Hivi ni nini hekima iliyopo nyuma ya ruhusa ya kuoana ndugu?

Hivi ni nini hekima iliyopo nyuma ya ruhusa ya kuoana ndugu?

Inaonekana Mohammed alikua anapewa special favors na Allah kama his favourite child mpaka bi Aisha aliwahi kulalamika . Mohammed could get away with anything kibaya na verse itashuka kumpa uhalali[emoji3][emoji16].
,[emoji23][emoji23][emoji23]wenyewe ukiwauliza Wala hawana shida na Hilo,wanaamini alikuwa Bora sana kwa Allah[emoji23][emoji23].

Wakati huku kwenye bible Mungu angemtoa nishai kipenzi chake live live,kama Mussa alivyoikosa nchi ya ahadi kisa kumkasirikia Mungu.
 
HUO NI UONGO NA UPOTOSHAJI!
Ndoa za kiislam hufungwa kwa misingi ya kiislam na ipo sura mahsusi kwenye Quran (Sura An - Nisaa) inayoelezea taratibu zote hizo nk.
Labda nikumegee kidogo Aya ya 23

(Sura An- Nisaa - 23)
"Mmeharimishiwa kuoa mama zenu, na binti zenu, na dada zenu, na shangazi zenu, na
khaalati zenu, na binti wa ndugu mume, na binti wa dada, na mama zenu walio
kunyonyesheni, na dada zenu kwa kunyonya, na mama wa wake zenu, na watoto wenu
wa kambo walio katika ulinzi wenu walio zaliwa na wake zenu mlio waingilia.
(Pia mmeharimishwa) wake wa watoto wenu walio toka katika migongo yenu. Na kuwaoa pamoja dada wawili isipo kuwa yale yaliyo kwisha pita. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe Mwenye
kurehemu"


NAOMBA NA WEWE UTUWEKEE KIFUNGU CHOCHOTE KWENYE BIBLIA KINACHO ONESHA NANI HURUHUSIWI KUOA
Umeambiwa Zanzibar kuna huo mtindo kwani kakwambia ni Waislam...Inawezekana imekatazwa lakini wao wanaoana ndugu...Vichwa vigumu kuelewa nyie
 
Sijabisha na wala sina tamaa ya kuzipinga kwani siwezi ila natamani kujua mantiki iliyopo as dunia ina watu weeengi sana tofautitofauti na mwenyezi Mungu alituumba tofautitofauti ili tufahamiane.
Unataka mantiki gani tena?
Kwani hao ambao unaona ni sahihi kuwaoa, unawaoa kwa mantiki gani?
 
Wewe kafiri, unajifanya unatetea mila za asili na kuwashutumu waarabu, kisha ulivyo huna akili katika post za mbele ukawa unapinga polygamy, ndoa "za utotoni" na "kukandamiza" wanawake na kumshutumu Mtume wetu Muhammad (Swala na Salamu ziwe juu yake) kwa hayo. Katika hizo mila zenu za asili kabla ya muarabu mlikuwa hakuna ndoa za "utotoni"? Wewe bibi yako aliolewa na miaka 30? Ndoa za wake wengi si zipo katika hizo mila zenu za asili tena wake wasio na idadi. Na katika hizo mila za asili wanawake wenu walipewa haki sawa na wanaume?


Uislam umeweka utaratibu mzuri zaidi katika hayo kuliko hizo "mila za asili". Na bado haujatoka katika maumbile ya asili.

Amwitaye kafiri mwafrika mwezake huyo ndio kafiri haswa,huwezi kuja kutetea mila za waarabu kisa tu umeahidiwa mabikra ya nadharia huo ni upumbafu
 
Ni kwanini kuoana ndugu kunakatazwa?
Sababu kubwa ni kwamba kuna magonjwa ya kurithi, kwaiyo mkioana ndugu ni rahisi watoto kuzaliwa na hayo magonjwa kwakua 'gene' za wazazi zinakua zinafanana kwa kiasi kikubwa. Magonjwa kama albinism, sickle cell, pumu n.k. Kwa waliosoma biology (genetics) watanielewa kwenye 'dominant gene' na recessive gene' 'homozygous' na heterozygous'.

Kwaiyo hata wazee wetu hawakua wapumbavu walikua wanalitambua hili. Ndo maana kuna makabila ilikua ikigundulika ndugu mnanyandua adhabu yake ni kifo.

Hii kitu inaaply hata kwa mifugo (kuku,ng'ombe, mbuzi nguruwe n.k), ukitaka mifugo yako uzao wake uendelee vizuri usikubali wapandane ndugu, tafuta dume la mbali kabisa. Bila hivyo vizazi vinavyoendela vinazidi kua dhaifu na vidogo zaidi.
Ningetamani mabingwa wafanye tafiti ijulikane ni makabila au jamii zipi nchini zinaongoza kwa mangnjwa ya aina hiyo na sababu ni nini.

Watu wanakiuka miiko ya asili halafu wanakuja kuleta shida baadaye kwao na kwa taifa kwa ujinga wao wenyewe! Haingii akilini unalala kitanda kimoja na mtoto wa aunt or uncle sembuse kuingiliana eti ndoa!

Taasisi kama NHIF wanatakiwa kuwa na maslahi makubwa kwenye hili ikiwa ni pamoja na ku-fund research za aina hii.
 
Wanaoruhusiwa kuoana ni binamu mkuu, mfano kuoa mtoto wa shangazi......huyo anakuwa si ndugu yako anao ukoo wake mwingine. Ila kitaalamu aina hii ya mahusiano haishauriwi ili kukwepa matatizo ya kurithi kama sickle cell nk.
... in the family tree, ukoo unaanzia wapi? I mean, kizazi cha ngapi?
 
Umesahau hata kwenye biblia nako imeandikwa Yakobo alioa mtoto wa mjomba yake?
Pre 10 Commandments era kulikuwa na utaratibu wake. Post that era utaratibu ukawa tofauti ambao nao ulikuja kusukwa sawasawa na Injili. Mara anakuja mwingine in the recent past anaturudisha pre-era!
 
Lete andiko kutoka kwenye biblia linalo sema ni kosa kumuoa mtoto wa shangazi yako mama ndogo baba mdogo
Kwani hiyo inahitaji andiko. Utashi wa kibinadamu tu " common sense" unatosha kukumbusha kwamba hao ni ndugu zako wa damu, huwezi kuwa na mahusiano ya kimapenzi.
 
... in the family tree, ukoo unaanzia wapi? I mean, kizazi cha ngapi?
Mtoto wa shangazi baba yake ni ukoo tofauti, hapo ni kwamba shangazi pia anakuwa mama mkwe......hapo utaona ushangazi utabaki kuwa na nguvu zaidi hivyo mkioana binamu kushtakiana kunakuwa nje nje kila mtakapozinguana.......hapo mama mkwe bado atatumia rungu la ushangazi kukupa vitasa😂​
 
Binadamu wote ni ndugu,yoyote utakaye muoa ni ndugu yako kiukoo.Kila unayemuona ni uzao wa Adam,ndio maana tukaitwa Bin Adam(watoto wa Adam).
Kama sote ndugu Kachumbie msomali sasa au muhindi au mwaarab uone watakavyokukimbiza na mapanga na masime na mafyekeo 😀👍🏾
 
Uchoyo wa wahindi, waarabu na wenyewe asili hiyo kusambaza utajiri nje ya familia.
Wale ni wabaguzi wa rangi tu sio uchoyo wa mali... kwani ni lazima ukioa mwanamke wa kiarab au kihindi au mwenye asili ya kiarab au kihindi uwe kwenye part ya mali na biashara zao?!
 
Mwarabu alileta mila za hovyo sana Bongo. Wafuasi wa dini kwao ni kawaida jamaa kumuoa mtoto wa shangazi, mjomba, baba mkubwa, baba mdogo, na watoto wa mama mkubwa na mama mdogo. Hii ni kinyume kabisa na mila za asili kabla ya ujio wa wavurugaji hawa wa mila kutoka Uarabuni, ambao walikuja kuuza watu kama kuku huku wakilazimisha watu kufuata dini yao, ambayo kimsingi ni mila zao. Kutokana na hilo, unakuta magonjwa ya kurithi ya kigenetiki yanakuwa mengi miongoni mwao.
soma Bibilia wewe
 
Hili
HUO NI UONGO NA UPOTOSHAJI!
Ndoa za kiislam hufungwa kwa misingi ya kiislam na ipo sura mahsusi kwenye Quran (Sura An - Nisaa) inayoelezea taratibu zote hizo nk.
Labda nikumegee kidogo Aya ya 23

(Sura An- Nisaa - 23)
"Mmeharimishiwa kuoa mama zenu, na binti zenu, na dada zenu, na shangazi zenu, na
khaalati zenu, na binti wa ndugu mume, na binti wa dada, na mama zenu walio
kunyonyesheni, na dada zenu kwa kunyonya, na mama wa wake zenu, na watoto wenu
wa kambo walio katika ulinzi wenu walio zaliwa na wake zenu mlio waingilia.
(Pia mmeharimishwa) wake wa watoto wenu walio toka katika migongo yenu. Na kuwaoa pamoja dada wawili isipo kuwa yale yaliyo kwisha pita. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe Mwenye
kurehemu"


NAOMBA NA WEWE UTUWEKEE KIFUNGU CHOCHOTE KWENYE BIBLIA KINACHO ONESHA NANI HURUHUSIWI KUOA
HIi sio swala la dini bali mila na desturi
 
Mwarabu alileta mila za hovyo sana Bongo. Wafuasi wa dini kwao ni kawaida jamaa kumuoa mtoto wa shangazi, mjomba, baba mkubwa, baba mdogo, na watoto wa mama mkubwa na mama mdogo. Hii ni kinyume kabisa na mila za asili kabla ya ujio wa wavurugaji hawa wa mila kutoka Uarabuni, ambao walikuja kuuza watu kama kuku huku wakilazimisha watu kufuata dini yao, ambayo kimsingi ni mila zao. Kutokana na hilo, unakuta magonjwa ya kurithi ya kigenetiki yanakuwa mengi miongoni mwao.
Bro hata wamarekani baadhi hasa Mormons na wale walioshika ukristo hasa wanaoana cousin. State kama Alabama ni maarufu Kwa hivyo. Hata uchina na sehemu ya ulaya wanaoana ndugu mpaka Israel.
 
Mwarabu alileta mila za hovyo sana Bongo. Wafuasi wa dini kwao ni kawaida jamaa kumuoa mtoto wa shangazi, mjomba, baba mkubwa, baba mdogo, na watoto wa mama mkubwa na mama mdogo. Hii ni kinyume kabisa na mila za asili kabla ya ujio wa wavurugaji hawa wa mila kutoka Uarabuni, ambao walikuja kuuza watu kama kuku huku wakilazimisha watu kufuata dini yao, ambayo kimsingi ni mila zao. Kutokana na hilo, unakuta magonjwa ya kurithi ya kigenetiki yanakuwa mengi miongoni mwao.
Kumbe mwalabu ndio alikuwa anauza watu?

Na mnunuzi alikuwa nani mzungu?
 
Mila za kiafrika unazijua nenda hadi Leo wapogoro wanaoana ndugu,mtu anazaa hadi na mama yake mzazi, Kaskazini baba anazaa na binti yake unataka kusema ushenzi gani.
Hakuna dini inayoruhusu ndugu wa damu kuoana.
Ukoo mmoja wanaweza lakini lazima wanaangalia undugu wa mbali
Sisi ni wapogoro huu ni uongo mkubwa

Sent from my Infinix X6517 using JamiiForums mobile app
 
Binamu wanaoana.....

Watoto wa baba mkubwa na mdogo wanaoana. Zanzibar limetamalaki sana hili.

Yote hayo mimi yamenishinda; yaani nikamuoe mtoto wa baba mkubwa/mdogo? Damu yangu? Nimeshindwa, nashukuru imani haijasema kwamba hilo ni lazima. Ningefukuzwa.

Hivi hekima haswa iliyojificha nyuma ya hili ni nini? Au nini historia ya hili?

Karibuni mnielimishe.
ndugu wakiona wanazaa watoto dhaifu ndo manake wazanzbar wanakula urojo badala ya ugali,,na hata kuongea kwao wanaongea tartiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiibu!!!!
 
Back
Top Bottom