Hivi ni sahihi kweli kwa Mwanaume kutumia maneno haya...?

Madimba jr

JF-Expert Member
Joined
Aug 12, 2017
Posts
1,577
Reaction score
3,146
Inaboa sana unakuta Dume zima na mindevu yake linatumia misemo hii:
-Umedamshi
-Unadanga
-Kama lote vile
-Nyooo
-Jibebe
-Umependezaje
-Utapa tabu sana* (New version)
-Tunanyapia nyapia
-Ubuyu
-usinikaushe uzazi
-Unikome mwana wa mwenzio
-Na baadooo
-Aku Babu wee
-Mwaya
Maeneo mengi ya Dar ni kawaida sana kumkuta mwanaume anatumia hiyo.misemo halafu hata aibu haoni,kuna maneno hayajakaa kiume mazee.
 
Hapo umefeli sana hadi utapata tabu sana pia ni kosa kulitumia [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15]
New version(ndio maana nimeweka nyota) ya hilo neno limewekwa kicho.ko cho.ko sana,by the way sijasema ni kosa kulitumia ila ni kwamba haipendezi kutumiwa na Wanaume
 
New version(ndio maana nimeweka nyota) ya hilo neno limewekwa kicho.ko cho.ko sana,by the way sijasema ni kosa kulitumia ila ni kwamba haipendezi kutumiwa na Wanaume
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Umesababisha nicheke kijerumani mzee baba hilo neno limekaa kiume kabisa yaan right hand halifai kwa matumizi ya watoto wa kike
 
Ukizaliwa mwanaume Afrika hata mama ako mzazi au baba ako mzazi akifa hauruhusiwi kulia .Ukilia unaonekana mlaini
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Umesababisha nicheke kijerumani mzee baba hilo neno limekaa kiume kabisa yaan right hand halifai kwa matumizi ya watoto wa kike
Hebu tamka hilo neno kama wale macho.ko wa CMG wanaovaa mask
 
ishi maisha yako kufuatilia vya watu ni umbea wa kike
 
Ila hapo kwenye utapata tabu sana umekosea mengine uko sahihi.......wanaume wa Dar wananiboa kichizi na neno lao la siku hizi etu Kumdamshi daah hovyo sana aisee eti Kudanga,aisee!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…