Hivi ni nini hekima iliyopo nyuma ya ruhusa ya kuoana ndugu?

Hivi ni nini hekima iliyopo nyuma ya ruhusa ya kuoana ndugu?

Nishajua tatizo lako ni nini. Ndugu, tuisome Dini yetu tuache utani.

Ngoja nikuache. Ila kabla sijakuacha, ngoja nikuache na hii; unamjua 'Ally Ibn Abi Talib (Radhi za Allah ziwe juu yake)? Mtume (Swala na Salamu ziwe juu yake) alimuozesha binti yake Fatima (Radhi za Allah ziwe juu yake) kwa 'Ally. Unajua 'Ally Ibn Abi Talib Ibn 'Abdil Muttalib ni nani kwa Mtume Muhammad Ibn 'Abdillah Ibn Abdil Muttalib? Kaa chini uisome Dini yako.

Kazakh destroyer
Kitu unachokosea Al akhy ni kujilinganisha na Mtume na hao ahulut bayt na fadhila na Kheri walizopewa wao...
Nimeuliza kitu kuwa wapi kumehalalishwa hujanijibu..

Dini ya Uislamu ni pana na Kubwa Ilimu ni kubwa henda unaweza nipa Dalili yoyote ya uhalali wa ndoa hiyo nitaridhia

Al akhy naomba kama ikimpendeza Allah na ikikupendeza na wewe naomba upitia Hadithi no 23 juzzuu ya pili ya Sahihi abu dawud "kitabu cha ndoa"
Ntanukuu kwa kuitafsiri kiswahili ...
"Abu Hurairah amesimulia kwamba Mtume wa Mwenyezi Mungu (S.A.W) amesema, 'Ni marufuku kuoa mwanamke yeyote ambaye ni mtoto wa damu moja na wewe.'"

Wewe na Ami ako ni ndugu wa damu so ni haramu

kujilingNisha na ahlul bayt sio saawa kw Allah Amesema kuwa

"Mwenyezi Mungu ameisamehe nyumba ya Mtume, na wale wanaoingia kwake kwa amani, na wale wanaotoka kwake kwa kumcha Mwenyezi Mungu. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe, Mwenye kurehemu." (Qur'an 33:56)

kama unakumbuka sheikh ata iliposhuka aya ya kuoa wake wanne mtume alimuuliza Allah kuhusu katazo hilo ndo ikashuka aya hii..

Al-Ahzab". Aya hizi zinasema:

"Na tumekuhalalisha wake zako ambao umewalipa mahari yao, na wajakazi ambao Mwenyezi Mungu amekupa kwa ujira wako, na wanawake waliopewa na Mtume,
ikiwa amewachagua kwa ajili yake mwenyewe, kutoka kwa wanawake wa mfano wako, bila ya kuwaoa kwa mali. Basi mkiwapa mahari yao bila ya hila, na kuwaoa bila ya kuwalazimisha, basi hakuna dhambi kwako kuwapa zawadi wanazopenda. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye kujua, Mwenye hikima." (Qur'an 33:50-51)


so mkuu nyumba ya mtume walipewa Rehema kuliko sisi...

na ndo maana kwa mfano ulotoa Ally (R.A) na Fatuma (R.An) walikuwa ni mtu na niece ake yaani ni mtoto wa kaka yake lakini Kwakuw fadhila za Allah ziko na mtume na mtume afanyi kitu ila kwa wahyi..
alifanya hivyo lakini kw wewe..
utapata katazo la hadithi hapo juu na Surah Annissaa aya ya 23

 
Wanaoruhusiwa kuoana ni binamu mkuu, mfano kuoa mtoto wa shangazi......huyo anakuwa si ndugu yako anao ukoo wake mwingine. Ila kitaalamu aina hii ya mahusiano haishauriwi ili kukwepa matatizo ya kurithi kama sickle cell nk.
 
Uongo dhambi mapenzi ya ndugu ni matamu.

Yaani mtu mnajuana toka utoto aisee afu mnakuja kuunganisha vikojoleo.

Nishawahi na mtoto wa shangazi aloo ule utamu ni pro max maana ni damu moja. Kuja kuachana nae ni nilitumia nguvu nyingi balaa.

Mtoto ana papuchi tamu yule .

Shida hapo ni kuzaa watoto mazezeta .

NB: natoa angalizo usije jariby kudate na ndugu kuchomoka ni ngumu maana ule utamu wa sex sio wa nchiii hii.
Ni kweli kabisa
 
Kitu unachokosea Al akhy ni kujilinganisha na Mtume na hao ahulut bayt na fadhila na Kheri walizopewa wao...
Nimeuliza kitu kuwa wapi kumehalalishwa hujanijibu..
Nilikuwa nimeshaacha kukujibu. Ila narudi kwa mara ya mwisho kukupa nasaha kuwa mche Mola wako na usizungumze katika Dini kwa matamanio. Usizungumze katika Dini ya Allah bila ya Elimu.
Sahihi abu dawud
???
naomba upitia Hadithi no 23 juzzuu ya pili ya Sahihi abu dawud "kitabu cha ndoa"
Ntanukuu kwa kuitafsiri kiswahili ...
"Abu Hurairah amesimulia kwamba Mtume wa Mwenyezi Mungu (S.A.W) amesema, 'Ni marufuku kuoa mwanamke yeyote ambaye ni mtoto wa damu moja na wewe.'"
Sijui hata umeandika nini hapa daaaah. Mche Mola wako haya maneno umeyatoa wapi? Hiyo Hadith ipo wapi katika Sunan Abi Dawud? Naomba tu unitajie Hadith hiyo uliyoinukuu ipo wapi katika Sunan Abi Dawud. Sijaiona popote mimi binafsi.

Narudia tena usizungumze Dini bila ya Elimu. Halafu pia ni hatari mno kumsingizia uongo Mtume (Swala na Salamu ziwe juu yake).

Sahih al-Bukhari 106
Narrated `Ali:

The Prophet (ﷺ) said, "Do not tell a lie against me for whoever tells a lie against me (intentionally) then he will surely enter the Hell-fire."

حَدَّثَنَا عَلِيُّ بْنُ الْجَعْدِ، قَالَ أَخْبَرَنَا شُعْبَةُ، قَالَ أَخْبَرَنِي مَنْصُورٌ، قَالَ سَمِعْتُ رِبْعِيَّ بْنَ حِرَاشٍ، يَقُولُ سَمِعْتُ عَلِيًّا، يَقُولُ قَالَ النَّبِيُّ صلى الله عليه وسلم ‏ "‏ لاَ تَكْذِبُوا عَلَىَّ، فَإِنَّهُ مَنْ كَذَبَ عَلَىَّ فَلْيَلِجِ النَّارَ ‏"‏‏.‏


kujilingNisha na ahlul bayt sio saawa kw Allah Amesema kuwa

"Mwenyezi Mungu ameisamehe nyumba ya Mtume, na wale wanaoingia kwake kwa amani, na wale wanaotoka kwake kwa kumcha Mwenyezi Mungu. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe, Mwenye kurehemu." (Qur'an 33:56)

Qur'an 33 : 56

1696252429572.png

56. Hakika Mwenyezi Mungu na Malaika wake wanamsalia Nabii. Enyi mlio amini! Msalieni na mumsalimu kwa salamu.
Allah sends His Salat (Graces, Honours, Blessings, Mercy, etc.) on the Prophet (Muhammad SAW) and also His angels too (ask Allah to bless and forgive him). O you who believe! Send your Salat on (ask Allah to bless) him (Muhammad SAW), and (you should) greet (salute) him with the Islamic way of greeting (salutation i.e. AsSalamu 'Alaikum).



Muogope Mola wako. Ni jambo baya mno unalolifanya.

kama unakumbuka sheikh ata iliposhuka aya ya kuoa wake wanne mtume alimuuliza Allah kuhusu katazo hilo ndo ikashuka aya hii..

Al-Ahzab". Aya hizi zinasema:

"Na tumekuhalalisha wake zako ambao umewalipa mahari yao, na wajakazi ambao Mwenyezi Mungu amekupa kwa ujira wako, na wanawake waliopewa na Mtume,
ikiwa amewachagua kwa ajili yake mwenyewe, kutoka kwa wanawake wa mfano wako, bila ya kuwaoa kwa mali. Basi mkiwapa mahari yao bila ya hila, na kuwaoa bila ya kuwalazimisha, basi hakuna dhambi kwako kuwapa zawadi wanazopenda. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye kujua, Mwenye hikima." (Qur'an 33:50-51)


so mkuu nyumba ya mtume walipewa Rehema kuliko sisi...

na ndo maana kwa mfano ulotoa Ally (R.A) na Fatuma (R.An) walikuwa ni mtu na niece ake yaani ni mtoto wa kaka yake lakini Kwakuw fadhila za Allah ziko na mtume na mtume afanyi kitu ila kwa wahyi..
alifanya hivyo lakini kw wewe..
utapata katazo la hadithi hapo juu na Surah Annissaa aya ya 23
Wallahi nakunasihi ,pamoja na kuinasihi nafsi yangu, Acha kuizungumza Dini bila ya Elimu.

Qur'an 4: 22-24

1696256642969.png

1696256732101.png

1696256753622.png

22. Wala msiwaoe wake walio waoa baba zenu, ila yaliyo kwisha pita. Hakika huo ni uchafu na uchukizo na ni njia mbaya.

23. Mmeharimishiwa mama zenu, na binti zenu, na dada zenu, na shangazi zenu, na khaalati zenu, na binti wa ndugu mume, na binti wa dada, na mama zenu walio kunyonyesheni, na dada zenu kwa kunyonya, na mama wa wake zenu, na watoto wenu wa kambo walio katika ulinzi wenu walio zaliwa na wake zenu mlio waingilia. Ikiwa hamkuwaingilia basi hapana lawama juu yenu. (Pia mmeharimishwa) wake wa watoto wenu walio toka katika migongo yenu. Na kuwaoa pamoja dada wawili isipo kuwa yale yaliyo kwisha pita. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe Mwenye kurehemu.

24. NA WANAWAKE wenye waume, isipo kuwa walio milikiwa na mikono yenu ya kulia. Ndiyo Sharia ya Mwenyezi Mungu juu yenu. Na mmehalilishiwa wasio kuwa hao, mtafute kwa mali yenu kwa kuowa pasina kuzini. Kama mnavyo starehe nao, basi wapeni mahari yao kwa kuwa ni waajibu. Wala hapana lawama juu yenu kwa mtakacho kubaliana baada ya kutimiza waajibu. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kujua na Mwenye hikima.


utapata katazo la hadithi hapo juu na Surah Annissaa aya ya 23
حُرِّمَتْ عَلَيْكُمْ أُمَّهَاتُكُمْ وَبَنَاتُكُمْ وَأَخَوَاتُكُمْ وَعَمَّاتُكُمْ وَخَالَاتُكُمْ وَبَنَاتُ الْأَخِ وَبَنَاتُ الْأُخْتِ وَأُمَّهَاتُكُمُ اللَّاتِي أَرْضَعْنَكُمْ وَأَخَوَاتُكُم مِّنَ الرَّضَاعَةِ وَأُمَّهَاتُ نِسَائِكُمْ وَرَبَائِبُكُمُ اللَّاتِي فِي حُجُورِكُم مِّن نِّسَائِكُمُ اللَّاتِي دَخَلْتُم بِهِنَّ فَإِن لَّمْ تَكُونُوا دَخَلْتُم بِهِنَّ فَلَا جُنَاحَ عَلَيْكُمْ وَحَلَائِلُ أَبْنَائِكُمُ الَّذِينَ مِنْ أَصْلَابِكُمْ وَأَن تَجْمَعُوا بَيْنَ الْأُخْتَيْنِ إِلَّا مَا قَدْ سَلَفَ ۗ إِنَّ اللَّهَ كَانَ غَفُورًا رَّحِيمًا﴾
[ النساء: 23]

Forbidden to you (for marriage) are: your mothers, your daughters, your sisters, your father's sisters, your mother's sisters, your brother's daughters, your sister's daughters, your foster mother who gave you suck, your foster milk suckling sisters, your wives' mothers, your step daughters under your guardianship, born of your wives to whom you have gone in - but there is no sin on you if you have not gone in them (to marry their daughters), - the wives of your sons who (spring) from your own loins, and two sisters in wedlock at the same time, except for what has already passed; verily, Allah is Oft-Forgiving, Most Merciful.
23. Mmeharimishiwa mama zenu, na binti zenu, na dada zenu, na shangazi zenu, na khaalati zenu, na binti wa ndugu mume, na binti wa dada, na mama zenu walio kunyonyesheni, na dada zenu kwa kunyonya, na mama wa wake zenu, na watoto wenu wa kambo walio katika ulinzi wenu walio zaliwa na wake zenu mlio waingilia. Ikiwa hamkuwaingilia basi hapana lawama juu yenu. (Pia mmeharimishwa) wake wa watoto wenu walio toka katika migongo yenu. Na kuwaoa pamoja dada wawili isipo kuwa yale yaliyo kwisha pita. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe Mwenye kurehemu.



Hiyo Hadith naomba uilete hapa acha uhuni na Aya ndio hiyo hapo.

Narudia tena, una dalili/ushahidi katika Shari'ah unaoharamisha kumuoa Binti wa Ami?

Nakuusia pamoja na kuiusia nafsi yangu muogope Mola wako.
 

Attachments

  • 1696256667617.png
    1696256667617.png
    10 KB · Views: 3
Binamu wanaoana.....

Watoto wa baba mkubwa na mdogo wanaoana. Zanzibar limetamalaki sana hili.

Yote hayo mimi yamenishinda; yaani nikamuoe mtoto wa baba mkubwa/mdogo? Damu yangu? Nimeshindwa, nashukuru imani haijasema kwamba hilo ni lazima. Ningefukuzwa.

Hivi hekima haswa iliyojificha nyuma ya hili ni nini? Au nini historia ya hili?

Karibuni mnielimishe.
We unaona Zanzibar kule wana akili kule? Wengi ni vilaza tena wa kutupwa na hiyo ni sababu moja wapo ya kuoana ndugu
 
Wakuu mimi ndio kiranja mkuu huku kuzimu yote yaliyosemwa sio kweli. Narudia tena ni uwongo mtupu.

Kunyweni bia sana imbeni na fanyeni ibada kujifurahisha mwili. Huku hakuna mambo ya duniani kwa hiyo fanyeni mpaka mzeekee.

Huku ni kuzuri ila sio kama duniani. Kuna shida na karaha kuliko duniani. Sio sehemu ya kufikiria kuja ukiwa na nguvu. Ni bora ukae gerezani kuliko kuzimu huku haina vitu vya duniani.
 
HUO NI UONGO NA UPOTOSHAJI!
Ndoa za kiislam hufungwa kwa misingi ya kiislam na ipo sura mahsusi kwenye Quran (Sura An - Nisaa) inayoelezea taratibu zote hizo nk.
Labda nikumegee kidogo Aya ya 23

(Sura An- Nisaa - 23)
"Mmeharimishiwa kuoa mama zenu, na binti zenu, na dada zenu, na shangazi zenu, na
khaalati zenu, na binti wa ndugu mume, na binti wa dada, na mama zenu walio
kunyonyesheni, na dada zenu kwa kunyonya, na mama wa wake zenu, na watoto wenu
wa kambo walio katika ulinzi wenu walio zaliwa na wake zenu mlio waingilia.
(Pia mmeharimishwa) wake wa watoto wenu walio toka katika migongo yenu. Na kuwaoa pamoja dada wawili isipo kuwa yale yaliyo kwisha pita. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe Mwenye
kurehemu"


NAOMBA NA WEWE UTUWEKEE KIFUNGU CHOCHOTE KWENYE BIBLIA KINACHO ONESHA NANI HURUHUSIWI KUOA
Thread closed.
 
Yapo mkuu tena sio Moja ngoja nikupe machache...
Walawi 18:6-20 (NIV)

""Msiifanye aibu miili yenu kwa kuifunua kwa njia ya kufanya ngono; kama vile kitendo cha kumwoa dada yako wa kambo, mwanamke wa baba yako,
na kufunua aibu yake. Usifunue aibu ya binti wa mwanao au wa binti wa binti yako, kwa maana huo ni uchafu wako wenyewe.
Usifunue aibu ya binti ya dada yako au ya dada ya baba yako, kwa maana huyo ni jamaa yako wa karibu, ni uchafu wako wenyewe. Usifunue aibu ya binti ya kaka yako, binti ya dada yako, kwa maana huyo ni jamaa yako wa karibu.
Usifunue aibu ya binti ya mke wa baba yako, aliyezaliwa nyumbani mwako au wa binti wa mke wa mwanao, naye ni mwenzake. Usifunue aibu ya binti ya mke wa mwanao au wa mke wa ndugu yako; kwa maana huyo ni jamaa yako wa karibu. Usifunue aibu ya mke wa mwanaume mwenzako kwa kuwa hiyo ni aibu ya mume mwenzako."


pia mkuu unaweza ukasoma na

walawi 20:17-21

"Ikiwa mtu ataoa dada yake, binti wa baba yake au binti wa mama yake, na wao wakafanya tendo la ndoa, hiyo ni aibu. Wataondolewa hadharani kati ya watu wao.
Amemtia aibu dada yake na atachukuliwa kuwa na hatia. Ikiwa mtu ataoa mke na mama yake, ni jambo la uchafu. Watachomwa moto yeye na huyo mwanamke, ili kwamba uchafu wao usionekane kati ya watu wao. Ikiwa mtu ataoa dada ya mkewe, jambo hilo ni uchafu mkubwa;
wao wawili wataondolewa hadharani kati ya watu wao; watapata adhabu ya dhambi zao. Ikiwa mtu ataoa mke na mama na binti zake, jambo hilo ni uovu; wao na wote watakaojiunga nao watachomwa moto, ili kwamba uovu huo usiwe kati yenu."


mkuu hayo ni machache tu yako mengi....
Kwenye maandiko hayo hakuna sehemu imekataza watoto wa baba mkubwa na baba mdogo kuoana.
 
Kitu unachokosea Al akhy ni kujilinganisha na Mtume na hao ahulut bayt na fadhila na Kheri walizopewa wao...
Nimeuliza kitu kuwa wapi kumehalalishwa hujanijibu..

Dini ya Uislamu ni pana na Kubwa Ilimu ni kubwa henda unaweza nipa Dalili yoyote ya uhalali wa ndoa hiyo nitaridhia

Al akhy naomba kama ikimpendeza Allah na ikikupendeza na wewe naomba upitia Hadithi no 23 juzzuu ya pili ya Sahihi abu dawud "kitabu cha ndoa"
Ntanukuu kwa kuitafsiri kiswahili ...
"Abu Hurairah amesimulia kwamba Mtume wa Mwenyezi Mungu (S.A.W) amesema, 'Ni marufuku kuoa mwanamke yeyote ambaye ni mtoto wa damu moja na wewe.'"

Wewe na Ami ako ni ndugu wa damu so ni haramu

kujilingNisha na ahlul bayt sio saawa kw Allah Amesema kuwa

"Mwenyezi Mungu ameisamehe nyumba ya Mtume, na wale wanaoingia kwake kwa amani, na wale wanaotoka kwake kwa kumcha Mwenyezi Mungu. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe, Mwenye kurehemu." (Qur'an 33:56)

kama unakumbuka sheikh ata iliposhuka aya ya kuoa wake wanne mtume alimuuliza Allah kuhusu katazo hilo ndo ikashuka aya hii..

Al-Ahzab". Aya hizi zinasema:

"Na tumekuhalalisha wake zako ambao umewalipa mahari yao, na wajakazi ambao Mwenyezi Mungu amekupa kwa ujira wako, na wanawake waliopewa na Mtume,
ikiwa amewachagua kwa ajili yake mwenyewe, kutoka kwa wanawake wa mfano wako, bila ya kuwaoa kwa mali. Basi mkiwapa mahari yao bila ya hila, na kuwaoa bila ya kuwalazimisha, basi hakuna dhambi kwako kuwapa zawadi wanazopenda. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye kujua, Mwenye hikima." (Qur'an 33:50-51)


so mkuu nyumba ya mtume walipewa Rehema kuliko sisi...

na ndo maana kwa mfano ulotoa Ally (R.A) na Fatuma (R.An) walikuwa ni mtu na niece ake yaani ni mtoto wa kaka yake lakini Kwakuw fadhila za Allah ziko na mtume na mtume afanyi kitu ila kwa wahyi..
alifanya hivyo lakini kw wewe..
utapata katazo la hadithi hapo juu na Surah Annissaa aya ya 23
Inaonekana Mohammed alikua anapewa special favors na Allah kama his favourite child mpaka bi Aisha aliwahi kulalamika . Mohammed could get away with anything kibaya na verse itashuka kumpa uhalali😀😁.
 
Ni kwanini kuoana ndugu kunakatazwa?
Sababu kubwa ni kwamba kuna magonjwa ya kurithi, kwaiyo mkioana ndugu ni rahisi watoto kuzaliwa na hayo magonjwa kwakua 'gene' za wazazi zinakua zinafanana kwa kiasi kikubwa. Magonjwa kama albinism, sickle cell, pumu n.k. Kwa waliosoma biology (genetics) watanielewa kwenye 'dominant gene' na recessive gene' 'homozygous' na heterozygous'.

Kwaiyo hata wazee wetu hawakua wapumbavu walikua wanalitambua hili. Ndo maana kuna makabila ilikua ikigundulika ndugu mnanyandua adhabu yake ni kifo.

Hii kitu inaaply hata kwa mifugo (kuku,ng'ombe, mbuzi nguruwe n.k), ukitaka mifugo yako uzao wake uendelee vizuri usikubali wapandane ndugu, tafuta dume la mbali kabisa. Bila hivyo vizazi vinavyoendela vinazidi kua dhaifu na vidogo zaidi.
Makabila gani hayo ambayo ndugu wakinyanduana adhabu yake ni kifo?
 
Mwarabu alileta mila za hovyo sana Bongo. Wafuasi wa dini kwao ni kawaida jamaa kumuoa mtoto wa shangazi, mjomba, baba mkubwa, baba mdogo, na watoto wa mama mkubwa na mama mdogo. Hii ni kinyume kabisa na mila za asili kabla ya ujio wa wavurugaji hawa wa mila kutoka Uarabuni, ambao walikuja kuuza watu kama kuku huku wakilazimisha watu kufuata dini yao, ambayo kimsingi ni mila zao. Kutokana na hilo, unakuta magonjwa ya kurithi ya kigenetiki yanakuwa mengi miongoni mwao.
Umesahau hata kwenye biblia nako imeandikwa Yakobo alioa mtoto wa mjomba yake?
 
HUO NI UONGO NA UPOTOSHAJI!
Ndoa za kiislam hufungwa kwa misingi ya kiislam na ipo sura mahsusi kwenye Quran (Sura An - Nisaa) inayoelezea taratibu zote hizo nk.
Labda nikumegee kidogo Aya ya 23

(Sura An- Nisaa - 23)
"Mmeharimishiwa kuoa mama zenu, na binti zenu, na dada zenu, na shangazi zenu, na
khaalati zenu, na binti wa ndugu mume, na binti wa dada, na mama zenu walio
kunyonyesheni, na dada zenu kwa kunyonya, na mama wa wake zenu, na watoto wenu
wa kambo walio katika ulinzi wenu walio zaliwa na wake zenu mlio waingilia.
(Pia mmeharimishwa) wake wa watoto wenu walio toka katika migongo yenu. Na kuwaoa pamoja dada wawili isipo kuwa yale yaliyo kwisha pita. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe Mwenye
kurehemu"


NAOMBA NA WEWE UTUWEKEE KIFUNGU CHOCHOTE KWENYE BIBLIA KINACHO ONESHA NANI HURUHUSIWI KUOA
Dogo acha ubishi wa kipumbavu hapa mikindani ni vitu vya kawaida sana kuoa binamu na mtoto wa baba yako mdogo au mkubwa tena ni masheikh wakubwa wanaofundisha hayo
 
Mwarabu alileta mila za hovyo sana Bongo. Wafuasi wa dini kwao ni kawaida jamaa kumuoa mtoto wa shangazi, mjomba, baba mkubwa, baba mdogo, na watoto wa mama mkubwa na mama mdogo. Hii ni kinyume kabisa na mila za asili kabla ya ujio wa wavurugaji hawa wa mila kutoka Uarabuni, ambao walikuja kuuza watu kama kuku huku wakilazimisha watu kufuata dini yao, ambayo kimsingi ni mila zao. Kutokana na hilo, unakuta magonjwa ya kurithi ya kigenetiki yanakuwa mengi miongoni mwao.
Una uhakika mkuu? I mean umenya uchunguzi wa kutosha?!!
 
Uongo dhambi mapenzi ya ndugu ni matamu.

Yaani mtu mnajuana toka utoto aisee afu mnakuja kuunganisha vikojoleo.

Nishawahi na mtoto wa shangazi aloo ule utamu ni pro max maana ni damu moja. Kuja kuachana nae ni nilitumia nguvu nyingi balaa.

Mtoto ana papuchi tamu yule .

Shida hapo ni kuzaa watoto mazezeta .

NB: natoa angalizo usije jariby kudate na ndugu kuchomoka ni ngumu maana ule utamu wa sex sio wa nchiii hii.
Huna maana wewe😂😂😂
 
HUO NI UONGO NA UPOTOSHAJI!
Ndoa za kiislam hufungwa kwa misingi ya kiislam na ipo sura mahsusi kwenye Quran (Sura An - Nisaa) inayoelezea taratibu zote hizo nk.
Labda nikumegee kidogo Aya ya 23

(Sura An- Nisaa - 23)
"Mmeharimishiwa kuoa mama zenu, na binti zenu, na dada zenu, na shangazi zenu, na
khaalati zenu, na binti wa ndugu mume, na binti wa dada, na mama zenu walio
kunyonyesheni, na dada zenu kwa kunyonya, na mama wa wake zenu, na watoto wenu
wa kambo walio katika ulinzi wenu walio zaliwa na wake zenu mlio waingilia.
(Pia mmeharimishwa) wake wa watoto wenu walio toka katika migongo yenu. Na kuwaoa pamoja dada wawili isipo kuwa yale yaliyo kwisha pita. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe Mwenye
kurehemu"


NAOMBA NA WEWE UTUWEKEE KIFUNGU CHOCHOTE KWENYE BIBLIA KINACHO ONESHA NANI HURUHUSIWI KUOA
Ahsante kwa ilmu, lakini fuatiliza vizuri na kwa ukaribu unaweza kujikuta unapata kitu cha kutuongezea.
 
Back
Top Bottom