Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Post #30 kuna picha, post yako ni # 33. Sijui tatizo lako nini tukusaidie.Nimefungua page ya kwanza mpka hii ya tatu Hamna hata picha?!, mtoa mada habari haileti uhalisia tunaoutaka; yaani ni kama habari haijakamilika. Aise mpaka nmemkumbuka yule jamaa humu JF anajiita TYTA (sijui kama nmelipatia), alikuwa anafanya habari kama hizi zinakuwa na mvuto kwa kutuma mapicha picha.