila siku?
Pili,Marekani imetoa pesa kwa watu walio poteza ajira je Tanzania nayo itafanya hayo kwa watu kama walimu wa shule binafsi na vyuo ambao na awalipwi mishahara yao tangu Machi?
 
Back
Top Bottom