Noti bandia
JF-Expert Member
- May 3, 2020
- 2,684
- 4,315
Kwani tunaharaka Gani tusitambulishane.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mengine ni utamaduni wetu.Sijui Mimi ndio sielewi au ndio utaratibu au ni ujinga wetu wa kiitifaki Africa?
Unakuta kiongozi anapanda kwenye podium wanatumia dakika mpaka 10 kutambuwa itifaki wakati hotuba yake yenyewe ni kama ya dakika saba tu.
Na point yangu hapa kama itifaki ingekuwa ni ya kumtaja Rais tu na kusema itifaki imezingatiwa Nina uhakika hizi events zetu zinazokusanya viongozi wengi wakubwa kwa pamoja tungekuwa tunaweza kuokowa takribani dakika 60 ambazo kimahesabu ni SAA nzima hiyo.
Sasa nauliza na wenzetu ulaya na Marekani mambo ni haya haya ya kupoteza muda au ujinga huu upo Tanzania tu au Africa Mashariki?
Sasa hebu nitoeni ushamba wa itifaki huenda Mimi ndio sijui ni lazima kutaja majina ya viongozi wote kabla ya kuanza hotuba? binafsi nakereka sana kupotezeana muda.
Umemkumbuka mchato tena?Yatima leo zamu ya nani kulinda kaburi la mungu wenu Chato?
No hurry in AfricaSasa nauliza na wenzetu ulaya na Marekani mambo ni haya haya ya kupoteza muda au ujinga huu upo Tanzania tu au Africa Mashariki?
practice ya siasa with the taste of africa! mambo ya kiafrika haya na ikifika kipindi cha kumpamba raisi ndo usiseme!Sijui Mimi ndio sielewi au ndio utaratibu au ni ujinga wetu wa kiitifaki Africa?
Unakuta kiongozi anapanda kwenye podium wanatumia dakika mpaka 10 kutambuwa itifaki wakati hotuba yake yenyewe ni kama ya dakika saba tu.
Na point yangu hapa kama itifaki ingekuwa ni ya kumtaja Rais tu na kusema itifaki imezingatiwa Nina uhakika hizi events zetu zinazokusanya viongozi wengi wakubwa kwa pamoja tungekuwa tunaweza kuokowa takribani dakika 60 ambazo kimahesabu ni SAA nzima hiyo.
Sasa nauliza na wenzetu ulaya na Marekani mambo ni haya haya ya kupoteza muda au ujinga huu upo Tanzania tu au Africa Mashariki?
Sasa hebu nitoeni ushamba wa itifaki huenda Mimi ndio sijui ni lazima kutaja majina ya viongozi wote kabla ya kuanza hotuba? binafsi nakereka sana kupotezeana muda.
Mwalimu Nyerere , Baba wa Taifa , kila akianza hotuba alikuwa anaanza simply,Sijui Mimi ndio sielewi au ndio utaratibu au ni ujinga wetu wa kiitifaki Africa?
Unakuta kiongozi anapanda kwenye podium wanatumia dakika mpaka 10 kutambuwa itifaki wakati hotuba yake yenyewe ni kama ya dakika saba tu.
Na point yangu hapa kama itifaki ingekuwa ni ya kumtaja Rais tu na kusema itifaki imezingatiwa Nina uhakika hizi events zetu zinazokusanya viongozi wengi wakubwa kwa pamoja tungekuwa tunaweza kuokowa takribani dakika 60 ambazo kimahesabu ni SAA nzima hiyo.
Sasa nauliza na wenzetu ulaya na Marekani mambo ni haya haya ya kupoteza muda au ujinga huu upo Tanzania tu au Africa Mashariki?
Sasa hebu nitoeni ushamba wa itifaki huenda Mimi ndio sijui ni lazima kutaja majina ya viongozi wote kabla ya kuanza hotuba? binafsi nakereka sana kupotezeana muda.
Saa 24 ni nyingi Sana,hatuna za kufanya kuzimalizaTuna muda mwingi sana wa kupoteza na kufanya yasiyo na tija
Gharama za SMS mbona zingeweza jenga au kusaidia kujenga matundu ya vyoo na miundombinu mingine vijijini....... africa kaazi kwelikweli,Wamealikwa kwa SMS, huenda kuna ubwabwa.
Kwani hatufahamiani? Au tuko gwaride la utambuzi?Kwani tunaharaka Gani tusitambulishane.