mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 31,415
- 38,761
,[emoji23][emoji23][emoji23]wenyewe ukiwauliza Wala hawana shida na Hilo,wanaamini alikuwa Bora sana kwa Allah[emoji23][emoji23].Inaonekana Mohammed alikua anapewa special favors na Allah kama his favourite child mpaka bi Aisha aliwahi kulalamika . Mohammed could get away with anything kibaya na verse itashuka kumpa uhalali[emoji3][emoji16].
Wakati huku kwenye bible Mungu angemtoa nishai kipenzi chake live live,kama Mussa alivyoikosa nchi ya ahadi kisa kumkasirikia Mungu.