Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Sijui Mimi ndio sielewi au ndio utaratibu au ni ujinga wetu wa kiitifaki Africa?
Unakuta kiongozi anapanda kwenye podium wanatumia dakika mpaka 10 kutambuwa itifaki wakati hotuba yake yenyewe ni kama ya dakika saba tu.
Na point yangu hapa kama itifaki ingekuwa ni ya kumtaja Rais tu na kusema itifaki imezingatiwa Nina uhakika hizi events zetu zinazokusanya viongozi wengi wakubwa kwa pamoja tungekuwa tunaweza kuokowa takribani dakika 60 ambazo kimahesabu ni SAA nzima hiyo.
Sasa nauliza na wenzetu ulaya na Marekani mambo ni haya haya ya kupoteza muda au ujinga huu upo Tanzania tu au Africa Mashariki?
Sasa hebu nitoeni ushamba wa itifaki huenda Mimi ndio sijui ni lazima kutaja majina ya viongozi wote kabla ya kuanza hotuba? binafsi nakereka sana kupotezeana muda.
Unakuta kiongozi anapanda kwenye podium wanatumia dakika mpaka 10 kutambuwa itifaki wakati hotuba yake yenyewe ni kama ya dakika saba tu.
Na point yangu hapa kama itifaki ingekuwa ni ya kumtaja Rais tu na kusema itifaki imezingatiwa Nina uhakika hizi events zetu zinazokusanya viongozi wengi wakubwa kwa pamoja tungekuwa tunaweza kuokowa takribani dakika 60 ambazo kimahesabu ni SAA nzima hiyo.
Sasa nauliza na wenzetu ulaya na Marekani mambo ni haya haya ya kupoteza muda au ujinga huu upo Tanzania tu au Africa Mashariki?
Sasa hebu nitoeni ushamba wa itifaki huenda Mimi ndio sijui ni lazima kutaja majina ya viongozi wote kabla ya kuanza hotuba? binafsi nakereka sana kupotezeana muda.