Hivi ni nini hekima iliyopo nyuma ya ruhusa ya kuoana ndugu?

Hivi ni nini hekima iliyopo nyuma ya ruhusa ya kuoana ndugu?

Binamu wanaoana.....

Watoto wa baba mkubwa na mdogo wanaoana......Zanzibar limetamalaki sana hili.

Yote hayo mi yamenishinda; yaani nikamuoe mtoto wa baba mkubwa/mdogo?!!!! Damu yangu?!!!! Nimeshindwa, nashukuru imani haijasema kwamba hilo ni lazima......ningefukuzwa.

Hivi hekma haswa iliyojificha nyuma ya hili ni nini?!!! Au nini historia ya hili?!!!

Karibuni mnielimishe.
Wengine kwa kufanya hivyo hutaka kulinda kitu flani ndani ya famili mathalani urithi wa mali, uchawi au siri flani. Pia waweza kuwa mkakati wa kulinda nasaba flani.
 
Ok, sasa na hao Zanzibar ambao wengi ni waislamu, chimbuko la mila na dini ni waarabu, hivyo wakifanya hiyo sioni ajabu.....
 
Na kwa kuongezea avogadro

Mtume Muddy alimuoa Bibi Aisha bint Abi Bakr akiwa na umri wa miaka sita au saba hivi , na ndoa yao ilifungwa, lakini hakuwa na uhusiano wa kimwili naye wakati huo. Kwa mujibu wa hadithi nyingine, uhusiano wa kimwili kati ya Mtume Muhammad (S.A.W) na Bibi Aisha ulianza baada ya kufikisha umri wa miaka kumi na miwili.

Kama wanavyofanya wamasai tu unaoa Mimba then mtoto akizaliwa Unaoa unatunziwa mpaka atakapofika miaka Ya kuingizwa kwenye Boma unachukua
 
Uislamu hauhusini n mila za kiarabu
Allah said in the Quran.

Islam is described in this verse as 'deen' which means 'a complete way of life', and not just a religion. No part of life is outside the realm of Islam, Islam covers all the aspect of life from cradle to grave.

 
Rafiki, nimenukuu quran, sasa wewe unapinga nini?
Umenukuu sehemu gani sijaiona na mimi naweza kunukuu mahali kulipopinga maana halo sijaona sura yoyote katika quran wala aya yoyote uliotoa ila maelezo
 
Umenukuu sehemu gani sijaiona na mimi naweza kunukuu mahali kulipopinga maana halo sijaona sura yoyote katika quran wala aya yoyote uliotoa ila maelezo
 
Mwarabu alileta mila za hovyo sana Bongo. Wafuasi wa dini kwao ni kawaida jamaa kumuoa mtoto wa shangazi, mjomba, baba mkubwa, baba mdogo, na watoto wa mama mkubwa na mama mdogo. Hii ni kinyume kabisa na mila za asili kabla ya ujio wa wavurugaji hawa wa mila kutoka Uarabuni, ambao walikuja kuuza watu kama kuku huku wakilazimisha watu kufuata dini yao, ambayo kimsingi ni mila zao. Kutokana na hilo, unakuta magonjwa ya kurithi ya kigenetiki yanakuwa mengi miongoni mwao.
Wewe kafiri, unajifanya unatetea mila za asili na kuwashutumu waarabu, kisha ulivyo huna akili katika post za mbele ukawa unapinga polygamy, ndoa "za utotoni" na "kukandamiza" wanawake na kumshutumu Mtume wetu Muhammad (Swala na Salamu ziwe juu yake) kwa hayo. Katika hizo mila zenu za asili kabla ya muarabu mlikuwa hakuna ndoa za "utotoni"? Wewe bibi yako aliolewa na miaka 30? Ndoa za wake wengi si zipo katika hizo mila zenu za asili tena wake wasio na idadi. Na katika hizo mila za asili wanawake wenu walipewa haki sawa na wanaume?


Uislam umeweka utaratibu mzuri zaidi katika hayo kuliko hizo "mila za asili". Na bado haujatoka katika maumbile ya asili.
 
kwanz kabisa mkuu nimepitia hiyo makala unayosema ni nukuu ya Quran sio Quran bali wamenukuu baadhi ya Aya..
Suratul Maida (Surah ya Meza) aya ya 5....
sura hii na aya hio inaonyesha na kufundisha Aina za vyakula vipasavyo kuliwa na akasisitiza kwamba jinsi ya kula (kwa kuwa kila kitu kwenye uislam ni Ibada)
uko sahihi kusema Deen ni maisha ya kila siku na Ndiyo maisha hayo yaliyofundishwa kwenye quran na sio mila Zilizokuwepo..

Na hiyo Makala yako haijaonyesha Usawa wa mila za Kiarabu na Mila za kiislamu kwani ni vitu viwili tofauti...
nakusihi jaribu kufatilia utaelewa..

Uislamu umekwisha fundisha kuhusu Nani anapaswa kuolewa na kuoa na nani hapaswi kasome Surah An-Nisaa (Surah ya wanawake ) yote utapata kujua kuhusu Ndoa na vinavyoruhusiwa na Talaka pia ....

kasome hiyo Suratul Maida ujue ni vipi unapaswa kuweka mezani kwako kama chakula
 
HUO NI UONGO NA UPOTOSHAJI!
Ndoa za kiislam hufungwa kwa misingi ya kiislam na ipo sura mahsusi kwenye Quran (Sura An - Nisaa) inayoelezea taratibu zote hizo nk.
Labda nikumegee kidogo Aya ya 23

(Sura An- Nisaa - 23)
"Mmeharimishiwa kuoa mama zenu, na binti zenu, na dada zenu, na shangazi zenu, na
khaalati zenu, na binti wa ndugu mume, na binti wa dada, na mama zenu walio
kunyonyesheni, na dada zenu kwa kunyonya, na mama wa wake zenu, na watoto wenu
wa kambo walio katika ulinzi wenu walio zaliwa na wake zenu mlio waingilia.
(Pia mmeharimishwa) wake wa watoto wenu walio toka katika migongo yenu. Na kuwaoa pamoja dada wawili isipo kuwa yale yaliyo kwisha pita. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mwenye kusamehe Mwenye
kurehemu"


NAOMBA NA WEWE UNIWEKEE KIFUNGU CHOCHOTE KWENYE BIBLIA KINACHO ONESHA NANI HURUHUSIWI KUOA
Akikuonyesha najiua kabisaa
 
Wewe kafiri, unajifanya unatetea mila za asili na kuwashutumu waarabu, kisha ulivyo huna akili katika post za mbele ukawa unapinga polygamy, ndoa "za utotoni" na "kukandamiza" wanawake na kumshutumu Mtume wetu Muhammad (Rehma na Amani ziwe juu yake) kwa hayo. Katika hizo mila zenu za asili kabla ya muarabu mlikuwa hakuna ndoa za "utotoni"? Wewe bibi yako aliolewa na miaka 30? Ndoa za wake wengi si zipo katika hizo mila zenu za asili tena wake wasio na idadi. Na katika hizo mila za asili wanawake wenu walipewa haki sawa na wanaume?


Uislam umeweka utaratibu mzuri zaidi katika hayo kuliko hizo "mila za asili". Na bado haujatoka katika maumbile ya asili.
Ata biblia pia inaruhusu ndoa za udogoni na sheria pia inaruhusu ndoa za udogoni...biblia pia inaruhusu kufunika kichwa...biblia pia inaruhusu ndoa za wake wengi...tena bora quran iliyoweka condition na ni ngumu kama huwez kuzifuata kuoa wake wengi
 
Mkuu avogadro sometimes kama Hujui sheria inabidi ukae tu kimya usijiabishe mbele za watu...

Kuhusu Ndoa ya Watoto

Sheria ya Tanzania iliruhusu Mwanaume kumuoa mwanamke mwenye miaka 13 imebadilishwa nafikiri hata miaka 10 haifiki ikaongeza umri mpaka sasa ni miaka 15 Ruksa kuolewa au 14 kwa pendekezo la wazazi...
Soma sheria ya Ndoa 1971 kifungu cha 13(1) na (2)

Na kuhusu polygamy

Nakurudisha kwenye sheria hiyo hiyo ya ndoa sio kosa nenda kasome sheria hiyo kifungu cha 9 (3) na kifungu cha 10,Kinaeleza kuhusu aina za Ndoa Tanzania zimesema ni Monogamous na Polygamous... Na zimeelezea vizur kabisa nini maana zake na zinafungwaje nafikiri Go and read that..

Hata hivyo biblia yako pia iliruhusu ndoa hizo ukitaka ushahidi nitakuleta hapa nakuelimisha kwanza kuhus sheria

Kugandamiza haki za wanawake
Umesema kugandamiza haki na ukasema ikiwemo mojawapo kuwafunika manguo,kuwakataza kushirki katika utawala....
Sasa hapa siendi kwenye sheria ntaenda kwe ye bible yako..

Bible ndo kitabu cha kwanza kumgandamiza mwanamke mwanamke hakuhesabiwa kitu katika biblia..
  • Unafahamu kuwa watoto wa Yakobo wako 13 mmoja ni mwanamke lakini kwakuwa tu ni mwanamke Hakuhesabiwa na unasikia wanakuambia kuna watoto 12 wa yakobo? Na makabila 12 ya israel je hilo kabila lake la huyo mwanamke kwanini halitajwi...kwa sababu biblia imekuwa kandamizi sana kuhusu mwanamke...
  • Hakuna mtume wala nabii wa Kike aliyepewa heshima kwenye biblia..
  • Wanawake walihesabiwa kama wazazi tu na sio watawala wa kiserkali wala kisiasa wala kidini...
Kuhusu kutawala umetoa hasira kabisa kwa waislamu..ngoja bhasi nilete ushaihidi kwamba nyote mko sawa...

Kuhusu kufunika kichwa

1 wakorintho 11:5-6,10,13,16

" Bali kila mwanamke asalipo, au anapohutubu, bila kufunika kichwa, yuaaibisha kichwa chake; kwa maana ni sawasawa na yule aliyenyolewa......


Maana mwanamke asipofunikwa na akatwe nywele. Au ikiwa ni aibu mwanamke kukatwa nywele zake au kunyolewa, na afunikwe.
Kwa hiyo imempasa mwanamke awe na dalili ya kumilikiwa kichwani, kwa ajili ya malaika.Je! Inapendeza mwanamke amwombe Mungu asipofunikwa kichwa?

Lakini mtu ye yote akitaka kuleta fitina, sisi hatuna desturi kama hiyo, wala makanisa ya Mungu."

kuwakataza katika utawala wanawake na kuwanyima priorit na kuwanyamazisha

1 Timotheo 2:11-14

"Mwanamke na ajifunze katika utulivu, akitii kwa kila namna, Simpi mwanamke ruhusa ya kufundisha, wala kumtawala mwanamume, bali awe katika utulivu,
Kwa maana Adamu ndiye aliyeumbwa kwanza, na Hawa baadaye, "Wala Adamu hakudanganywa, ila mwanamke alidanganywa kabisa akaingia katika hali ya kukosa."


Pia unaweza ukapitia hapa

1 wakorintho 14:34-38

"Wanawake na wanyamaze katika kanisa, maana hawana ruhusa kunena bali watii, kama vile inenavyo torati nayo.
Nao wakitaka kujifunza neno lo lote, na wawaulize waume zao wenyewe nyumbani mwao; maana ni aibu wanawake kunena katika kanisa.
Au je! Neno la Mungu lilitoka kwenu? Au kuwafikia ninyi peke yenu?
Mtu akijiona kuwa ni nabii au mtu wa rohoni, na ayatambue hayo ninayowaandikia, ya kwamba ni maagizo ya Bwana.
Lakini mtu akiwa mjinga, na awe mjinga..........


MY TAKE ON THIS
Mkuu dini zote hizi tatu zinafanana kimuuundo so usitukane nyingine ukadhani uko salama zote ziko sawa....

KUHUSU USTAARABU WA WAARABU..

wengi mmetukana sana kuhusu Ustaarabu wa waarabu bila kujali hata Mtume wenu Paulo,Alipopewa utume (kama anavyosema) kabla ya kwenda kukutana na wanafunzi wa Yesu alienda kwanza uarabuni na kupata ustaarabu wa Waarabu...

Soma wagalatia 1:16-18


"Alipoona vema kumdhihirisha Mwanawe ndani yangu, ili niwahubiri Mataifa habari zake; mara sikufanya shauri na watu wenye mwili na damu;
wala sikupanda kwenda Yerusalemu kwa hao waliokuwa mitume kabla yangu;
bali nalikwenda zangu Uarabuni, kisha nikarudi tena Dameski.
Kisha,
baada ya miaka mitatu, nalipanda kwenda Yerusalemu ili nionane na Kefa, nikakaa kwake siku kumi na tano."
Watapita kama hawaoioni.
 
Mwarabu alileta mila za hovyo sana Bongo. Wafuasi wa dini kwao ni kawaida jamaa kumuoa mtoto wa shangazi, mjomba, baba mkubwa, baba mdogo, na watoto wa mama mkubwa na mama mdogo. Hii ni kinyume kabisa na mila za asili kabla ya ujio wa wavurugaji hawa wa mila kutoka Uarabuni, ambao walikuja kuuza watu kama kuku huku wakilazimisha watu kufuata dini yao, ambayo kimsingi ni mila zao. Kutokana na hilo, unakuta magonjwa ya kurithi ya kigenetiki yanakuwa mengi miongoni mwao.
Ni muafrika mwenyewe ndie aliyekubali kuuzwa utumwani tusiwasingizie waarabu
 
HIZI HAPA FAIDA ZA KUOWA AU KUOLEWA NA NDUGU

1) usarama wa maisha kwa mke au mume ni 100%

2)SI rahisi kugombana au kuwaziana mabaya kwani nyinyi ni damu moja, na mmekuwa pamoja kwahiyo mna Juana vema

kwamba mwenzangu akichukia anakuaje na ili atulie nifanyeje ?? Kipi anapenda na kipi hapendi mnajuana kwa hiyo sinrahisi kugombana
Wa Apo ku

3 Nima penzi ya kweli. Si mapenzi ya pesa,Wala mapenzi ya kufaidika kitu frani kutoka kwa mwenzio nimapenzi ya kukuwa nayo Toka utoto mnakula wote,mnacheza wote, nk

Kwahiyo Kama zinge kuwepo HIZI ndoa kusingekuwa na kitu...

kuuwana kisa pesa, kufungana,kisa malezi ya family,kusaritiana hovyo,kunyanya sana kijinsia,

namengine mengi yanayo tokea kwenye ndoa Kama Mambo ya kupeana taraka hivi yasinge kuwepo

Kwani nimapenzi ya yangu utoto

Mpaka mnapo kuwa watu wazima ndipo mnapo kuja kuambiwa nyinyi ni NDUGU hampaswi kuwa na mahusiano wara kuowana

Hapo HUWA ndiyo mwanzo wa kudondokea kwa akina mwajuma na Aisha wale watoto wa mjini bira kusahau akina chibu,na akina mateoso

Pamoja na hayo yote Ina semekana kuna madhara ya ki genetics kuowana NDUGU kwa NDUGU

Kama kuzaa matoto yenye maumbile ya kike Kama hipsi kubwa, misambwanda mikubwa,sura nzuri
lakini ni madume

au kuzaa matoto yenye tabia za kiume Kama Hawa tunao waita Tom boys lakini nimajike

inaseme Kama lakini
 
Kiarabu na Mila za kiislamu
waarabu ni waislam 99.99999%. Na Dini ya kiislamu iko very much internalised...... huwezi kutenganisha uislamu na uarabu!

Allah said in the Quran.​

I have perfected your religion for you, and have completed My blessing upon you, and chosen Islam as Deen (religion and a way of life) for you. 5:3

Islam is described in this verse as ‘deen’ which means ‘a complete way of life’, and not just a religion. No part of life is outside the realm of Islam, Islam covers all the aspect of life from cradle to grave.
 
Nani kakuambia naamini biblia? Uliza mababu zako kama wapo kabla ya ujio wa wakoloni huo upumbavu ulikuwepo kwenye ukoo wenu? Maana Sasa Kuna mitanzania imekuwaitumwa ya mila, tamaduni, Mavazi, vyakula na lugha za waarabu na wazungu kwa visingizio vya dini ambayo kimsingi ni Mila za hao mabwenyenye
Mila za kiafrika unazijua nenda hadi Leo wapogoro wanaoana ndugu,mtu anazaa hadi na mama yake mzazi, Kaskazini baba anazaa na binti yake unataka kusema ushenzi gani.
Hakuna dini inayoruhusu ndugu wa damu kuoana.
Ukoo mmoja wanaweza lakini lazima wanaangalia undugu wa mbali
 
Faida za kuoana ndugu
1.Mali haitawanyiki
2.kukwepa magonjwa ya kiroho mfano laana na mikosi toka koo zingine
3.Kuoana na Mtu unaemjua Mila na Tabia zinazofanana
4.upunguza migogoro na uhasama sababu wote ni ndugu
 
Back
Top Bottom