Hivi ni nini hekima iliyopo nyuma ya ruhusa ya kuoana ndugu?

Hivi ni nini hekima iliyopo nyuma ya ruhusa ya kuoana ndugu?

Mkuu naona umekuja na Kuleta mada ya DINI ambayo mleta mada hakuleta na hakusema hivyo...
Kuhusu Zanzibar ni kweli wanaonana mtoto wa Ami na ami yake..Ambaye ni sawa na kusema mtoto wa baba mkubwa au bamdogo ni kitu cha kawaida katika uarabu na uzanzibar tumeishi huko tunaona na tunajua...

Usichanganye uarabu na uislamu au uzanzibar na uislma ni vitu tifauti
Ahsante sana!
 
HUO NI UONGO NA UPOTOSHAJI!
Ndoa za kiislam hufungwa kwa misingi ya kiislam na ipo sura mahsusi kwenye Quran (Sura An - Nisaa) inayoelezea taratibu zote hizo nk.
Labda nikumegee kidogo Aya ya 23

(Sura An- Nisaa - 23)
"Mmeharimishiwa kuoa mama zenu, na binti zenu, na dada zenu, na shangazi zenu, na
khaalati zenu, na binti wa ndugu mume, na binti wa dada, na mama zenu walio
kunyonyesheni, na dada zenu kwa kunyonya, na mama wa wake zenu, na watoto wenu
wa kambo walio katika ulinzi wenu walio zaliwa na wake zenu mlio waingilia.
(Pia mmeharimishwa) wake wa watoto wenu walio toka katika migongo yenu. Na kuwaoa pamoja dada wawili isipo kuwa yale yaliyo kwisha pita. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe Mwenye
kurehemu"


NAOMBA NA WEWE UTUWEKEE KIFUNGU CHOCHOTE KWENYE BIBLIA KINACHO ONESHA NANI HURUHUSIWI KUOA
Mambo ya Walawi 18
1 Bwana akanena na Musa, na kumwambia,


2 Nena wewe na wana wa Israeli, uwaambie, Mimi ndimi Bwana, Mungu wenu.


3 Nanyi msifanye matendo kama yale ya nchi ya Misri mliyokaa; wala msifanye matendo kama yale ya nchi ya Kanaani, nitakayowapeleka; wala msiende katika amri zao hao.


4 Mtazifanya hukumu zangu, nanyi mtazishika amri zangu, ili mwenende katika hizo; mimi ndimi Bwana, Mungu wenu.


5 Kwa ajili ya hayo mtazishika amri zangu na hukumu zangu; ambazo mtu akizitumia ataishi kwa hizo; mimi ndimi Bwana.


6 Mtu ye yote aliye wa kwenu asimkaribie mwenziwe aliye wa jamaa yake ya karibu ili kumfunua utupu; mimi ndimi Bwana.


7 Utupu wa baba yako, wala utupu wa mama yako, usifunue, maana ndiye mama yako; usifunue utupu wake.


8 Utupu wa mke wa baba yako, usifunue; maana, ni utupu wa baba yako.


9 Utupu wa umbu lako, binti ya baba yako, au binti ya mama yako, kwamba alizaliwa nyumbani mwenu au kwamba alizaliwa kwengine, utupu wa hao usifunue.


10 Utupu wa binti ya mwanao mume, au wa binti ya binti yako, utupu wao hao usifunue; kwa kuwa ndio utupu wako mwenyewe.


11 Utupu wa binti ya mkewe baba yako, aliyezaliwa na baba yako, yeye ni umbu lako, usifunue utupu wake.


12 Usifunue utupu wa umbu lake baba yako; maana, yeye ni jamaa aliye karibu.


13 Usifunue utupu wa umbu la mama yako; maana, yeye ni jamaa ya mama yako ya karibu.


14 Usifunue utupu wa ndugu ya baba yako, usimkaribie mkewe huyo; yeye ni shangazi lako.


15 Usifunue utupu wa mkweo mwanamke; yeye ni mke wa mwanao; usifunue utupu wake huyo.


16 Usifunue utupu wa mke wa nduguyo; maana, ni utupu wa nduguyo.


17 Usifunue utupu wa mwanamke na binti yake; usimtwae binti ya mwanawe mume, au binti ya binti yake, ili kufunua utupu wake; hao ni jamaa ya karibu; ni uovu mkuu.


18 Wala usitwae mwanamke pamoja na nduguye, awe mtesi wake, na kufunua utupu wake, huyo wa pili atakapokuwa yu hai.


19 Nawe usimkaribie mwanamke kufunua utupu wake wakati wa kutengwa kwa ajili ya unajisi wake.


20 Usilale na mke wa mwenzio, ukajitia unajisi naye.


21 Nawe usitoe kizazi chako cho chote na kuwapisha kwa Moleki, wala usilinajisi jina la Mungu wako; mimi ndimi Bwana.


22 Usilale na mwanamume mfano wa kulala na mwanamke; ni machukizo.


23 Wala usilale na mnyama ye yote, ili kujitia unajisi kwake; wala mwanamke asisimame mbele ya mnyama ili kulala naye; ni uchafuko.


24 Msijitie unajisi katika mambo hayo hata mojawapo; kwa maana hizo taifa nitakazozitoa mbele zenu zimekuwa najisi kwa mambo hayo yote;


25 na hiyo nchi imekuwa najisi; kwa ajili ya hayo naipatiliza uovu wake juu yake, na hiyo nchi yatapika wenyeji wake na kuwatoa.


26 Kwa hiyo mtazishika amri zangu na hukumu zangu, wala msifanye machukizo hayo mojawapo; yeye aliye mzalia, wala mgeni aketiye kati yenu;


27 (kwa kuwa hao watu wa nchi wameyafanya machukizo haya yote, hao waliotangulia mbele zenu, na hiyo nchi imekuwa najisi😉


28 ili kwamba hiyo nchi isiwatapike na ninyi pia, hapo mtakapoitia unajisi, kama ilivyoitapika hiyo taifa iliyotangulia mbele yenu.


29 Kwani mtu awaye yote atakayefanya machukizo hayo mojawapo, nafsi hizo zitakazoyafanya zitakatiliwa mbali na watu wao.



30 Kwa ajili ya hayo yashikeni mausia yangu, ili kwamba msifanye kabisa desturi hizi zichukizazo mojawapo, zilizotangulia kufanywa mbele zenu, wala msijitie unajisi katika mambo hayo; mimi ndimi Bwana, Mungu wenu.





Sent from my moto g 5G (2022) using JamiiForums mobile app
 
Tatizo ni kwamba umeaminishwa kuwa damu yakowatu ambao sio damu yako.

Maana yake hujui nini maana ya damu yako.

Usijifanye hekma wala nini, ila ukae ukijua kuwa kuoana kuna kumuoa aliyekaribu kinasaba au kumuoa aliyembali kinasaba.

Sasa katika waliokaribu kinasaba ndio hao, utake ndio hivyo usitake ni hivyo, waite ndugu zako ila unaweza kuwaoa.

Full stop.
Sijabisha na wala sina tamaa ya kuzipinga kwani siwezi ila natamani kujua mantiki iliyopo as dunia ina watu weeengi sana tofautitofauti na mwenyezi Mungu alituumba tofautitofauti ili tufahamiane.
 
Ukweli ni kwamba hata pamoja na dini ya kiislam kuruhusu kuoana binamu,lakini jambo hili hutokea mara chache sana tena kwa dharula,labda mmetiana mimba au mmefumwa mnaibana kinyemera.

Ni jambo ambalo kimaadili halivutii.
Kabisa mkuu
 
Haya ni ma Mila ya wahindi na waarabu eti ni wivu Mali isitoke nje ya familia ndio maana kwenye familia za wahindi na waarabu ndani Wana mazezeta au wenye mtindio wa UBONGO. Sasa sisi wa kuletewa dini tumebeba Kila kitu hata hayo mamila ya hovyo ila kimsingi makabila halisi ya kiafrika hilo halikubaliki.na ni laana
Ahsante mkuu
 
Binamu wanaoana.....

Watoto wa baba mkubwa na mdogo wanaoana. Zanzibar limetamalaki sana hili.

Yote hayo mimi yamenishinda; yaani nikamuoe mtoto wa baba mkubwa/mdogo? Damu yangu? Nimeshindwa, nashukuru imani haijasema kwamba hilo ni lazima. Ningefukuzwa.

Hivi hekima haswa iliyojificha nyuma ya hili ni nini? Au nini historia ya hili?

Karibuni mnielimishe.

Ndugu akikaa kwenye mwelekeo we mtafune....japo kuachana nae ni ngumu kuliko kumkataa bwana yesu aliye hai.......kuna koo moja ya wachaga iko kibosho kaka na dada kuwa kwenye mahusiano ni kawaida....
 
Uongo dhambi mapenzi ya ndugu ni matamu.

Yaani mtu mnajuana toka utoto aisee afu mnakuja kuunganisha vikojoleo.

Nishawahi na mtoto wa shangazi aloo ule utamu ni pro max maana ni damu moja. Kuja kuachana nae ni nilitumia nguvu nyingi balaa.

Mtoto ana papuchi tamu yule .

Shida hapo ni kuzaa watoto mazezeta .

NB: natoa angalizo usije jariby kudate na ndugu kuchomoka ni ngumu maana ule utamu wa sex sio wa nchiii hii.
Yaani unamkula mtoto wa shangazi yako? Ni sawa na kumla shangazi yako......yaani kumfira baba mzazi. Duh wazenji mna laana.
 
Ntakupa hekima moja ni kutokuapata Hereditary illnesses
Mfano kuna kabila moja wanaoana sana wao kwa wao
wengi wao wana Down syndrome
 
Saa 8 hii..
Watu wanataka sababu 🤓🤓🤓🙌🙌🙌🙌🙌🙌
 
Hiyo walawi haijakataza pia watoto wa baba mkubwa na mdogo kuoana.
Wewe unasomaje,18:12 inasema utupu wa umbu la baba yako usifunue.

Unajua maana yake,hapo shangazi zako,baba zako wadogo na wakubwa.

Na umesema mbali ikakataza mpaka mke wa rafiki yako.
 
Back
Top Bottom