- Thread starter
- #101
Yeah, wapo ninaowajua......kama hao niliowataja hapoMliochangia nao damu unawajua?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeah, wapo ninaowajua......kama hao niliowataja hapoMliochangia nao damu unawajua?
Ahsante sana!Mkuu naona umekuja na Kuleta mada ya DINI ambayo mleta mada hakuleta na hakusema hivyo...
Kuhusu Zanzibar ni kweli wanaonana mtoto wa Ami na ami yake..Ambaye ni sawa na kusema mtoto wa baba mkubwa au bamdogo ni kitu cha kawaida katika uarabu na uzanzibar tumeishi huko tunaona na tunajua...
Usichanganye uarabu na uislamu au uzanzibar na uislma ni vitu tifauti
Kumbe ee?!!!Umesahau hata kwenye biblia nako imeandikwa Yakobo alioa mtoto wa mjomba yake?
Ahsante mkuuDogo acha ubishi wa kipumbavu hapa mikindani ni vitu vya kawaida sana kuoa binamu na mtoto wa baba yako mdogo au mkubwa tena ni masheikh wakubwa wanaofundisha hayo
🤣🤣🤣🤣Uwingi wa mazezeta
Mambo ya Walawi 18HUO NI UONGO NA UPOTOSHAJI!
Ndoa za kiislam hufungwa kwa misingi ya kiislam na ipo sura mahsusi kwenye Quran (Sura An - Nisaa) inayoelezea taratibu zote hizo nk.
Labda nikumegee kidogo Aya ya 23
(Sura An- Nisaa - 23)
"Mmeharimishiwa kuoa mama zenu, na binti zenu, na dada zenu, na shangazi zenu, na
khaalati zenu, na binti wa ndugu mume, na binti wa dada, na mama zenu walio
kunyonyesheni, na dada zenu kwa kunyonya, na mama wa wake zenu, na watoto wenu
wa kambo walio katika ulinzi wenu walio zaliwa na wake zenu mlio waingilia.
(Pia mmeharimishwa) wake wa watoto wenu walio toka katika migongo yenu. Na kuwaoa pamoja dada wawili isipo kuwa yale yaliyo kwisha pita. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe Mwenye
kurehemu"
NAOMBA NA WEWE UTUWEKEE KIFUNGU CHOCHOTE KWENYE BIBLIA KINACHO ONESHA NANI HURUHUSIWI KUOA
Sijabisha na wala sina tamaa ya kuzipinga kwani siwezi ila natamani kujua mantiki iliyopo as dunia ina watu weeengi sana tofautitofauti na mwenyezi Mungu alituumba tofautitofauti ili tufahamiane.Tatizo ni kwamba umeaminishwa kuwa damu yakowatu ambao sio damu yako.
Maana yake hujui nini maana ya damu yako.
Usijifanye hekma wala nini, ila ukae ukijua kuwa kuoana kuna kumuoa aliyekaribu kinasaba au kumuoa aliyembali kinasaba.
Sasa katika waliokaribu kinasaba ndio hao, utake ndio hivyo usitake ni hivyo, waite ndugu zako ila unaweza kuwaoa.
Full stop.
Kabisa mkuuUkweli ni kwamba hata pamoja na dini ya kiislam kuruhusu kuoana binamu,lakini jambo hili hutokea mara chache sana tena kwa dharula,labda mmetiana mimba au mmefumwa mnaibana kinyemera.
Ni jambo ambalo kimaadili halivutii.
Ahsante mkuuHaya ni ma Mila ya wahindi na waarabu eti ni wivu Mali isitoke nje ya familia ndio maana kwenye familia za wahindi na waarabu ndani Wana mazezeta au wenye mtindio wa UBONGO. Sasa sisi wa kuletewa dini tumebeba Kila kitu hata hayo mamila ya hovyo ila kimsingi makabila halisi ya kiafrika hilo halikubaliki.na ni laana
Binamu wanaoana.....
Watoto wa baba mkubwa na mdogo wanaoana. Zanzibar limetamalaki sana hili.
Yote hayo mimi yamenishinda; yaani nikamuoe mtoto wa baba mkubwa/mdogo? Damu yangu? Nimeshindwa, nashukuru imani haijasema kwamba hilo ni lazima. Ningefukuzwa.
Hivi hekima haswa iliyojificha nyuma ya hili ni nini? Au nini historia ya hili?
Karibuni mnielimishe.
Yaani unamkula mtoto wa shangazi yako? Ni sawa na kumla shangazi yako......yaani kumfira baba mzazi. Duh wazenji mna laana.Uongo dhambi mapenzi ya ndugu ni matamu.
Yaani mtu mnajuana toka utoto aisee afu mnakuja kuunganisha vikojoleo.
Nishawahi na mtoto wa shangazi aloo ule utamu ni pro max maana ni damu moja. Kuja kuachana nae ni nilitumia nguvu nyingi balaa.
Mtoto ana papuchi tamu yule .
Shida hapo ni kuzaa watoto mazezeta .
NB: natoa angalizo usije jariby kudate na ndugu kuchomoka ni ngumu maana ule utamu wa sex sio wa nchiii hii.
Kumbe ee?!!! Ahsante sana mkuu Mshana!Kulinda amali na tunu za ukoo
Magonjwa
Ngekewa
Bahati
Mali
Ukwasi
Sent using Jamii Forums mobile app
Hehehehehee! Huu utetezi wako mkuu dah!!Binadamu wote ni ndugu,yoyote utakaye muoa ni ndugu yako kiukoo.Kila unayemuona ni uzao wa Adam,ndio maana tukaitwa Bin Adam(watoto wa Adam).
Ngoja tusubiri wajuziWatoto wa Adam walioona ndugu pia , hii imekaaje ?
Kumbee!Uchoyo wa wahindi, waarabu na wenyewe asili hiyo kusambaza utajiri nje ya familia.
Kwa hakika atoke hhkoAcha kukaa kwenye vijiwe vya pombe za kienyeji na kudanganywa na kudanganyika.Unadanganywa kiurahisi ukadanganyika.
Binafsi nimeshindwa kabisa, siwezi kamweHivi hamuoni kinyaa, unaingizaje hiyo kitu kwa damu yako mwenyewe?! Hushindwi kubaka mwanao wewe
Wewe unasomaje,18:12 inasema utupu wa umbu la baba yako usifunue.Hiyo walawi haijakataza pia watoto wa baba mkubwa na mdogo kuoana.