BARDIZBAH
JF-Expert Member
- Jan 11, 2017
- 5,259
- 10,078
Wamejawa na chuki mpaka wanashindwa kuficha ujinga wao.Kwa sababu huwa wanapenda kurusha mawe...wakati wana nyumba ya vioo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wamejawa na chuki mpaka wanashindwa kuficha ujinga wao.Kwa sababu huwa wanapenda kurusha mawe...wakati wana nyumba ya vioo
Mzee niwie radhi . Yule mtoto hakuwa mchafu kwanza nilibikiri mwnywe akiwa msafi kbsa.Hivi hamuoni kinyaa, unaingizaje hiyo kitu kwa damu yako mwenyewe?! Hushindwi kubaka mwanao wewe
Haya yanawahusu babu zako pia ila kwa ule ukafiri wako hauoni hili. Tofauti ni kwamba Mtume (Swala na Salamu ziwe juu yake) alikuja na muongozo bora kabisa na babu zako hawakuwa nao.Huyu mtu ingekuwa ameibuka Karne hii angekuwa jela.
❗ Ndoa za watoto wadogo alioa katoto ambalo kwa bongo Ukifanya hivyo ni ubakaji miaka 30 jela
❗ Hizi ndoa za maharimu ( close related blood) nayo ingekuwa jela
❗ Polygamy ( kosa la kutoa wake wengi nayo ni jela)
❗ Kugandamiza haki za wanawake, kuwafunika manguo meusi gubigubi, kuwakataza kushiriki kwenye siasa na maamuzi nayo ilikuwa jela
😂😂😂Vijana kama nyie wa Hovyo mna mchango mdogo sana katika maendeleo ya Taifa letu🤣
Mkuu kwanza unataarifa Potofu kuhusu waarabu Waarabu wana 80% ndo waislamu so ngoja nijikite ....waarabu ni waislam 99.99999%. Na Dini ya kiislamu iko very much internalised...... huwezi kutenganisha uislamu na uarabu!
Allah said in the Quran.
I have perfected your religion for you, and have completed My blessing upon you, and chosen Islam as Deen (religion and a way of life) for you. 5:3
Islam is described in this verse as ‘deen’ which means ‘a complete way of life’, and not just a religion. No part of life is outside the realm of Islam, Islam covers all the aspect of life from cradle to grave.
Nadhani hujamuelewa mwenzio ni kama alikuwa anaonesha kuwa binti wa ami ama binti wa mjomba au shangazi haijakatazwa kumuoa katika Uislam.Mkuu naona umekuja na Kuleta mada ya DINI ambayo mleta mada hakuleta na hakusema hivyo...
Kuhusu Zanzibar ni kweli wanaonana mtoto wa Ami na ami yake..Ambaye ni sawa na kusema mtoto wa baba mkubwa au bamdogo ni kitu cha kawaida katika uarabu na uzanzibar tumeishi huko tunaona na tunajua...
Usichanganye uarabu na uislamu au uzanzibar na uislma ni vitu tifauti
Mkuu Quran iko wazi kabisaNadhani hujamuelewa mwenzio ni kama alikuwa anaonesha kuwa binti wa ami ama binti wa mjomba au shangazi haijakatazwa kumuoa katika Uislam.
Shari'ah (Qur'an na Sunnah) ishabainisha ni kina nani ambao ni haramu kuwaoa. Au ulikuwa unapinga nini? Sijakuelewa.
🗑️Haya yanawahusu babu zako pia ila kwa ule ukafiri wako hauoni hili. Tofauti ni kwamba Mtume (Swala na Salamu ziwe juu yake) alikuja na muongozo bora kabisa na babu zako hawakuwa nao.
Namshukuru Allah kwa neema ya Uislam na Sunnah.
Tunajivunia maadili yetu wala hatuwezi kutiwa unyonge na watu ambao hawawezi hata kujibu swali rahisi "kuna jinsia ngapi". Watu washenzi waovu makhabithi wenye matatizo ya akili ambao wanabadili jinsia zao hawawezi kutuwekea standards za maadili kisha wakatulazimishia na kutufanya tuone maadili yetu ambayo ni sahihi kuwa sio chochote sio lolote. Najua wewe umeathiriwa na hao hivyo chunga usije ukaishia kusema babu yako angefungwa jela kwa sababu hakutaka hata kuusikia ushoga kwa sababu sasa hivi homophobia ni kosa kwa mujibu wa bwana zako walioku brainwash.
Labda wao wanafurahiautokana na hilo, unakuta magonjwa ya kurithi ya kigenetiki yanakuwa mengi miongoni mwao.
🙄Mila za kiafrika unazijua nenda hadi Leo wapogoro wanaoana ndugu,mtu anazaa hadi na mama yake mzazi, Kaskazini baba anazaa na binti yake unataka kusema ushenzi gani.
Wapi imeharamishwa kumuoa binti wa ami?Mkuu Quran iko wazi kabisa
(Sura An- Nisaa - 23)
"Mmeharimishiwa kuoa mama zenu, na binti zenu, na dada zenu, na shangazi zenu, na
khaalati zenu, na binti wa ndugu mume, na binti wa dada, na mama zenu walio
kunyonyesheni, na dada zenu kwa kunyonya, na mama wa wake zenu, na watoto wenu
wa kambo walio katika ulinzi wenu walio zaliwa na wake zenu mlio waingilia.
(Pia mmeharimishwa) wake wa watoto wenu walio toka katika migongo yenu. Na kuwaoa pamoja dada wawili isipo kuwa yale yaliyo kwisha pita. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe Mwenye
kurehemu"
mkuu kumuoa binyti wa ami ni haramu na haijizi hata kidogo kwa mujibu wa Quran ila yeye ananiambia kuhusu mila za waarabu...
nikamjibu Uarabu sio uislamu kwa sababu quran imekataza kwahiyo anayefanya anafanya kwa His/her own risk...
uislam sio mila za Uarabuni japl imeandikwa kwa lugha ya kiarabu
kwasababu hulipiii!Afu mkuu unanikosea ujue.
Mahusiano ya kimapenzi baina ya ndugu yanadidimizaje uchumi wa nchi.
Haya nyie mahusiano yenu yasiyo ya ndugu mna mchango upi katika taifa. Mmeleta hata katiba mpya.
Nani kakuambia naamini biblia? Uliza mababu zako kama wapo kabla ya ujio wa wakoloni huo upumbavu ulikuwepo kwenye ukoo wenu? Maana Sasa Kuna mitanzania imekuwaitumwa ya mila, tamaduni, Mavazi, vyakula na lugha za waarabu na wazungu kwa visingizio vya dini ambayo kimsingi ni Mila za hao mabwenyenye
Maashaa Allaah.Wapi imeharamishwa kumuoa binti wa ami?
Yes imeharamishwaWapi imeharamishwa kumuoa binti wa ami?
Wapi? Hivi unajua kuwa haifai kuizungumza Dini ya Allah bila ya Elimu?Yes imeharamishwa
Yeah najua vizuri sana We uliona wapi imehalalishwa...Wapi? Hivi unajua kuwa haifai kuizungumza Dini ya Allah bila ya Elimu?
Nishajua tatizo lako ni nini. Ndugu, tuisome Dini yetu tuache utani.Yeah najua vizuri sana We uliona wapi imehalalishwa...
Quran ikiacha kutaja kitu haikihalalishi kufanywa..
HAKI Wallah hata kutumia Akili tu Huoni kuwa Si Adabu kufanya Hivyo...
Quran haijasema kitu kuhusu Bangi Basi ndo imehalalisha kuvuta La hasha M/mungu pia alikupa akili ya kujua
Watoto wa baba mkubwa na mdogo wanaoana. Zanzibar limetamalaki sana hili.
Ingia Google andika WALAWI :18HUO NI UONGO NA UPOTOSHAJI!
Ndoa za kiislam hufungwa kwa misingi ya kiislam na ipo sura mahsusi kwenye Quran (Sura An - Nisaa) inayoelezea taratibu zote hizo nk.
Labda nikumegee kidogo Aya ya 23
(Sura An- Nisaa - 23)
"Mmeharimishiwa kuoa mama zenu, na binti zenu, na dada zenu, na shangazi zenu, na
khaalati zenu, na binti wa ndugu mume, na binti wa dada, na mama zenu walio
kunyonyesheni, na dada zenu kwa kunyonya, na mama wa wake zenu, na watoto wenu
wa kambo walio katika ulinzi wenu walio zaliwa na wake zenu mlio waingilia.
(Pia mmeharimishwa) wake wa watoto wenu walio toka katika migongo yenu. Na kuwaoa pamoja dada wawili isipo kuwa yale yaliyo kwisha pita. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe Mwenye
kurehemu"
NAOMBA NA WEWE UNIWEKEE KIFUNGU CHOCHOTE KWENYE BIBLIA KINACHO ONESHA NANI HURUHUSIWI KUOA