Hivi ni nini kinamuharibu sura Mzee wa Upako ?

We umejuaje kama anaota ukungu..?
 
Itakuwa stress amezidisha bapaz Sadaka haionekani mganga aliyemhakikishia waandishi WA habare watakufwa kafa kabla ya waandishi wenyewe sasa anahofu ya kuuza gongo........
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Baba anakula tungi sijapata kuona?.halafu huyu baba anakula Mijibapa
 
Na imeandikwa husiwaguse masiha wangu/ hasomae na afahamu
 
Kama ulisikiliza mahubiri yake ya Januari 22, kuna maneno alikuwa akiyarudia rudia.

Yatafute maneno hayo utapata jibu.

Wenye akili tulishaelewa long time ago.

Ngoja niishie hapo jamani nisije nikawatoa tongotongo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…