Hivi ni nini hekima iliyopo nyuma ya ruhusa ya kuoana ndugu?

Hivi ni nini hekima iliyopo nyuma ya ruhusa ya kuoana ndugu?

Na ndomana Sickle-cell haiishi... Waarab ndo zao kulana ndugu shabash!
 
HUO NI UONGO NA UPOTOSHAJI!
Ndoa za kiislam hufungwa kwa misingi ya kiislam na ipo sura mahsusi kwenye Quran (Sura An - Nisaa) inayoelezea taratibu zote hizo nk.
Labda nikumegee kidogo Aya ya 23

(Sura An- Nisaa - 23)
"Mmeharimishiwa kuoa mama zenu, na binti zenu, na dada zenu, na shangazi zenu, na
khaalati zenu, na binti wa ndugu mume, na binti wa dada, na mama zenu walio
kunyonyesheni, na dada zenu kwa kunyonya, na mama wa wake zenu, na watoto wenu
wa kambo walio katika ulinzi wenu walio zaliwa na wake zenu mlio waingilia.
(Pia mmeharimishwa) wake wa watoto wenu walio toka katika migongo yenu. Na kuwaoa pamoja dada wawili isipo kuwa yale yaliyo kwisha pita. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe Mwenye
kurehemu"


NAOMBA NA WEWE UTUWEKEE KIFUNGU CHOCHOTE KWENYE BIBLIA KINACHO ONESHA NANI HURUHUSIWI KUOA
Wakikujibu nitafute kwa nguvu zote umewapa kitu na box yake .Ahsante Kaka J/F wajinga ni wengi kuliko waliosoma na wenye elimu.
 
Nishajua tatizo lako ni nini. Ndugu, tuisome Dini yetu tuache utani.

Ngoja nikuache. Ila kabla sijakuacha, ngoja nikuache na hii; unamjua 'Ally Ibn Abi Talib (Radhi za Allah ziwe juu yake)? Mtume (Swala na Salamu ziwe juu yake) alimuozesha binti yake Fatima (Radhi za Allah ziwe juu yake) kwa 'Ally. Unajua 'Ally Ibn Abi Talib Ibn 'Abdil Muttalib ni nani kwa Mtume Muhammad Ibn 'Abdillah Ibn Abdil Muttalib? Kaa chini uisome Dini yako.

Kazakh destroyer
Ametaka kutanguliza akili yake bila kuiacha huru na kuisalimisha kwenye maandiko ya kisheria, suala la bangi limejengwa juu ya msingi wa vyote vyenye kulewesha, Qur'an haikutaja mufradaat kwenye kila ilichotaja kama haramu, bali kuna misingi na kanuni.

Allah atuongoze sote Baljurashi
 
Binamu wanaoana.....

Watoto wa baba mkubwa na mdogo wanaoana. Zanzibar limetamalaki sana hili.

Yote hayo mimi yamenishinda; yaani nikamuoe mtoto wa baba mkubwa/mdogo? Damu yangu? Nimeshindwa, nashukuru imani haijasema kwamba hilo ni lazima. Ningefukuzwa.

Hivi hekima haswa iliyojificha nyuma ya hili ni nini? Au nini historia ya hili?

Karibuni mnielimishe.
Hapo baba mkubwa na mdogo hapo kuna ukakasi, ndoa ni kati ya mtoto wa shangazi na mjomba, au labda uwe ni ba mkubwa na mdogo ila sio kwa kuzaliwa yani hao wazazi ukaka wao ni wa kibinamu, sio ba mkubwa na mdogo ama mamkubwa na mdogo kabisa kabisa
 
Wana wa Israel wametokana na wanawake wangapi? Na Vp sindiyo wabarikiwa wa Mungu kwa mujibu wa maandiko?.
Tukiweka sababu moja moja, Muhammad hakuwa na sababu ya kufanya alichofanya.

Inabidi umtetee sababu ni mentor wa kila muislam.
 
Hahahaaa!Bado hakuna katazo la watoto wa baba mkubwa na mdogo kuoana.

Wewe unasomaje,18:12 inasema utupu wa umbu la baba yako usifunue.

"UTUPU WA UMBU LA BABA YAKO" maana yake ni "UCHI WA DADA WA BABA YAKO"(SHANGAZI).

Sasa ni wapi watoto wa baba mkubwa,watoto wa baba mdogo na watoto wa shangazi wamezuiwa kuoana?.

Tuache kulazimisha mazingira yetu kuwa ndiyo maandiko.
Kama tatizo halipo hapo basi hakuna tatizo hata ukiamua kumkanda dada yako.si tunatafuta tatizo mkuu[emoji2][emoji2].

Kama limekataza kumvua chupi mke wa jama yako au rafiki yako,unatafuta palipokatazwa mtoto wa baba mkubwa!!![emoji2]
 
Nani kakuambia naamini biblia? Uliza mababu zako kama wapo kabla ya ujio wa wakoloni huo upumbavu ulikuwepo kwenye ukoo wenu? Maana Sasa Kuna mitanzania imekuwaitumwa ya mila, tamaduni, Mavazi, vyakula na lugha za waarabu na wazungu kwa visingizio vya dini ambayo kimsingi ni Mila za hao mabwenyenye
Mpumbavu unajifanya kujificha wewe ni mkirito unajificha hili iweje?mimi Mbena shangazi yangu kaolewa na mkurya kazaa watoto heti ao watoto ni ndugu zangu kuwao mwiko ukifuata hivyo uwezi kuoa sababu wanadamu wote chimbuko lao ni 1 tu
 
Mkuu naona umekuja na Kuleta mada ya DINI ambayo mleta mada hakuleta na hakusema hivyo...
Kuhusu Zanzibar ni kweli wanaonana mtoto wa Ami na ami yake..Ambaye ni sawa na kusema mtoto wa baba mkubwa au bamdogo ni kitu cha kawaida katika uarabu na uzanzibar tumeishi huko tunaona na tunajua...

Usichanganye uarabu na uislamu au uzanzibar na uislma ni vitu tifauti
Swali babako ndogo akifa unaweza kwenda kurithi au shangazi yako au mamako mdogo akiacha mali unaweza rithi mali yake?kama uwezi undugu wewe na watoto wa shangazi yako unatoka wapi?mfano fahamu binadamu wote asili yao ni 1 tu shangazi yako kaolewa huko kazaa watoto hao watoto ndugu zako au amjui maana ya ndugu ukitaka kujua nini maana ya ndugu siku akifa babako mdogo siku ya mgao wa mali urithi na wewe uende usemi nami nimo sababu alie kufa alikuwa babangu mdogo uone mziki wake
 
Yapo mkuu tena sio Moja ngoja nikupe machache...
Walawi 18:6-20 (NIV)

""Msiifanye aibu miili yenu kwa kuifunua kwa njia ya kufanya ngono; kama vile kitendo cha kumwoa dada yako wa kambo, mwanamke wa baba yako,
na kufunua aibu yake. Usifunue aibu ya binti wa mwanao au wa binti wa binti yako, kwa maana huo ni uchafu wako wenyewe.
Usifunue aibu ya binti ya dada yako au ya dada ya baba yako, kwa maana huyo ni jamaa yako wa karibu, ni uchafu wako wenyewe. Usifunue aibu ya binti ya kaka yako, binti ya dada yako, kwa maana huyo ni jamaa yako wa karibu.
Usifunue aibu ya binti ya mke wa baba yako, aliyezaliwa nyumbani mwako au wa binti wa mke wa mwanao, naye ni mwenzake. Usifunue aibu ya binti ya mke wa mwanao au wa mke wa ndugu yako; kwa maana huyo ni jamaa yako wa karibu. Usifunue aibu ya mke wa mwanaume mwenzako kwa kuwa hiyo ni aibu ya mume mwenzako."


pia mkuu unaweza ukasoma na

walawi 20:17-21

"Ikiwa mtu ataoa dada yake, binti wa baba yake au binti wa mama yake, na wao wakafanya tendo la ndoa, hiyo ni aibu. Wataondolewa hadharani kati ya watu wao.
Amemtia aibu dada yake na atachukuliwa kuwa na hatia. Ikiwa mtu ataoa mke na mama yake, ni jambo la uchafu. Watachomwa moto yeye na huyo mwanamke, ili kwamba uchafu wao usionekane kati ya watu wao. Ikiwa mtu ataoa dada ya mkewe, jambo hilo ni uchafu mkubwa;
wao wawili wataondolewa hadharani kati ya watu wao; watapata adhabu ya dhambi zao. Ikiwa mtu ataoa mke na mama na binti zake, jambo hilo ni uovu; wao na wote watakaojiunga nao watachomwa moto, ili kwamba uovu huo usiwe kati yenu."


mkuu hayo ni machache tu yako mengi....
Umejibu lakini sio nilicho kuuliza lete andiko linalo sema mtoto wa shangazi yako na mama mdogo na mkubwa na mtoto wa babangu ndogo kuwa ni ndugu zangu ni mwiko kuwaoa kwenye hilo andiko lako hao nilio wataja sijawaona
 
Ukweli ni kwamba hata pamoja na dini ya kiislam kuruhusu kuoana binamu,lakini jambo hili hutokea mara chache sana tena kwa dharula,labda mmetiana mimba au mmefumwa mnaibana kinyemera.

Ni jambo ambalo kimaadili halivutii.
Mtoto wa baba mdogo mkubwa shangazi mjomba sio ndugu hivyo kuona ni sawa tu ukitaka kuamini kuwa sio ndugu watu awa awarithiani kwa hali yoyote mfano babako mdogo akifa au shangazi yako watoto wake wanapo rithi mali zake wewe uwesogea sababu wewe uhusiki sio ndugu yao,hoja dhaifu kumuita mtoto wa shangazi yako ndugu ni ufahamu mdogo sana,kama kweli ni ndugu basi tusioane sababu binadamu asili yetu ni moja
 
Ukweli ni kwamba hata pamoja na dini ya kiislam kuruhusu kuoana binamu,lakini jambo hili hutokea mara chache sana tena kwa dharula,labda mmetiana mimba au mmefumwa mnaibana kinyemera.

Ni jambo ambalo kimaadili halivutii.
Huyo babu yako na bibi yako wa 50 unauhakika gani kama hawa kuwa mtoto wa baba mkubwa na mdogo?
 
Walawi 18 imeeleza vyema tu,kuliko hata hiyo Quran yako unayodhani Ina Kila kitu.
Lete andiko linalo kataza kumuoa mtoto wa shangazi na mtoto wa baba mdogo na mkubwa,pia utambue hiyo biblia ilikuja mwambao huu wa afirika mashariki ikiwa imeandikwa kwa kingereza alitolewa huko na kuandikwa kwa kiswahili maneno mengi yaliomo humo robo 3 yametokana na qur,aan unayo ichukia
 
Haya ni ma Mila ya wahindi na waarabu eti ni wivu Mali isitoke nje ya familia ndio maana kwenye familia za wahindi na waarabu ndani Wana mazezeta au wenye mtindio wa UBONGO. Sasa sisi wa kuletewa dini tumebeba Kila kitu hata hayo mamila ya hovyo ila kimsingi makabila halisi ya kiafrika hilo halikubaliki.na ni laana
Acha ujinga wewe binadamu asili yao 1 tu hata huyo bibi yako na babu yako si ajabu walioana wa baba mkubwa na mdogo miaka 100 alio pita
 
Huyu mtu ingekuwa ameibuka Karne hii angekuwa jela.

[emoji779] Ndoa za watoto wadogo alioa katoto ambalo kwa bongo Ukifanya hivyo ni ubakaji miaka 30 jela

[emoji779] Hizi ndoa za maharimu ( close related blood) nayo ingekuwa jela

[emoji779] Polygamy ( kosa la kutoa wake wengi nayo ni jela)

[emoji779] Kugandamiza haki za wanawake, kuwafunika manguo meusi gubigubi, kuwakataza kushiriki kwenye siasa na maamuzi nayo ilikuwa jela
Kafiri ajawahi kumpenda muhammad na uisilawam na waisilamu kwa ujumla
 
Watoto wa Adam walioona ndugu pia , hii imekaaje ?
Wanapinga wasicho kijua ukiwachunguza kinacho wasukuma ni ujinga na chuki hata kwenye biblia hakuna andiko linalo katazwa kuoana mtoto wa baba mkubwa na mdogo au shangazi,pia wanadamu chimbuko letu 1 ukoo ufika muda ukapotea mkawa amjuani tatizo ni ufahamu tu
 
Hivi hamuoni kinyaa, unaingizaje hiyo kitu kwa damu yako mwenyewe?! Hushindwi kubaka mwanao wewe
Acha ujinga wewe watu wote asili yao ni 1 tu ndio maana tukaitwa wana waadamu,mfano wewe ni muha shangazi yako kaolewa mtwala kwa makonde kazaa watoto je hao watoto ni ndugu zako wa damu?
 
Ni kwanini kuoana ndugu kunakatazwa?
Sababu kubwa ni kwamba kuna magonjwa ya kurithi, kwaiyo mkioana ndugu ni rahisi watoto kuzaliwa na hayo magonjwa kwakua 'gene' za wazazi zinakua zinafanana kwa kiasi kikubwa. Magonjwa kama albinism, sickle cell, pumu n.k. Kwa waliosoma biology (genetics) watanielewa kwenye 'dominant gene' na recessive gene' 'homozygous' na heterozygous'.

Kwaiyo hata wazee wetu hawakua wapumbavu walikua wanalitambua hili. Ndo maana kuna makabila ilikua ikigundulika ndugu mnanyandua adhabu yake ni kifo.

Hii kitu inaaply hata kwa mifugo (kuku,ng'ombe, mbuzi nguruwe n.k), ukitaka mifugo yako uzao wake uendelee vizuri usikubali wapandane ndugu, tafuta dume la mbali kabisa. Bila hivyo vizazi vinavyoendela vinazidi kua dhaifu na vidogo zaidi.
Unatuletea ujinga wako hapa wewe ndugu zako wa miaka 300 iliopita unawafahamu? huyo ulio muoa unajuaje kama sio mtoto wa shangazi yako wa miaka 400 iliopita?
 
Mkuu avogadro sometimes kama Hujui sheria inabidi ukae tu kimya usijiabishe mbele za watu...

Kuhusu Ndoa ya Watoto

Sheria ya Tanzania iliruhusu Mwanaume kumuoa mwanamke mwenye miaka 13 imebadilishwa nafikiri hata miaka 10 haifiki ikaongeza umri mpaka sasa ni miaka 15 Ruksa kuolewa au 14 kwa pendekezo la wazazi...
Soma sheria ya Ndoa 1971 kifungu cha 13(1) na (2)

Na kuhusu polygamy

Nakurudisha kwenye sheria hiyo hiyo ya ndoa sio kosa nenda kasome sheria hiyo kifungu cha 9 (3) na kifungu cha 10,Kinaeleza kuhusu aina za Ndoa Tanzania zimesema ni Monogamous na Polygamous... Na zimeelezea vizur kabisa nini maana zake na zinafungwaje nafikiri Go and read that..

Hata hivyo biblia yako pia iliruhusu ndoa hizo ukitaka ushahidi nitakuleta hapa nakuelimisha kwanza kuhus sheria

Kugandamiza haki za wanawake
Umesema kugandamiza haki na ukasema ikiwemo mojawapo kuwafunika manguo,kuwakataza kushirki katika utawala....
Sasa hapa siendi kwenye sheria ntaenda kwe ye bible yako..

Bible ndo kitabu cha kwanza kumgandamiza mwanamke mwanamke hakuhesabiwa kitu katika biblia..
  • Unafahamu kuwa watoto wa Yakobo wako 13 mmoja ni mwanamke lakini kwakuwa tu ni mwanamke Hakuhesabiwa na unasikia wanakuambia kuna watoto 12 wa yakobo? Na makabila 12 ya israel je hilo kabila lake la huyo mwanamke kwanini halitajwi...kwa sababu biblia imekuwa kandamizi sana kuhusu mwanamke...
  • Hakuna mtume wala nabii wa Kike aliyepewa heshima kwenye biblia..
  • Wanawake walihesabiwa kama wazazi tu na sio watawala wa kiserkali wala kisiasa wala kidini...
Kuhusu kutawala umetoa hasira kabisa kwa waislamu..ngoja bhasi nilete ushaihidi kwamba nyote mko sawa...

Kuhusu kufunika kichwa

1 wakorintho 11:5-6,10,13,16

" Bali kila mwanamke asalipo, au anapohutubu, bila kufunika kichwa, yuaaibisha kichwa chake; kwa maana ni sawasawa na yule aliyenyolewa......


Maana mwanamke asipofunikwa na akatwe nywele. Au ikiwa ni aibu mwanamke kukatwa nywele zake au kunyolewa, na afunikwe.
Kwa hiyo imempasa mwanamke awe na dalili ya kumilikiwa kichwani, kwa ajili ya malaika.Je! Inapendeza mwanamke amwombe Mungu asipofunikwa kichwa?

Lakini mtu ye yote akitaka kuleta fitina, sisi hatuna desturi kama hiyo, wala makanisa ya Mungu."

kuwakataza katika utawala wanawake na kuwanyima priorit na kuwanyamazisha

1 Timotheo 2:11-14

"Mwanamke na ajifunze katika utulivu, akitii kwa kila namna, Simpi mwanamke ruhusa ya kufundisha, wala kumtawala mwanamume, bali awe katika utulivu,
Kwa maana Adamu ndiye aliyeumbwa kwanza, na Hawa baadaye, "Wala Adamu hakudanganywa, ila mwanamke alidanganywa kabisa akaingia katika hali ya kukosa."


Pia unaweza ukapitia hapa

1 wakorintho 14:34-38

"Wanawake na wanyamaze katika kanisa, maana hawana ruhusa kunena bali watii, kama vile inenavyo torati nayo.
Nao wakitaka kujifunza neno lo lote, na wawaulize waume zao wenyewe nyumbani mwao; maana ni aibu wanawake kunena katika kanisa.
Au je! Neno la Mungu lilitoka kwenu? Au kuwafikia ninyi peke yenu?
Mtu akijiona kuwa ni nabii au mtu wa rohoni, na ayatambue hayo ninayowaandikia, ya kwamba ni maagizo ya Bwana.
Lakini mtu akiwa mjinga, na awe mjinga..........


MY TAKE ON THIS
Mkuu dini zote hizi tatu zinafanana kimuuundo so usitukane nyingine ukadhani uko salama zote ziko sawa....

KUHUSU USTAARABU WA WAARABU..

wengi mmetukana sana kuhusu Ustaarabu wa waarabu bila kujali hata Mtume wenu Paulo,Alipopewa utume (kama anavyosema) kabla ya kwenda kukutana na wanafunzi wa Yesu alienda kwanza uarabuni na kupata ustaarabu wa Waarabu...

Soma wagalatia 1:16-18


"Alipoona vema kumdhihirisha Mwanawe ndani yangu, ili niwahubiri Mataifa habari zake; mara sikufanya shauri na watu wenye mwili na damu;
wala sikupanda kwenda Yerusalemu kwa hao waliokuwa mitume kabla yangu;
bali nalikwenda zangu Uarabuni, kisha nikarudi tena Dameski.
Kisha,
baada ya miaka mitatu, nalipanda kwenda Yerusalemu ili nionane na Kefa, nikakaa kwake siku kumi na tano."
Mwalimu imefafanua vizuli tatizo jamii ya wakirito chuki yao ni kubwa kwa waisilamu hata umuonyeshe andiko awako tayali kuamini sababu uisilamu unawaumbua imani zao za kuabudu masanamu na kumuita yesu mwana wa mariyamu mungu hiyo ndio sababu lakini waisilamu wakikubali kuwa yesu ni mungu haya yote utayaona wala kuyasikia
 
Back
Top Bottom