UkAsome mathayo 19:8-12 unaona kabisa ndoa zilikuwepo,na hasa 12 unaona kabisa kwamba swala la kutooa hata kwa hawa unaoita mizizi ya ukristo liliposimamia.ni wakfu maalumu wa sadaka kiutumishi.
Hiyo ni sawa na anayeamua kufunga asile siku mbili au 3 ili chakula husika akielekeze sehemu maalumu.