Hivi ni nini hekima iliyopo nyuma ya ruhusa ya kuoana ndugu?

Unasema siyo kila mtu katika ukristo anapaswa kuigwa!Sawa,vipi kuhusu Yakobo (Israeli),maana yeye alioa watoto wa mjomba wake.Au na Yakobo siyo wa kuigwa?.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…