Hivi ni sahihi kiongozi kwenye hotuba yake kutumia dakika 10 kutambua itifaki ya waliopo?

Hivi ni sahihi kiongozi kwenye hotuba yake kutumia dakika 10 kutambua itifaki ya waliopo?

Sijui Mimi ndio sielewi au ndio utaratibu au ni ujinga wetu wa kiitifaki Africa?

Unakuta kiongozi anapanda kwenye podium wanatumia dakika mpaka 10 kutambuwa itifaki wakati hotuba yake yenyewe ni kama ya dakika saba tu.

Na point yangu hapa kama itifaki ingekuwa ni ya kumtaja Rais tu na kusema itifaki imezingatiwa Nina uhakika hizi events zetu zinazokusanya viongozi wengi wakubwa kwa pamoja tungekuwa tunaweza kuokowa takribani dakika 60 ambazo kimahesabu ni SAA nzima hiyo.

Sasa nauliza na wenzetu ulaya na Marekani mambo ni haya haya ya kupoteza muda au ujinga huu upo Tanzania tu au Africa Mashariki?

Sasa hebu nitoeni ushamba wa itifaki huenda Mimi ndio sijui ni lazima kutaja majina ya viongozi wote kabla ya kuanza hotuba? binafsi nakereka sana kupotezeana muda.
Mengine ni utamaduni wetu.
Tupambanir yenye kuleta haueni kwa raia maana hizi itifaki zinasababisha foleni kubwa sana huko mabarabarani...
 
Leo kumefurika mjini watu tumehairisha mishe zetu maana trafiki mara wawasimamishe mara waruhusu kdg tena anawasimamisha sijui taarifa zao huwa wanapeanaje ukute Rais ndo kwanza hajamaliza itifaki wao huku wanahaha 🙄 😀
 
Sijui Mimi ndio sielewi au ndio utaratibu au ni ujinga wetu wa kiitifaki Africa?

Unakuta kiongozi anapanda kwenye podium wanatumia dakika mpaka 10 kutambuwa itifaki wakati hotuba yake yenyewe ni kama ya dakika saba tu.

Na point yangu hapa kama itifaki ingekuwa ni ya kumtaja Rais tu na kusema itifaki imezingatiwa Nina uhakika hizi events zetu zinazokusanya viongozi wengi wakubwa kwa pamoja tungekuwa tunaweza kuokowa takribani dakika 60 ambazo kimahesabu ni SAA nzima hiyo.

Sasa nauliza na wenzetu ulaya na Marekani mambo ni haya haya ya kupoteza muda au ujinga huu upo Tanzania tu au Africa Mashariki?

Sasa hebu nitoeni ushamba wa itifaki huenda Mimi ndio sijui ni lazima kutaja majina ya viongozi wote kabla ya kuanza hotuba? binafsi nakereka sana kupotezeana muda.
practice ya siasa with the taste of africa! mambo ya kiafrika haya na ikifika kipindi cha kumpamba raisi ndo usiseme!
 
Sijui Mimi ndio sielewi au ndio utaratibu au ni ujinga wetu wa kiitifaki Africa?

Unakuta kiongozi anapanda kwenye podium wanatumia dakika mpaka 10 kutambuwa itifaki wakati hotuba yake yenyewe ni kama ya dakika saba tu.

Na point yangu hapa kama itifaki ingekuwa ni ya kumtaja Rais tu na kusema itifaki imezingatiwa Nina uhakika hizi events zetu zinazokusanya viongozi wengi wakubwa kwa pamoja tungekuwa tunaweza kuokowa takribani dakika 60 ambazo kimahesabu ni SAA nzima hiyo.

Sasa nauliza na wenzetu ulaya na Marekani mambo ni haya haya ya kupoteza muda au ujinga huu upo Tanzania tu au Africa Mashariki?

Sasa hebu nitoeni ushamba wa itifaki huenda Mimi ndio sijui ni lazima kutaja majina ya viongozi wote kabla ya kuanza hotuba? binafsi nakereka sana kupotezeana muda.
Mwalimu Nyerere , Baba wa Taifa , kila akianza hotuba alikuwa anaanza simply,
" Ndugu Wananchi................"
 
Back
Top Bottom